Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu google helper bongo movie ni vilaza,mimi nina stori ambayo ilifanya nikafeli form 6 kwasababu ya mapenzi ni hatari kaka!,siku nikisimulia hapa mtashika vichwa!,tatizo la bongo movie wanataka vitu vya bure!!Sasa watu wa bongo movie wanafeli wapi mastory makali kama haya kuyafanyia kitu amaizing. Wauzie script hiyo mzee
@UMUGHAKA weka vitu saa4 watu tunataka kulalaaMkuu google helper bongo movie ni vilaza,mimi nina stori ambayo ilifanya nikafeli form 6 kwasababu ya mapenzi ni hatari kaka!,siku nikisimulia hapa mtashika vichwa!,tatizo la bongo movie wanataka vitu vya bure!!
Asante mkuu, akiendelea mniite tena.
Yaani wanachelewa sana, hollywood mbona wanafanya hizi true story movies, za waandishi wa vitabu, matukio ya kihalifu ya ukweli nk. Hawa wasanii uchwara kabisaMkuu google helper bongo movie ni vilaza,mimi nina stori ambayo ilifanya nikafeli form 6 kwasababu ya mapenzi ni hatari kaka!,siku nikisimulia hapa mtashika vichwa!,tatizo la bongo movie wanataka vitu vya bure!!
Ukiitwa uniite pia mkuuAsante mkuu, akiendelea mniite tena.
Mkuu Komeo Lachuma karibu sana unywe chai isiyokuwa na sukari!,tafuta benchi kabisa mkuu ukae huku ukisubiri tufikirie cha kutunga ili tukufurahishe![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]SASA HUKU NDO SEHEMU YAKE. SIYO ULIKUWA UNAJIFANYA KUWA NI KWELI WAKATI NI CHAI UNATUMYWESHA. SI LAZIMA UKITUNGA STORY USEME NI KWELI.
Mkuu Komeo Lachuma ni wapi nimesema hii ni stori ya kweli?,hii nimetunga kaka ili kupoteza muda tu![emoji23][emoji23]SASA HUKU NDO SEHEMU YAKE. SIYO ULIKUWA UNAJIFANYA KUWA NI KWELI WAKATI NI CHAI UNATUMYWESHA. SI LAZIMA UKITUNGA STORY USEME NI KWELI.
Lete stori MuraMkuu google helper bongo movie ni vilaza,mimi nina stori ambayo ilifanya nikafeli form 6 kwasababu ya mapenzi ni hatari kaka!,siku nikisimulia hapa mtashika vichwa!,tatizo la bongo movie wanataka vitu vya bure!!
Unamtaka Mwishe? Monica au Debora,kwa mwaka anaouongelea kwa sasa ni wamama.Amughaka hicho kijiji kikowapi nikatunukiwe tunda kimasikhara