Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Isije ikaja mambo za buku mbili-mbili kwenye telegram
Mkuu Daudi Mchambuzi Unadhani buku mbili mimi itanisaidia nini?,Humu JF pipo zimechokeana mpaka zinatia huruma halafu tena nije nizidai hela?[emoji23][emoji23][emoji23].

Mkuu mimi si mlafi wa vijipesa vidogo vidogo hivyo,mimi nashusha mzigo watu waji-mwaye mwaye,ni bando lao tu![emoji23][emoji23]
 
Mkuu Daudi Mchambuzi Unadhani buku mbili mimi itanisaidia nini?,Humu JF pipo zimechokeana mpaka zinatia huruma halafu tena nije nizidai hela?[emoji23][emoji23][emoji23].

Mkuu mimi si mlafi wa vijipesa vidogo vidogo hivyo,mimi nashusha mzigo watu waji-mwaye mwaye,ni bando lao tu![emoji23][emoji23]
Weee hebu malizia stori yako acha uboya.
Hii hatua uliyotufikisha, tukiwa na Monica kwenye kibanda cha nyasi ndio huwa anapiga kelele, ingiza yote, mi Emma hata simtaki
 
Back
Top Bottom