Tulikotoka: Hamisa Mobetto akimaliza Masomo yake Kidato cha Nne Tandale Sekondari

Tulikotoka: Hamisa Mobetto akimaliza Masomo yake Kidato cha Nne Tandale Sekondari

Shule ya msingi alisoma Muungano ipo temeke karibu na msikiti wa tungi, shule ya sekondari alisoma Tandika na kumaliza mwaka 2011.

Aliyekwambia alisoma tandale amekuongopea.

Hata hivyo, huyo dada kusoma Temeke na sio Tandiko, siyo Fact yenye faida yoyote mpaka umkosoe.Hata angesema kasoma Kilwa kivinje who cares?
Huyo mobetto ana faida gani, mpaka tu fact-checking historia yake

Halafu hizo useless data mpaka shule ya msingi aliyosoma umezishika za nini?
 
Hizi nchi zetu kupiga hatua ni ngumu mno cause tuna watukuza "vilaza"
Na kupuuza mambo ya msingi
Huyo dem kugongwa na Rick Ross imekuwa habari nchi nzima

Trump alikua sahihi, shit-hole countries
Sio nchi dunia nzima.
 
Yaani umekomeeeesha ahaaaaa! Anaingiza dolali tz, akiwatumia wadogoze.
Analeta fedha za kigeni nchini. Pesa hizo akija nazo bongo afanya matumizi mbalimbali hivyo kuogeza mzunguko wa fedha na kodi. Kitaalam inaitwa multiplier effect. Ni kama foreign exchange flani hivi.
 
Analeta fedha za kigeni nchini. Pesa hizo akija nazo bongo afanya matumizi mbalimbali hivyo kuogeza mzunguko wa fedha na kodi. Kitaalam inaitwa multiplier effect. Ni kama foreign exchange flani hivi.
Irene uyiya alivyokuwa anagongwa na vitoto wakamshutua akahamia kwa vizee angalau kwa sasa anamiliki pesa. Huyu misa ashamjengea mamake, papuch inaingiza fedha za kigeni uenda anarudi na kadraca kama ya mondo mmewe wa zaman
 
Hata hivyo, huyo dada kusoma Temeke na sio Tandiko, siyo Fact yenye faida yoyote mpaka umkosoe.Hata angesema kasoma Kilwa kivinje who cares?
Huyo mobetto ana faida gani, mpaka tu fact-checking historia yake

Halafu hizo useless data mpaka shule ya msingi aliyosoma umezishika za nini?
Mkuu tatizo ukosefu wa kazi vichwa viko empty zaidi ya trick za kubet hakuna kingine atakosa kuweka kumbukumbu za kipumbavu kama hizi?
 
ichi kibinti huwa sikipendi balaa kwasababu kinafanana na X wangu aliyetaka hadi kuvunja ndoa yangu, ana sura kama hiyo akili kichwani hamna kam ahuyu anawaza tu ngono na pesa kazi hafanyi, hadi alinitegeshea mimba nalea mtoto hadi leo. Mungu anisamehe nisimchukie lakini nikimwona tu huwa naona dalili zote za x wangu zinaonekana kwake.
 
ichi kibinti huwa sikipendi balaa kwasababu kinafanana na X wangu aliyetaka hadi kuvunja ndoa yangu, ana sura kama hiyo akili kichwani hamna kam ahuyu anawaza tu ngono na pesa kazi hafanyi, hadi alinitegeshea mimba nalea mtoto hadi leo. Mungu anisamehe nisimchukie lakini nikimwona tu huwa naona dalili zote za x wangu zinaonekana kwake.
Pole sana, kwa mtegesheo wa Mimba. Hata Ric Rose kwa Hamisa hajapona, anajodai anatumia kinga, anaweza kuchukua ndomu ikatunzwa kwenye kifa maalum siku yuko kwenye siku mbaya anatumbukiza yale nani anapata mimba ya kimarekani, kesho wanadai child support. Watz mashaidi maana picha za tarehe tunazo. Hapo mamilion yanamwagwa tz kwa hela za kidololali
 
Shemeji kanogewa anakuja kuinvest hapa hapa

FB_IMG_1638092663769.jpg
 
Hizi nchi zetu kupiga hatua ni ngumu mno cause tuna watukuza "vilaza"
Na kupuuza mambo ya msingi
Huyo dem kugongwa na Rick Ross imekuwa habari nchi nzima

Trump alikua sahihi, shit-hole countries
Kaz kweli kweli

Ova
 
Back
Top Bottom