Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Sasa watu wa bongo movie wanafeli wapi mastory makali kama haya kuyafanyia kitu amaizing. Wauzie script hiyo mzee
Mkuu google helper bongo movie ni vilaza,mimi nina stori ambayo ilifanya nikafeli form 6 kwasababu ya mapenzi ni hatari kaka!,siku nikisimulia hapa mtashika vichwa!,tatizo la bongo movie wanataka vitu vya bure!!
 
Mkuu google helper bongo movie ni vilaza,mimi nina stori ambayo ilifanya nikafeli form 6 kwasababu ya mapenzi ni hatari kaka!,siku nikisimulia hapa mtashika vichwa!,tatizo la bongo movie wanataka vitu vya bure!!
Yaani wanachelewa sana, hollywood mbona wanafanya hizi true story movies, za waandishi wa vitabu, matukio ya kihalifu ya ukweli nk. Hawa wasanii uchwara kabisa
 
SASA HUKU NDO SEHEMU YAKE. SIYO ULIKUWA UNAJIFANYA KUWA NI KWELI WAKATI NI CHAI UNATUMYWESHA. SI LAZIMA UKITUNGA STORY USEME NI KWELI.
Mkuu Komeo Lachuma karibu sana unywe chai isiyokuwa na sukari!,tafuta benchi kabisa mkuu ukae huku ukisubiri tufikirie cha kutunga ili tukufurahishe![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom