Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Tulichomfanya yule mchawi hatakuja kusahau kamwe

Bila shaka hata akiamua kuishia hapo ni yeye kwani anatoa historia ya uzoefu wa maisha yake.

Tuwe wapole na tukikuta hakuna tunapita pembeni na kukoment kama hivi unasepa
 
Sorry Kama hutojali naomba uniambie mshirika in English. Samahani lakini English Ni third language, second Ni kiswahili na first ni my mother tongue sema Sasa life langu lote nimeishi na English. Samahani usije ukamaindi kuwa najifanya
No, hapana siongelei lugha. Namaanisha katika akili au mind ya mwanadamu. Kwa kusoma mistari nimeona kuna kitu kizuri unacho kuhusu mindset za watu and its very true 95% ya mafanikio ni mindset.

Hicho ndicho nimemaanisha. Ninaposoma hii story inanipa kitu fulani kikubwa sana kuhusu mind na jinsi hawa watu wanacheza na akili zetu
 
Hold on your gut please. Instant gratification Ni mbaya. Kwani akikuwekea zote ukazisoma ikamaliza unadhani utaongezeka nini. Tafuta kitabu usome ujue hata garlic na ginger inasaidia Nini mwilini. Naijua brain haipendi vitu vya maana ama vinavyotoa maumivu kichwani Bai kazi yake Ni kutafuta raha na iyo Raha huwezi tosheka Ni sawa na kuvuta hewa.


Yaani bana mie hata akitoa moja kwa mwaka Niko okay.


Yaani unataka akae hapa ili akuridhishe hisia zako wewe yaani afanye kulingana unavyotaka.

Unajua kuwa ukiamka asubuhi ukanywa maji ya uvuguvugu yenye limao na asali utaweza kukusaidia kiafya kiasi gani. Najua Ni rahisi mno kunywa soda na chipsi kuliko uji wa ulezi usio na sukari pamoja na mihogo iliyochemshwa.


Smt fanya vitu against na ubongo wako unavyotaka,hapo ulipo Ni vingapi umeshajaribu kuvitafuta na hukuvipata.


Please grown up,Kama vipi Basi usiwe unazisoma hizi story Kama zinakukera yaani fanya ishu zingine achana na story za humu.


Kazi ya ubongo Ni kukufanya usipate maumivu kwa namna yyte hata kwa kuongopa kwako wewe. Yaani umepoteza hela Ila inabidi ikudanganye kuwa Mungu atakulipia Mara what goes around comes around.


Pia na kukutafutia Raha ama pleasure kwa gharama zozote zile.


Ukitaka uishi vizuri jaribu ku reverse kaI ya ubongo utaishi vizuri.


Yaani to be rich or successful you do against nature ilichokupatia.


Jiulize Ni kwa Nini unapenda kucheki mno social networks kuliko kujisomea kitabu kinachokupa maarifa fulani ya maana. Mfano mtu aliyepatwa na stroke sijui Nini ghafula umpe huduma ya kwanza hujui Ila unajua mechi zote alizocheza yanga since 1800s so what zitakusaidia Nini na kizazi chake.

Hujawahi cheki afya yako ama hujui ufanye uzoezi uboreshe afya Ila unajua magoli aliyofunga ronado utadhani ndio history utakayokuja kusimulia wajukuu zako huku ukijitapa mbele zao.


Wengine na nyie bana mnakera. Jamaa ana Mambo yake hujamuajiri akuburudishe ama akuridhishe hisia zako,hujamnunulia bando ama hujui Kama yamepanda na huku ukiombwa buku unakuja kutapika mtandaoni.

Listen my sister/brother life is about 95% mindset na 5% ndio Ile action yenyewe.

Kikuingiacho hakikutii unajisi Bali like kikutokacho.

Saivi kimekutoka kitu kimekuletea pains kwa ubongo wako.


Hebu soma virus and bacteria wako favoured na pH ipi na body pH inatakiwa iwe ngapi standard.
Chief umetema madini sehemu sahihi sana, madini haya ungefungulia uzi wa peke yake wengi wasingesoma ila hapa watasoma tu 😄
 
Hello ndugu zangu nisameheni sana! ,leo nilipeleka chombo(pikipiki)kwa fundi tangu asubuhi,baada ya hapo nikaelekea Kituo cha polisi Gogoni huko luguruni mbezi ya kimara,kuna ndugu yangu mtoto wa shangazi alipigana jana wakati wanakunywa pombe kwenye baa moja huko mbezi sasa walifanya vurugu kubwa mno hatimaye mmiliki wa lile eneo akaita defenda ikamkamata, chanzo cha yote ni wanawake.

Sasa nimeshindwa kutwa pamoja na ndugu wengine tukihangaikia dhamana!, aiseee tumehangaika sana na hatimaye tumemtoa ndani na imetutoka hela nzuri tu!,nimetoka huko mida ya saa 11 jioni ikabidi tena twende kumpeleka mama yake anakaa gongo la mboto.

Hivyo ndugu zangu siku yangu imeisha hivyo!.Unajua ndugu ni ndugu tu haijalishi kafanya nini ni lazima mtahangaika kwa alichokifanya!.

Halafu pia ndugu zangu kumbuka hiki kisa kifupi nilianza tu kukisumulia kwa niaba ya mafunzo,kuna muda nikiwa kijiweni nisipo kuwa na abiria basi huwa nakaa naandika,ila abiria wakiwa wengi napiga kazi then nikifika nyumbani naendelea,hivyo mniwe radhi!.

Mimi nawapenda na tutamaliza tu ndugu zangu maana bado episode mbili tatu hivi tumalize!
 
Kwani alipouleta aliandika ajenda mkwekeana terms and conditions kuwa atakuwa analeta. Mbona analeta stori mkuu wewe tulia usipoikuta cheki ishu zingine za Mana ama hazipo ninayo koneksheni ya kigogo mmoja wa juu kabisa imevuja iyo ya Moto nikupe ili huo ubongo uwe bize.

Ila jifunze meditation,budha brain how to think like monk. You've to learn how to stir your mind.
Kuna hii principle ya kua usianze kitu ambacho hauna uhakika wa kukimaliza, I live by it.

Hizo meditation, How to think like a budha, A monk who sold his Ferrari, Mambo ya Metaphysics au Atomic behaviors, 12 Rules for Life, sio sababu ya kufanya kutokuulizia muendelezo.

Monica alifanya nini baada ya Mwamba kupasuliwa? Amalize alilolianza
 
Hello ndugu zangu nisameheni sana!,leo nilipeleka chombo(pikipiki)kwa fundi tangu asubuhi,baada ya hapo nikaelekea Kituo cha polisi Gogoni huko luguruni mbezi ya kimara,kuna ndugu yangu mtoto wa shangazi alipigana jana wakati wanakunywa pombe kwenye baa moja huko mbezi sasa walifanya vurugu kubwa mno hatimaye mmiliki wa lile eneo akaita defenda ikamkamata,chanzo cha yote ni wanawake.
Sasa nimeshindwa kutwa pamoja na ndugu wengine tukihangaikia dhamana!,aiseee tumehangaika sana na hatimaye tumemtoa ndani na imetutoka hela nzuri tu!,nimetoka huko mida ya saa 11 jioni ikabidi tena twende kumpeleka mama yake anakaa gongo la mboto.

Hivyo ndugu zangu siku yangu imeisha hivyo!.Unajua ndugu ni ndugu tu haijalishi kafanya nini ni lazima mtahangaika kwa alichokifanya!.

Halafu pia ndugu zangu kumbuka hiki kisa kifupi nilianza tu kukisumulia kwa niaba ya mafunzo,kuna muda nikiwa kijiweni nisipo kuwa na abiria basi huwa nakaa naandika,ila abiria wakiwa wengi napiga kazi then nikifika nyumbani naendelea,hivyo mniwe radhi!.

Mimi nawapenda na tutamaliza tu ndugu zangu maana bado episode mbili tatu hivi tumalize!
Sawa tumekuelewa
 
Kaka umughaka take your time,relax breathe in and out..THEN WHEN you feel to narrate just do it..BANDO LAKO MUDA WAKO VIDOLE VYAKO, waskupangie maisha.

Kwanza mtu unavizia vizia jf muda wote huna kazi?? Vijana wa hii nchi bure kabisa fanyeni kazi sio mnakaa kulilia story muda woote mnadhani jamaa hana familia au majukumu.
 
Hello ndugu zangu nisameheni sana!,leo nilipeleka chombo(pikipiki)kwa fundi tangu asubuhi,baada ya hapo nikaelekea Kituo cha polisi Gogoni huko luguruni mbezi ya kimara,kuna ndugu yangu mtoto wa shangazi alipigana jana wakati wanakunywa pombe kwenye baa moja huko mbezi sasa walifanya vurugu kubwa mno hatimaye mmiliki wa lile eneo akaita defenda ikamkamata,chanzo cha yote ni wanawake.
Sasa nimeshindwa kutwa pamoja na ndugu wengine tukihangaikia dhamana!,aiseee tumehangaika sana na hatimaye tumemtoa ndani na imetutoka hela nzuri tu!,nimetoka huko mida ya saa 11 jioni ikabidi tena twende kumpeleka mama yake anakaa gongo la mboto.

Hivyo ndugu zangu siku yangu imeisha hivyo!.Unajua ndugu ni ndugu tu haijalishi kafanya nini ni lazima mtahangaika kwa alichokifanya!.

Halafu pia ndugu zangu kumbuka hiki kisa kifupi nilianza tu kukisumulia kwa niaba ya mafunzo,kuna muda nikiwa kijiweni nisipo kuwa na abiria basi huwa nakaa naandika,ila abiria wakiwa wengi napiga kazi then nikifika nyumbani naendelea,hivyo mniwe radhi!.

Mimi nawapenda na tutamaliza tu ndugu zangu maana bado episode mbili tatu hivi tumalize!

Monica yupo wapi siku hizi?
 
Hold on your gut please. Instant gratification Ni mbaya. Kwani akikuwekea zote ukazisoma ikamaliza unadhani utaongezeka nini. Tafuta kitabu usome ujue hata garlic na ginger inasaidia Nini mwilini. Naijua brain haipendi vitu vya maana ama vinavyotoa maumivu kichwani Bai kazi yake Ni kutafuta raha na iyo Raha huwezi tosheka Ni sawa na kuvuta hewa.


Yaani bana mie hata akitoa moja kwa mwaka Niko okay.


Yaani unataka akae hapa ili akuridhishe hisia zako wewe yaani afanye kulingana unavyotaka.

Unajua kuwa ukiamka asubuhi ukanywa maji ya uvuguvugu yenye limao na asali utaweza kukusaidia kiafya kiasi gani. Najua Ni rahisi mno kunywa soda na chipsi kuliko uji wa ulezi usio na sukari pamoja na mihogo iliyochemshwa.


Smt fanya vitu against na ubongo wako unavyotaka,hapo ulipo Ni vingapi umeshajaribu kuvitafuta na hukuvipata.


Please grown up,Kama vipi Basi usiwe unazisoma hizi story Kama zinakukera yaani fanya ishu zingine achana na story za humu.


Kazi ya ubongo Ni kukufanya usipate maumivu kwa namna yyte hata kwa kuongopa kwako wewe. Yaani umepoteza hela Ila inabidi ikudanganye kuwa Mungu atakulipia Mara what goes around comes around.


Pia na kukutafutia Raha ama pleasure kwa gharama zozote zile.


Ukitaka uishi vizuri jaribu ku reverse kaI ya ubongo utaishi vizuri.


Yaani to be rich or successful you do against nature ilichokupatia.


Jiulize Ni kwa Nini unapenda kucheki mno social networks kuliko kujisomea kitabu kinachokupa maarifa fulani ya maana. Mfano mtu aliyepatwa na stroke sijui Nini ghafula umpe huduma ya kwanza hujui Ila unajua mechi zote alizocheza yanga since 1800s so what zitakusaidia Nini na kizazi chake.

Hujawahi cheki afya yako ama hujui ufanye uzoezi uboreshe afya Ila unajua magoli aliyofunga ronado utadhani ndio history utakayokuja kusimulia wajukuu zako huku ukijitapa mbele zao.


Wengine na nyie bana mnakera. Jamaa ana Mambo yake hujamuajiri akuburudishe ama akuridhishe hisia zako,hujamnunulia bando ama hujui Kama yamepanda na huku ukiombwa buku unakuja kutapika mtandaoni.

Listen my sister/brother life is about 95% mindset na 5% ndio Ile action yenyewe.

Kikuingiacho hakikutii unajisi Bali like kikutokacho.

Saivi kimekutoka kitu kimekuletea pains kwa ubongo wako.


Hebu soma virus and bacteria wako favoured na pH ipi na body pH inatakiwa iwe ngapi standard.
MURIBA
 
Hello ndugu zangu nisameheni sana!,leo nilipeleka chombo(pikipiki)kwa fundi tangu asubuhi,baada ya hapo nikaelekea Kituo cha polisi Gogoni huko luguruni mbezi ya kimara,kuna ndugu yangu mtoto wa shangazi alipigana jana wakati wanakunywa pombe kwenye baa moja huko mbezi sasa walifanya vurugu kubwa mno hatimaye mmiliki wa lile eneo akaita defenda ikamkamata,chanzo cha yote ni wanawake.
Sasa nimeshindwa kutwa pamoja na ndugu wengine tukihangaikia dhamana!,aiseee tumehangaika sana na hatimaye tumemtoa ndani na imetutoka hela nzuri tu!,nimetoka huko mida ya saa 11 jioni ikabidi tena twende kumpeleka mama yake anakaa gongo la mboto.

Hivyo ndugu zangu siku yangu imeisha hivyo!.Unajua ndugu ni ndugu tu haijalishi kafanya nini ni lazima mtahangaika kwa alichokifanya!.

Halafu pia ndugu zangu kumbuka hiki kisa kifupi nilianza tu kukisumulia kwa niaba ya mafunzo,kuna muda nikiwa kijiweni nisipo kuwa na abiria basi huwa nakaa naandika,ila abiria wakiwa wengi napiga kazi then nikifika nyumbani naendelea,hivyo mniwe radhi!.

Mimi nawapenda na tutamaliza tu ndugu zangu maana bado episode mbili tatu hivi tumalize!
Ila mwambie Monika asimuadhibu baba yako mdogo
 
Kuna hii principle ya kua usianze kitu ambacho hauna uhakika wa kukimaliza, I live by it.

Hizo meditation, How to think like a budha, A monk who sold his Ferrari, Mambo ya Metaphysics au Atomic behaviors, 12 Rules for Life, sio sababu ya kufanya kutokuulizia muendelezo.

Monica alifanya nini baada ya Mwamba kupasuliwa? Amalize alilolianza
Si ataleta mwamba shikilia kichwa chako yaani Naona ukikaribia kumaliza huwezi kuchomoa kwani.

Nakuambia tu brain haina shukrani na always ni negative assessment machine ,it always scans hazardous situation in our environment.

Mie sihusiani kwanza na umughaka na mie sio sekretari wake Ila nimechangia maada sema ssa Naona Kuna watu hawezi chomoa utamu ukiwa unakaribia.

Pia iyo principle Ina apply kwa wote
 
Chief umetema madini sehemu sahihi sana, madini haya ungefungulia uzi wa peke yake wengi wasingesoma ila hapa watasoma tu 😄
Mie sishangai ubongo tuliopewa yaani sio rafiki kabisa kwetu. Unapenda Raha na unachukia Mambo ya maana.

Mfano zoezi là kila asubuhi hata la nusu saa kila siku tu hautaki Ila kwa social networks muda unapaltikana ama kwa series ama kwa kuchati na hizo Mambo hazina faida yyte kwetu Basi tu.

Study brain to know yourself
 
Si ataleta mwamba shikilia kichwa chako yaani Naona ukikaribia kumaliza huwezi kuchomoa kwani. Nakuambia tu brain haina shukrani na always ni negative assessment machine ,it always scans hazardous situation in our environment.
Mie sihusiani kwanza na umughaka na mie sio sekretari wake Ila nimechangia maada sema ssa Naona Kuna watu hawezi chomoa utamu ukiwa unakaribia.

Pia iyo principle Ina apply kwa wote
Kuna patterns naziona hapa just stick around kuna few boxes left to tick, then nitakutag katika conclusion.
 
Kuna patterns naziona hapa just stick around kuna few boxes left to tick, then nitakutag katika conclusion.
Hakuna nouma mwamba ama unawaza Mara njoo telegram lipia buku uunganishwe.

Na waafrika sijui Ni waafrika tunapenda story ama filamu za kichawi mapenzi umbeya soka sijui na Nini ,Mana maagizo mengi Ni hayo hayo ukiwacheki mpaka kwangu Sina tv nimeamua kuweka kabati kubwa ya vitabu.

Nimeanza kucheki mwaka 95 kufika 08 ndio nikajua kuwa Ni uwongo Mana niliona live pia sikuwahi kupata zaidi ya kufurahi....


Unakumbuka mshkaji aliyesema kuwa aliishi gamboshi akawa anasimulia redio free Mara ghafula kuwa anaandika kitabu.

Ila Sasa andika ama uwe na YouTube channel Mambo ya muhimu hupati mweusi.
Nina mpango wa kuwa na apps ya umbeya Mambo ya koneksheni huoni kimambi anavyopiga hela kwa umbeya.


Yaani brain inapenda kuwa stimulated iwe na furaha Basi sema maumivu
 
Hello ndugu zangu nisameheni sana!,leo nilipeleka chombo(pikipiki)kwa fundi tangu asubuhi,baada ya hapo nikaelekea Kituo cha polisi Gogoni huko luguruni mbezi ya kimara,kuna ndugu yangu mtoto wa shangazi alipigana jana wakati wanakunywa pombe kwenye baa moja huko mbezi sasa walifanya vurugu kubwa mno hatimaye mmiliki wa lile eneo akaita defenda ikamkamata,chanzo cha yote ni wanawake.
Sasa nimeshindwa kutwa pamoja na ndugu wengine tukihangaikia dhamana!,aiseee tumehangaika sana na hatimaye tumemtoa ndani na imetutoka hela nzuri tu!,nimetoka huko mida ya saa 11 jioni ikabidi tena twende kumpeleka mama yake anakaa gongo la mboto.

Hivyo ndugu zangu siku yangu imeisha hivyo!.Unajua ndugu ni ndugu tu haijalishi kafanya nini ni lazima mtahangaika kwa alichokifanya!.

Halafu pia ndugu zangu kumbuka hiki kisa kifupi nilianza tu kukisumulia kwa niaba ya mafunzo,kuna muda nikiwa kijiweni nisipo kuwa na abiria basi huwa nakaa naandika,ila abiria wakiwa wengi napiga kazi then nikifika nyumbani naendelea,hivyo mniwe radhi!.

Mimi nawapenda na tutamaliza tu ndugu zangu maana bado episode mbili tatu hivi tumalize!
Pole mkuu usijali kuna maisha nje ya jf
 
Hakuna nouma mwamba ama unawaza Mara njoo telegram lipia buku uunganishwe. Na waafrika sijui Ni waafrika tunapenda story ama filamu za kichawi mapenzi umbeya soka sijui na Nini ,Mana maagizo mengi Ni hayo hayo ukiwacheki mpaka kwangu Sina tv nimeamua kuweka kabati kubwa ya vitabu.
Nimeanza kucheki mwaka 95 kufika 08 ndio nikajua kuwa Ni uwongo Mana niliona live pia sikuwahi kupata zaidi ya kufurahi....


Unakumbuka mshkaji aliyesema kuwa aliishi gamboshi akawa anasimulia redio free Mara ghafula kuwa anaandika kitabu.

Ila Sasa andika ama uwe na YouTube channel Mambo ya muhimu hupati mweusi.
Nina mpango wa kuwa na apps ya umbeya Mambo ya koneksheni huoni kimambi anavyopiga hela kwa umbeya.


Yaani brain inapenda kuwa stimulated iwe na furaha Basi sema maumivu
Tuwe na subra.
 
Back
Top Bottom