Tulidanganywa sana kuhusu vidole viwili vilivyokunjuliwa hewani kuwa ni alama ya Shetani-Freemason!

Tulidanganywa sana kuhusu vidole viwili vilivyokunjuliwa hewani kuwa ni alama ya Shetani-Freemason!

Wazushi walikuwa ni masheikh ubwabwa walioishia darasa la saba walikuwa wanafyatua CD nyingi juu kwenye makaratasi wamemchora Obama, Papa akisalimiana na watu maarufu, Rick Ross na macheni yake na mapete. Juu ya CD wanachora bikari na kuandika 666 na alama za damu kushawishi mauzo.

Ndani maelezo yao wanaanza kusema Manchester United ni timu ya shetani ndio maana inajiita Red Devils. Wanaandika ubaoni kujumlisha herufi za maneno mfano computer wanafanya wanavyojua wao mwishoni jibu ni 666 tiyari hiyo imeanzishwa na Freemason.

Waliuza mno nadhani ndio kipindi masheikh majini wanapiga hela. Baadae wakaja kina Dokta Ndodi "Hakikaa... hakiikaa... natembea mimi ni marehemu".
Kabla kina Mwamposa hawajaanza kuuza maji.
Walitupiga sana ba mimi nikiwemo.

Wanachora G kubwa imesimama ndani ya Pembe tatu na Bikali.
Pembeni pete nyingi za dhahabu na silver😅😅😅
 
Tukiwa wadogo kulikuwa na watu fulani mjini kazi yao wanatembea na picha za watu maarafu kama Michael Jackson, Bill Clinton, n.k wakiwa wamepunga mkono wenye vidole viwili vilivyonyooshwa ambayo ni lugha ya alama(sign language) ya Marekani ya "i love you"/ nawapenda/nakupenda wao wanawafundisha watu ni salamu ya Freemason.
Ujinga mtupu.
Umedanganywa na nani? Kuna masananmu kibao yanaonesha hizo ni sign za Shetani na hao wanaoabudu hizo Dini za shetani hawakatai, kweli uchawa ni kazi.

Hio ni Horn sign na zipo sign nyingi tu. Hiyo sign unaipata kwenye Baphomet hand
images (55).jpeg

images (54).jpeg

Moja ya Kanisa la shetani linalojulikana lipo Detroit Marekani na nje kuna sanamu la Baohomet. Hawajifichi wanajulikana na hata wewe unaweza kwenda ukaliona.

Bbc pia Wali report lilipozinduliwa
 
Uko sahihi sana Yoda Hiyo ndo maana Yake kwakuwa inaresemble Love..

Japo Pia Hutumika Kama Mudra..(APANA MUDRA)
Kucalm the Bad Energy na Kuvuta Energy nzuri
Screenshot_20241104_151225_Adobe Acrobat.jpg


Ukienda kwa Wakatolic Wanayo Picha Yesu akifanya Apana Mudra wakati fulani ili kuclean Energy mbaya inayomzunguka..
images (1).jpeg
 
Africa tuna ujinga usio na maana imagine rangi za rainbow zipo miaka na miaka ila baada ya issue za ushoga basi hadi shule ikionekana na hizo rangi raia wanapiga simu polisi na wanatangaza shulejinafundisha mambo ya kishoga..
Isee tunaujinga wa hali ya juu sana.
 
Wanaweza wakaamua kutumia hata uume kama alama yao na cha kuwafanya huna
Hakuna shida kwan mimi nimepinga hilo mkuu?
Na hata wakiamua kutumia hiyo symbol kwan watakua wa kwanza?
Au hujui huu mnara pale US ni code ya uume kama ilivyokua kwa sanamu ya Nebchadnezer aa Babylon?
Washington_Monument_2022.jpg
 
Nini maana ya APANA MUDRA

naomba elimu tafadhari
Kwanza Tuanze nini maana Ya Mudra maana Mudra ziko Nyingi sana na Apana Ni moja ya Mudra tu..

Mudra ni symbolic hand gesture Ambayo inatumika ku activate and create a circuit of prana (Life Force/Vital energy) in the body"

Sasa Jinsi unavyoweka Mikono Ndo una activate Hizo vital Energy au Life Force kwa kazi gani kwa mfano kuna Ila mudra ya Kunyamazisha watu..

Kuna ile ya kutaka Nisikilizwe..

Zipo nyingi sana kuna ya Kutaka Amani itawale..

So unapoweka gesture hiyo una activate Circuit na mwili unaongeza energy uliyoomba Kulingana na Vital Energy you posses..

Kwa mfano Apana ni kwa ajili ya Kuondoa negative energy na Detoxy from mabaya..
Ukiwa sehemu kuna watu wengi huwezj jua nani mbaya na nani mwema So ukifanya APANA muxra ni kama unazuia Ubaya na Kuencarage upendo..
 
Alama ni lugha, kama huijui huwezi kujua kilichomaanishwa hivyo basi lazima mtu mwenye ufahamu sahihi akujulishe, kinyume na hapo zinabaki hear say na maoni ya mtu binafsi...tafiti,soma Kwa waliowahi kuwa ndani au waliowahi kuwa karibu na watu wa ndani.
 
Back
Top Bottom