Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio tuwege wavumilivu sasa....maana mwanzo wa story ukiwa waluwalu utaikatia tamaa chap..ila ukisonga nayo unaielewa....Iko vizuri stori ....inanoga,inavutia ,inaelimisha,inasisimua bravo bravo
Huko ndio kula na kachumbari🤣Eti mi sikujali cha makalio wala nini
Pole sanaNdugu zangu nisameheni sana leo nilikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Nilienda huku bunju ambako nafanyia shughuli zangu kama kawaida,sasa nikiwa huko nikapigiwa simu na mke wa brother kwamba kuna mgogoro wa kifamilia,sasa nimefika pale nikakuta kuna kashikashi la kufa mtu lilipolekea mimi na brother kutwangana makonde hasa!.
Sasa kwa hasira nilizokuwa nazo nimejikuta hata kuendesha pikipiki kwa umakini nashindwa ikapelekea kupata ajali,ingawa sijaumia sana ila nimepata vimichubuko vya hapa na pale ila pikipiki imeumia!.
Hivyo mniwie radhi ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya sana kwangu!.
Sina uzoefu huo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwanzo story ilianza kama utani now imekua tamu kama mbususu ya Mwise (iwe uliitafuna au hukuitafuna naskiaga automatic tu mademu wenye sura mbaya wana mbususu tamu)
Anyway pole kwa matatizo yako ya familia.
Dah, pole sana.Ndugu zangu nisameheni sana leo nilikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Nilienda huku bunju ambako nafanyia shughuli zangu kama kawaida,sasa nikiwa huko nikapigiwa simu na mke wa brother kwamba kuna mgogoro wa kifamilia,sasa nimefika pale nikakuta kuna kashikashi la kufa mtu lilipolekea mimi na brother kutwangana makonde hasa!.
Sasa kwa hasira nilizokuwa nazo nimejikuta hata kuendesha pikipiki kwa umakini nashindwa ikapelekea kupata ajali,ingawa sijaumia sana ila nimepata vimichubuko vya hapa na pale ila pikipiki imeumia!.
Hivyo mniwie radhi ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya sana kwangu!.
Pole mkuu,....Ndugu zangu nisameheni sana leo nilikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Nilienda huku bunju ambako nafanyia shughuli zangu kama kawaida,sasa nikiwa huko nikapigiwa simu na mke wa brother kwamba kuna mgogoro wa kifamilia,sasa nimefika pale nikakuta kuna kashikashi la kufa mtu lilipolekea mimi na brother kutwangana makonde hasa!.
Sasa kwa hasira nilizokuwa nazo nimejikuta hata kuendesha pikipiki kwa umakini nashindwa ikapelekea kupata ajali,ingawa sijaumia sana ila nimepata vimichubuko vya hapa na pale ila pikipiki imeumia!.
Hivyo mniwie radhi ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya sana kwangu!.
Pole sana mkuuNdugu zangu nisameheni sana leo nilikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Nilienda huku bunju ambako nafanyia shughuli zangu kama kawaida,sasa nikiwa huko nikapigiwa simu na mke wa brother kwamba kuna mgogoro wa kifamilia,sasa nimefika pale nikakuta kuna kashikashi la kufa mtu lilipolekea mimi na brother kutwangana makonde hasa!.
Sasa kwa hasira nilizokuwa nazo nimejikuta hata kuendesha pikipiki kwa umakini nashindwa ikapelekea kupata ajali,ingawa sijaumia sana ila nimepata vimichubuko vya hapa na pale ila pikipiki imeumia!.
Hivyo mniwie radhi ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya sana kwangu!.
Mpaka anaanguka hovyo barabarani itakua braza amemkanda vzr tu😂pole sana chief, i hope umemuingia brother mbili-tatu.
MamdogoNoma sanaa
Huyo bro anatakiwa aitiwe monica atandikwe bakora za kutoahaDaudi Mchambuzi mkuu brother mkuda sana,anamdharau sana wife wake na akiwa mjamzito na kibaya ametamka shit mbele ya mama mkwe,nimechukia sana leo,kiukweli ameniharibia siku yangu!
Pole sana upate nafuu mapemaNdugu zangu nisameheni sana leo nilikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Nilienda huku bunju ambako nafanyia shughuli zangu kama kawaida,sasa nikiwa huko nikapigiwa simu na mke wa brother kwamba kuna mgogoro wa kifamilia,sasa nimefika pale nikakuta kuna kashikashi la kufa mtu lilipolekea mimi na brother kutwangana makonde hasa!.
Sasa kwa hasira nilizokuwa nazo nimejikuta hata kuendesha pikipiki kwa umakini nashindwa ikapelekea kupata ajali,ingawa sijaumia sana ila nimepata vimichubuko vya hapa na pale ila pikipiki imeumia!.
Hivyo mniwie radhi ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya sana kwangu!.
Rest in peace muraNdugu zangu nisameheni sana leo nilikuwa kwenye matatizo ya kifamilia.
Nilienda huku bunju ambako nafanyia shughuli zangu kama kawaida,sasa nikiwa huko nikapigiwa simu na mke wa brother kwamba kuna mgogoro wa kifamilia,sasa nimefika pale nikakuta kuna kashikashi la kufa mtu lilipolekea mimi na brother kutwangana makonde hasa!.
Sasa kwa hasira nilizokuwa nazo nimejikuta hata kuendesha pikipiki kwa umakini nashindwa ikapelekea kupata ajali,ingawa sijaumia sana ila nimepata vimichubuko vya hapa na pale ila pikipiki imeumia!.
Hivyo mniwie radhi ndugu zangu leo imekuwa siku mbaya sana kwangu!.