Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mnaingia katika historia ya Taifa hili. Mtatambulika hata na vizazi vijavyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japan wangekuwa wanakuja kuomba misaada huku kwetuKila Mtanzania angekuwa na spirit kama yako ya kuwa tayari kukutetea anachokiamini kwa gharama yoyote,kwa na rasilimali tulizo nazo tungekuwa kama Japan/Germany
Inawezekana siyo mahabusu Moja.Si waliwekwa mahabusu wote?
Yeye si atajibuInawezekana siyo mahabusu Moja.
Maelezo yake huoni anamtaja zaidi Mwabukusi??Yeye si atajibu
👏Lakini pia bado niko kwenye mashauriano na mawakili wangu nataka kuwafungulia kesi baadhi ya maafisa wa polisi kwa majina yao badala ya vyeo vyao maana askari unapofanya vitu kinyume na sheria hiyo ni utashi wake binafsi na anapaswa kuwajibika mwenyewe.
Usitake kila mtu awe mateka wa watesi wetu . Uoga wako usigeuze kuwa ugonjwa wa kuambukiza watanganyika wengine.Bro ulimmiss yule nyapara jamaa yako maana umejiingiza kwenye kitu kisichouhusu ili tu upelekwe mahabusu. Bro, utakuja kufa vibaya Sana kwa huu upuuzi wako. Hizi sifa wanazokusifu huku mtandaoni zitakuja kukutokea puani.
Hakuna mtu mmoja chini ya jua aliyewahi kushindana na dola na akashinda. Huoni wakina mbowe baada ya kuminywa pumbu wametulia.
Kwani yeye hawezi kujibu?Maelezo yake huoni anamtaja zaidi Mwabukusi??
Hakuna mahali ametaja kuwa alikutana na Slaa akiwa mahabusu.
Jamaa ni Sintch??Kila siku mnaambiwa kuweni makini na Emanuel Masonga. Naona mmechagua kuwa sikio la kufa
Kwani ni lazima ajibu yeye?Kwani yeye hawezi kujibu?
Amefanyaje?Kila siku mnaambiwa kuweni makini na Emanuel Masonga. Naona mmechagua kuwa sikio la kufa
Maana ya kuleta bandiko nini?Kwani ni lazima ajibu yeye?
Hili ni jukwaa la wazi Kwa kila mtu.