Tulimchukia Hayati Magufuli bila sababu za msingi, sasa tumetambua kuwa alikuwa sahihi, yanayofanyika sasa ni aibu

Tulimchukia Hayati Magufuli bila sababu za msingi, sasa tumetambua kuwa alikuwa sahihi, yanayofanyika sasa ni aibu

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Ukweli ni kuwa kwenye misingi madhubuti ya kudhibiti rushwa, mikataba mibovu na upigaji wa ajabu ajabu hayati alinyoosha hii nchi. Maana tulianza kusahau haya maugoro.

Sisi sababu tulishazoea janjanjanja hasa Mbowe na baadhi ya makamanda tukachukia. Tukawa tunahitaji wajanja wakae madarakani.

Leo hii tunashuhudia madudu ambayo yanamuumiza mwannanchi wa kawaida huku Vigogo wa CCM wakifurahia .

Inaumiza sana
 
Ukweli ni kuwa kwenye misingi madhubuti ya kudhibiti rushwa , mikataba mibovu na upigaji wa ajabu ajabu hayati alinyoosha hii nchi. Maana tulianza kusahau haya maugoro.

Sisi sababu tulishazoea janjanjanja hasa Mbowe na baadhi ya makamanda tukachukia. Tukawa tunahitaji wajanja wakae madarakani.

Leo hii tunashuhudia madudu ambayo yanamuumiza mwannanchi wa kawaida huku Vigogo wa CCM wakifurahia .

Inaumiza sana
Mwanzilishi wa Mikataba ya hovyo ni Magufuri baada ya kuwakataa wapinzani kwenye serikali yake matokeo yake ndiyo haya unayoyaona leo,hakuna mwanadamu aliyekamilika.
 
Usichanganye cdm na nyie sukuma gang.

KAMFUFUENI, DR SAMIAH SONGA MBERE!
Ndugu zanuni.....Miliwapa silaha Maharamia na Mamluki kutumia fursa za Utengano uliotokea. Mkubali wametumia Udhaifu huo kutuletea madudu haya. Msiendeleze Siasa zenu za Chuki....Umoja wetu unahitajika katika suala hili. Hatuna pa kukimbikia, wenzetu wanaeza enda Kisiwani, Omani au Dubai.

A Spade is a Spade.

Tafuteni amani kwa sasa.
 
Kwa hiyo kusema kweli nimekuwa Sukuma gang?
Hapana Hapana Hapana.

Tafadhalini CHADEMA, Utumiaji wa Msamiati huo Ukome mara moja----- umeleta na kutoa mwanya mkubwa sana na hata kumdhoofisha Raisi kuweza kutufikisha hapo.


Hakuna genge wala Gang Tanzania yeyote ile Tanzania inayoitwa hivyo. Kuna Kabila la Wasukuma.

Ndio maana hata kwenye hili suala, pamoja na kuwa CCM haipaswi kuchagulika, Nyie CHADEMA hampewi hata hiyo prop! Kwa sababu za Ajenda na Sera zenu za Utenganishi.....wacheni uharakati wakati wa suala hili.

These madudus that we are seeing has direct relations to the Environment you have created for years! Mmemdanganya Mama kuwa hapendwi na yeye kwenda kutoa upendeleo huko apate kujaza marobota ya kununua Uchaguzi The damage you have done is Immeasurable. Stop it!
 
Ukweli ni kuwa kwenye misingi madhubuti ya kudhibiti rushwa , mikataba mibovu na upigaji wa ajabu ajabu hayati alinyoosha hii nchi. Maana tulianza kusahau haya maugoro.

Sisi sababu tulishazoea janjanjanja hasa Mbowe na baadhi ya makamanda tukachukia. Tukawa tunahitaji wajanja wakae madarakani.

Leo hii tunashuhudia madudu ambayo yanamuumiza mwannanchi wa kawaida huku Vigogo wa CCM wakifurahia .

Inaumiza sana
Hawa wajanja waliopo madarakani leo aliwaweka Mbowe pumbavu?Huo si uzao wa mwendazake?Kwenye Serikali hiyo umemwona LISSU,ZITO KABWE,JOHN HECHE,EZEKIEL WENJE,MNYIKA,SUGU,MSIGWA,HAULE,SALUM MWALIMU,MBOWE,LEMA,MWAIPAYA,MDUDE je wana vyeo gani kwenye Serikali hiyo ya Magufuri?
 
Ukweli ni kuwa kwenye misingi madhubuti ya kudhibiti rushwa , mikataba mibovu na upigaji wa ajabu ajabu hayati alinyoosha hii nchi. Maana tulianza kusahau haya maugoro.

Sisi sababu tulishazoea janjanjanja hasa Mbowe na baadhi ya makamanda tukachukia. Tukawa tunahitaji wajanja wakae madarakani.

Leo hii tunashuhudia madudu ambayo yanamuumiza mwannanchi wa kawaida huku Vigogo wa CCM wakifurahia .

Inaumiza sana
Hawa wajanja waliopo madarakani leo aliwaweka Mbowe pumbavu?Huo si uzao wa mwendazake?Kwenye Serikali hiyo umemwona LISSU,ZITO KABWE,JOHN HECHE,EZEKIEL WENJE,MNYIKA,SUGU,MSIGWA,HAULE,SALUM MWALIMU,MBOWE,LEMA,MWAIPAYA,MDUDE je wana vyeo gani kwenye Serikali hiyo ya Magufuri?
Ukweli ni kuwa kwenye misingi madhubuti ya kudhibiti rushwa , mikataba mibovu na upigaji wa ajabu ajabu hayati alinyoosha hii nchi. Maana tulianza kusahau haya maugoro.

Sisi sababu tulishazoea janjanjanja hasa Mbowe na baadhi ya makamanda tukachukia. Tukawa tunahitaji wajanja wakae madarakani.

Leo hii tunashuhudia madudu ambayo yanamuumiza mwannanchi wa kawaida huku Vigogo wa CCM wakifurahia .

Inaumiza sana
Vigogo wa CCM waliowekwa na Magufuri kwa mtutu wa bunduki.
 
Wewe ni Empty Head ,JPM alikuwa na mazuri yake na alikuwa pia na mabaya yake vile vile na ndiyo maana mchungaji akipoteza kondoo mmoja ataacha wale 99 kwenda kumtafuta mmoja bila kujali hao 99 watakuwa kwenye hali gani.

Ukitenda 99 ukaja kuharibu 1 lazima watu waseme ,so haizuii CDM kusema mazuri ya JPM kwa kipindi hiki cha DP WORLD.

Tangu enzi za Jiwe yupo hai nilishasema kuna mambo aliyafanya mazuri ambayo yaligusa wananchi na kuna mengine yaliumiza watu.
 
Mwanzilishi wa Mikataba ya hovyo ni Magufuri baada ya kuwakataa wapinzani kwenye serikali yake matokeo yake ndiyo haya unayoyaona leo,hakuna mwanadamu aliyekamilika.
Hayo maneno yako hayasaidi. Unapindisha sana. Punguza Ugaiidi na ujikite kwenye hoja. Mada hii ina ukweli 100% kubali and lets move on ...kwa Usalama wa Nchi hii. Nakuhakikishia hamusaidii Chadema. hamusaidii Nchi, badalabyake mnazorotesha juhudi za Watanzania kupinga Ukoloni mamboleo.

Amani
 
Back
Top Bottom