Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna kitu nmekielewa kuhusu hii post kuwa tu mkweliHello ndugu zangu nisameheni sana!,leo nilipeleka chombo(pikipiki)kwa fundi tangu asubuhi,baada ya hapo nikaelekea Kituo cha polisi Gogoni huko luguruni mbezi ya kimara,kuna ndugu yangu mtoto wa shangazi alipigana jana wakati wanakunywa pombe kwenye baa moja huko mbezi sasa walifanya vurugu kubwa mno hatimaye mmiliki wa lile eneo akaita defenda ikamkamata,chanzo cha yote ni wanawake.
Sasa nimeshindwa kutwa pamoja na ndugu wengine tukihangaikia dhamana!,aiseee tumehangaika sana na hatimaye tumemtoa ndani na imetutoka hela nzuri tu!,nimetoka huko mida ya saa 11 jioni ikabidi tena twende kumpeleka mama yake anakaa gongo la mboto.
Hivyo ndugu zangu siku yangu imeisha hivyo!.Unajua ndugu ni ndugu tu haijalishi kafanya nini ni lazima mtahangaika kwa alichokifanya!.
Halafu pia ndugu zangu kumbuka hiki kisa kifupi nilianza tu kukisumulia kwa niaba ya mafunzo,kuna muda nikiwa kijiweni nisipo kuwa na abiria basi huwa nakaa naandika,ila abiria wakiwa wengi napiga kazi then nikifika nyumbani naendelea,hivyo mniwe radhi!.
Mimi nawapenda na tutamaliza tu ndugu zangu maana bado episode mbili tatu hivi tumalize!
Nani awe mkwelii boss wanguu?Kuna kitu nmekielewa kuhusu hii post kuwa tu mkweli
Ilishatabiriwa mtashinda gemu ya leo arsenal the gunnersWakuu nilikuwa nacheki gemu ya timu yangu pendwa ya Arsenal na tumeichakaza vibaya timu ya Liverpool!.
Eeeh Mmeshindaje wananzego?,Mpo?
Ilishatabiriwa mtashinda gemu ya leo arsenal the gunnersView attachment 2383039View attachment 2383038Wakuu nilikuwa nacheki gemu ya timu yangu pendwa ya Arsenal na tumeichakaza vibaya timu ya Liverpool!.
Eeeh Mmeshindaje wananzego?,Mpo?
Ilishatabiriwa mtashinda gemu ya jana arsenal the gunners.View attachment 2383039View attachment 2383038Wakuu nilikuwa nacheki gemu ya timu yangu pendwa ya Arsenal na tumeichakaza vibaya timu ya Liverpool!.
Eeeh Mmeshindaje wananzego?,Mpo?
faza mnoko [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapo pa kupigwa viboko assembly na wewe si mwanafunzi utunzi wako haujaenda sawa. HAIWEZEKANI. unapotunga jaribu kuwa makini sana ili usitoke sana mbali ya Uhalisia. Haijawahi tokea kosa la nyumbani mtu akaadhibiwe Shuleni tena si mwanafunzi. Hapo uwe makini.
Jaribu kuvaa uhusika wa Monica mkuu halafu tabiri nini kitamtokea headmaster🤣Jiooooni ya leo
Kila mtu ajitungie muendelezo wa stori ya umughaka...then tuipigie kura ili huyo muhisika aipige Hadi mwisho
Usisahau mwalimu mkuu ni mkurya🤣Hapo pa kupigwa viboko assembly na wewe si mwanafunzi utunzi wako haujaenda sawa. HAIWEZEKANI. unapotunga jaribu kuwa makini sana ili usitoke sana mbali ya Uhalisia. Haijawahi tokea kosa la nyumbani mtu akaadhibiwe Shuleni tena si mwanafunzi. Hapo uwe makini.
Hapo pa kupigwa viboko assembly na wewe si mwanafunzi utunzi wako haujaenda sawa. HAIWEZEKANI. unapotunga jaribu kuwa makini sana ili usitoke sana mbali ya Uhalisia. Haijawahi tokea kosa la nyumbani mtu akaadhibiwe Shuleni tena si mwanafunzi. Hapo uwe makini.
Maeneo yangu hayo nimefundisha bungurere nikiwa nakaa kemende kwa Akina gisero kabati hahaaaaaaNiambie kemendi muriba bughucha bungurere ghebasisi itiryo nyanungu ghibaso keribho mangucha ghokemange ghukimusi kimusi nyantira masanga
Hello ndugu zangu nisameheni sana!,leo nilipeleka chombo(pikipiki)kwa fundi tangu asubuhi,baada ya hapo nikaelekea Kituo cha polisi Gogoni huko luguruni mbezi ya kimara,kuna ndugu yangu mtoto wa shangazi alipigana jana wakati wanakunywa pombe kwenye baa moja huko mbezi sasa walifanya vurugu kubwa mno hatimaye mmiliki wa lile eneo akaita defenda ikamkamata,chanzo cha yote ni wanawake.
Sasa nimeshindwa kutwa pamoja na ndugu wengine tukihangaikia dhamana!,aiseee tumehangaika sana na hatimaye tumemtoa ndani na imetutoka hela nzuri tu!,nimetoka huko mida ya saa 11 jioni ikabidi tena twende kumpeleka mama yake anakaa gongo la mboto.
Hivyo ndugu zangu siku yangu imeisha hivyo!.Unajua ndugu ni ndugu tu haijalishi kafanya nini ni lazima mtahangaika kwa alichokifanya!.
Halafu pia ndugu zangu kumbuka hiki kisa kifupi nilianza tu kukisumulia kwa niaba ya mafunzo,kuna muda nikiwa kijiweni nisipo kuwa na abiria basi huwa nakaa naandika,ila abiria wakiwa wengi napiga kazi then nikifika nyumbani naendelea,hivyo mniwe radhi!.
Mimi nawapenda na tutamaliza tu ndugu zangu maana bado episode mbili tatu hivi tumalize!
Pole kwa changamoto.Hello ndugu zangu nisameheni sana!,leo nilipeleka chombo(pikipiki)kwa fundi tangu asubuhi,baada ya hapo nikaelekea Kituo cha polisi Gogoni huko luguruni mbezi ya kimara,kuna ndugu yangu mtoto wa shangazi alipigana jana wakati wanakunywa pombe kwenye baa moja huko mbezi sasa walifanya vurugu kubwa mno hatimaye mmiliki wa lile eneo akaita defenda ikamkamata,chanzo cha yote ni wanawake.
Sasa nimeshindwa kutwa pamoja na ndugu wengine tukihangaikia dhamana!,aiseee tumehangaika sana na hatimaye tumemtoa ndani na imetutoka hela nzuri tu!,nimetoka huko mida ya saa 11 jioni ikabidi tena twende kumpeleka mama yake anakaa gongo la mboto.
Hivyo ndugu zangu siku yangu imeisha hivyo!.Unajua ndugu ni ndugu tu haijalishi kafanya nini ni lazima mtahangaika kwa alichokifanya!.
Halafu pia ndugu zangu kumbuka hiki kisa kifupi nilianza tu kukisumulia kwa niaba ya mafunzo,kuna muda nikiwa kijiweni nisipo kuwa na abiria basi huwa nakaa naandika,ila abiria wakiwa wengi napiga kazi then nikifika nyumbani naendelea,hivyo mniwe radhi!.
Mimi nawapenda na tutamaliza tu ndugu zangu maana bado episode mbili tatu hivi tumalize!