Yani tumeshakua kama Ntibazonkiza kumbe bado umri kama Denis nkane... ila tatizo zaidi linachangiwa na Shirikisho kumuachia kibendera TaTu Malogo kila tukitaka kufunga Offside ila upande wa pili wanafunga tunarudishwa kati....Tuna miguu ya Aziz Ki ila tuko Mashujaa kama Crispin Ngushi...
Waafrika wengi siwatofaitishi na wanyama pori kama nyumbu, swala na wanyama wengine wa mwituni. Mtu anazaa akiwa hana mikakati ya kulea watoto anaowazaa yaani waafrika wakipigwa na maisha ndipo wanafyatua watoto kama tofali sijui wanamini kuwa watoto ndio watakuja kumsaidia pale alipopashindwa.
Kanuni muhimu ya kutongoza: usipige shuti kama huna uhakika wa kufunga! Utapaisha kisha utazomewa halafu utajisikia vibaya
Kanuni ya pili usiondoe gari mpaka kijani iwake! Na kama Umeme umekatika na hakuna traffic epuka gombania goli
Waafrika wengi siwatofaitishi na wanyama pori kama nyumbu, swala na wanyama wengine wa mwituni. Mtu anazaa akiwa hana mikakati ya kulea watoto anaowazaa yaani waafrika wakipigwa na maisha ndipo wanafyatua watoto kama tofali sijui wanamini kuwa watoto ndio watakuja kumsaidia pale alipopashindwa.
Yani tumeshakua kama Ntibazonkiza kumbe bado umri kama Denis nkane... ila tatizo zaidi linachangiwa na Shirikisho kumuachia kibendera TaTu Malogo kila tukitaka kufunga Offside ila upande wa pili wanafunga tunarudishwa kati....Tuna miguu ya Aziz Ki ila tuko Mashujaa kama Crispin Ngushi...