Tulidanganywa sana kuhusu vidole viwili vilivyokunjuliwa hewani kuwa ni alama ya Shetani-Freemason!

Tulidanganywa sana kuhusu vidole viwili vilivyokunjuliwa hewani kuwa ni alama ya Shetani-Freemason!

maadam president anaamini katika utawala wa Satan hapo kampa masonic salute kama ilivyo desturi kwa masonic members wote 🌎
hawezi pata huo u president pamoja na kuamini kwake masheitwani
 
Tukiwa wadogo kulikuwa na watu fulani mjini kazi yao wanatembea na picha za watu maarafu kama Michael Jackson, Bill Clinton, n.k wakiwa wamepunga mkono wenye vidole viwili vilivyonyooshwa ambayo ni lugha ya alama(sign language) ya Marekani ya "i love you"/ nawapenda/nakupenda wao wanawafundisha watu ni salamu ya Freemason.
Ujinga mtupu.
takbiiir
 
We ndo fwala hujui kitu hii ni ishara ya salamu ya wajenzi huru eti ilove you na ishara ya kopa inaashiria nini?
 
Tukiwa wadogo kulikuwa na watu fulani mjini kazi yao wanatembea na picha za watu maarafu kama Michael Jackson, Bill Clinton, n.k wakiwa wamepunga mkono wenye vidole viwili vilivyonyooshwa ambayo ni lugha ya alama(sign language) ya Marekani ya "i love you"/ nawapenda/nakupenda wao wanawafundisha watu ni salamu ya Freemason.
Ujinga mtupu.

Inawezekana ni kweli na Inawezekana sio kweli, hiyo ni alama ya siri ya makundi ya siri.

Hakuna anayeaminishwa. Ila Fremasonry wanafanya mambo yao kwa siri sana na wana codes zao za mawasiliano. Hilo lipo, sio suala ya kuaminishwa. Na kama sio mmoja wao mengine hutaweza kuyajua
 
Wazushi walikuwa ni masheikh ubwabwa walioishia darasa la saba walikuwa wanafyatua CD nyingi juu kwenye makaratasi wamemchora Obama, Papa akisalimiana na watu maarufu, Rick Ross na macheni yake na mapete. Juu ya CD wanachora bikari na kuandika 666 na alama za damu kushawishi mauzo.

Ndani maelezo yao wanaanza kusema Manchester United ni timu ya shetani ndio maana inajiita Red Devils. Wanaandika ubaoni kujumlisha herufi za maneno mfano computer wanafanya wanavyojua wao mwishoni jibu ni 666 tiyari hiyo imeanzishwa na Freemason.

Waliuza mno nadhani ndio kipindi masheikh majini wanapiga hela. Baadae wakaja kina Dokta Ndodi "Hakikaa... hakiikaa... natembea mimi ni marehemu".
Kabla kina Mwamposa hawajaanza kuuza maji.
Nimecheka saana, Hakika... hakika... natembea Mimi ni marehemu"
 
Wazushi walikuwa ni masheikh ubwabwa walioishia darasa la saba walikuwa wanafyatua CD nyingi juu kwenye makaratasi wamemchora Obama, Papa akisalimiana na watu maarufu, Rick Ross na macheni yake na mapete. Juu ya CD wanachora bikari na kuandika 666 na alama za damu kushawishi mauzo.

Ndani maelezo yao wanaanza kusema Manchester United ni timu ya shetani ndio maana inajiita Red Devils. Wanaandika ubaoni kujumlisha herufi za maneno mfano computer wanafanya wanavyojua wao mwishoni jibu ni 666 tiyari hiyo imeanzishwa na Freemason.

Waliuza mno nadhani ndio kipindi masheikh majini wanapiga hela. Baadae wakaja kina Dokta Ndodi "Hakikaa... hakiikaa... natembea mimi ni marehemu".
Kabla kina Mwamposa hawajaanza kuuza maji.
Mashehe wa kenya ndio walianza. Kipindi cha kikwete kulikuwa orodha nyingi za watanzania maarufu walio freemason. Alipoingia magufuli orodha zote zilipotea
 
Acha uongo, shetani umemuona wapi.
jiulize ulishahi kuona wapi hiyo pumzi unayovuta.
kama hujawahi kuona basi tambua ya kwamba ilipo pumzi unayovuta ndipo alipo huyo shetani
 
Back
Top Bottom