Tulimchukia Hayati Magufuli bila sababu za msingi, sasa tumetambua kuwa alikuwa sahihi, yanayofanyika sasa ni aibu

Tulimchukia Hayati Magufuli bila sababu za msingi, sasa tumetambua kuwa alikuwa sahihi, yanayofanyika sasa ni aibu

Ndugu zanuni.....Miliwapa silaha Maharamia na Mamluki kutumia fursa za Utengano uliotokea. Mkubali wametumia Udhaifu huo kutuletea madudu haya. Msiendeleze Siasa zenu za Chuki....Umoja wetu unahitajika katika suala hili. Hatuna pa kukimbikia, wenzetu wanaeza enda Kisiwani, Omani au Dubai.

A Spade is a Spade.

Tafuteni amani kwa sasa.
Je unafahamu Meli kuwa zimejipanga foleni kusubiri kuingia bandarini, kuna vigogo wanatajirika kupindukia?, je unajua yule maah kimbelembele naye yupo kwenye mgawo, je wajua hawapendi hili litokee!, yule ni kiongozi wa beneficiary, kupiga kelele ilitegemewa, ndio maana jemedari wetu yupo kimyaaa!
 
Tuliokuwa tukiona kama alivyokuwa akiona JPM juu ya nchi yetu, kwa uwingi wetu tulimuunga mkono
Waliokua wanampiga ndio waliopo juu kwa sasa mission town zilizimwa. ..tiss walikua kazini kweli...nawalimsaidia sn...sema kulikua na mission behind a scene iliotengenezwa baada yamtangulizi kushindwa muweka mwanamke awe namba 1..baada ya pale ikaundwa mission yakutimiza ndoto yake. ..ndio hii sasa tunayoona sasa
 
Ukweli ni kuwa kwenye misingi madhubuti ya kudhibiti rushwa , mikataba mibovu na upigaji wa ajabu ajabu hayati alinyoosha hii nchi. Maana tulianza kusahau haya maugoro.

Sisi sababu tulishazoea janjanjanja hasa Mbowe na baadhi ya makamanda tukachukia. Tukawa tunahitaji wajanja wakae madarakani.

Leo hii tunashuhudia madudu ambayo yanamuumiza mwannanchi wa kawaida huku Vigogo wa CCM wakifurahia .

Inaumiza sana
This is too low to be called short sighted analysis. Mwasisi wa yanayoendelea sasa hivi ni Magufuli. Angeachia uchaguzi ukafanyika kwa uhuru angalau kwenye level ya ubunge basi tungekuwa na wabunge ambao wangesaidia. Pia alikataa mipango ya katiba mpya bila kujua/kujali concequences zake. Samia alikuwa anajulikana kabisa uwezo wake ni mdogo na ni loyal kwa wapiga deal hivyo likitokea la kutokea nchi itaingia kwenye crisis ya uongozi na ufisadi.
 
Ukweli ni kuwa kwenye misingi madhubuti ya kudhibiti rushwa , mikataba mibovu na upigaji wa ajabu ajabu hayati alinyoosha hii nchi. Maana tulianza kusahau haya maugoro.

Sisi sababu tulishazoea janjanjanja hasa Mbowe na baadhi ya makamanda tukachukia. Tukawa tunahitaji wajanja wakae madarakani.

Leo hii tunashuhudia madudu ambayo yanamuumiza mwannanchi wa kawaida huku Vigogo wa CCM wakifurahia .

Inaumiza sana
Shetani kaokoka,kama Mbwai,Mbwai tu!
 
Hata ikitokea Rais SSH asichagulike, kwa matusi yenu CHADEMA a vinyongo mlivyovijaza rohoni mwenu, na hasira mlizokuwa nazo....Hamchaguliki 2025. Nipo tayari Kuichagua CCM ibakie twende vivyohivyo badala ya kupoteza mida kuwapa kura chama kilichotengeneza mazingira yaliyompeleka Raisi kutafuta security ya Uchagizi kwa wajomba zake. Hakika kwa hilo zimshangai.....nina uhakika haya yasingetokea kama sio uhasama wa CHADEMA digital .....

Mvune mlichokipanda

R.I.P Comrade, hawajui walichokifanya
 
Je unafahamu Meli kuwa zimejipanga foleni kusubiri kuingia bandarini, kuna vigogo wanatajirika kupindukia?, je unajua yule maah kimbelembele naye yupo kwenye mgawo, je wajua hawapendi hili litokee!, yule ni kiongozi wa beneficiary, kupiga kelele ilitegemewa, ndio maana jemedari wetu yupo kimyaaa!
Adui wako sio Magufuli.....Amekufa na Amezikwa. Adui wako yupo anapiga hodi kuja kuwafeera..

Yupo kimya kwa sababu hakuna anayesimama naye wakati anajaribu kerekebisha yale mliokuwa mnamwambia afanye...amekwama mnataka afanye nini? She has secured her way in or out! Inawasaidia nini? Kuendeleza Vinyongo vyenu? Honestly ni kitu gani kwa kipimo chako kimetokea Tanzania? Mbowe kula Asali? Be serious man

Grow up!
 
Ukweli ni kuwa kwenye misingi madhubuti ya kudhibiti rushwa , mikataba mibovu na upigaji wa ajabu ajabu hayati alinyoosha hii nchi. Maana tulianza kusahau haya maugoro.

Sisi sababu tulishazoea janjanjanja hasa Mbowe na baadhi ya makamanda tukachukia. Tukawa tunahitaji wajanja wakae madarakani.

Leo hii tunashuhudia madudu ambayo yanamuumiza mwannanchi wa kawaida huku Vigogo wa CCM wakifurahia .

Inaumiza sana

Aibu tupu.
Hata misitu mnatafuta wawekezaji😳
 

Attachments

  • 38A88126-BD1B-46F9-948C-FEC462ADC45A.jpeg
    38A88126-BD1B-46F9-948C-FEC462ADC45A.jpeg
    58 KB · Views: 3
  • 51B65152-E82F-443F-9E12-C5CC9CEF5322.jpeg
    51B65152-E82F-443F-9E12-C5CC9CEF5322.jpeg
    66.2 KB · Views: 3
Jiwe alifeli mno kwenye Utawala bora na kuvuruga chaguzi zote zilizofanyika nchini ya uongozi wake, ila alifanya vizuri kulinda raslimali zetu (local content). Kwa mfano hii mikataba ya kuuziana Bandari alisema wazi kabisa hata MJINGA hawezi kukubali kusaign mikataba ya kilaghai kama hii.
 
Hata Lowassa walimchukia bila ya sababu baadae wakagundua ni mtu mzuri na wakampa fursa ya kuwa Mgombea Urais
 
Ukweli ni kuwa kwenye misingi madhubuti ya kudhibiti rushwa , mikataba mibovu na upigaji wa ajabu ajabu hayati alinyoosha hii nchi. Maana tulianza kusahau haya maugoro...
Magufuli alitengeneza wajinga na misukule mingi. Tusipowakemea tunatengeneza Taifa la wajinga. Kuna akina Prof Kabudi, Aggrey Mwanri, Sheikh Alhad wa Bakwata waliwahi kusema Magufuli ni kama Mungu au ni maarufu kuliko Yesu na Muhammad!!

Wakati Mimi najuwa Magufuli alikuwa muuaji tu, katili asiyetumia akili, kila wakati anapanda kichaa, mwizi, mwongo na kimsingi ni TAKATAKA tu
 
Hawa wa sasa wapo kwa ajili ya kumkomoa Magufuli .
 
Hayo maneno yako hayasaidi. Unapindisha sana. Punguza Ugaiidi na ujikite kwenye hoja. Mada hii ina ukweli 100% kubali and lets move on ...kwa Usalama wa Nchi hii. Nakuhakikishia hamusaidii Chadema. hamusaidii Nchi, badalabyake mnazorotesha juhudi za Watanzania kupinga Ukoloni mamboleo.

Amani
Uko sawa wewe unajadili personality mimi najadili mfumo(System) ndiyo maana unaona kama napindisha lakini nakuambia tatizo ni mfumo tulionao ambao unaamini kuwa bila CCM Tanzania haiwezi songa.

Magufuli makosa yake ni kulinda mfumo ambao haukumtambua bali ulimvumilia kwa muda ili uweze kuvuna maarifa ya kuwadhibiti wanaolalamika.
 
This is too low to be called short sighted analysis. Mwasisi wa yanayoendelea sasa hivi ni Magufuli. Angeachia uchaguzi ukafanyika kwa uhuru angalau kwenye level ya ubunge basi tungekuwa na wabunge ambao wangesaidia. Pia alikataa mipango ya katiba mpya bila kujua/kujali concequences zake. Samia alikuwa anajulikana kabisa uwezo wake ni mdogo na ni loyal kwa wapiga deal hivyo likitokea la kutokea nchi itaingia kwenye crisis ya uongozi na ufisadi.
Great thinkers huangalia channel huwa hawaangalii current situation,nashukuru sana kwa ufafanuzi mzuri.
 
Adui wako sio Magufuli.....Amekufa na Amezikwa. Adui wako yupo anapiga hodi kuja kuwafeera..

Yupo kimya kwa sababu hakuna anayesimama naye wakati anajaribu kerekebisha yale mliokuwa mnamwambia afanye...amekwama mnataka afanye nini? She has secured her way in or out! Inawasaidia nini? Kuendeleza Vinyongo vyenu? Honestly ni kitu gani kwa kipimo chako kimetokea Tanzania? Mbowe kula Asali? Be serious man

Grow up!
Ukweli utabaki pale pale Adui mkubwa ni Magufuri.
 
Adui wako sio Magufuli.....
Kwangu adui namba moja wa taifa hili ni genge linaloitwa CCM. Katika awamu yake Magufuli kama Rais, alikuwa pia ndiye kiongozi mkuu wa hilo genge. Alifanya jitihada kubwa kuhakikisha kwamba anaua demokrasia ndani ya taifa hili na matunda ya hizo jitihada ni hili bunge la wasaliti.
Amekufa na Amezikwa.
Ni kweli amekufa na kuzikwa lakini katuachia balaa mbili; kwanza mrithi wake ni yule yule aliyekuwa msaidizi wake waliyeshirikiana pamoja katika jitihada za kuua hoja mbadala. Pili, matunda ya jitihada zao hizo ni bunge hili lililojaa genge la walafi lisilo na huruma na rasilimali za Watanganyika.
Adui wako yupo anapiga hodi kuja kuwafeera..
Hapo umepatia, kazi iendelee na kweli kazi inaendelea kwa kasi na matunda yake tunayashuhudia. Malengo kuu ni yale yale ila namna ndiyo iimebadilika. Wafaidika wa wizi na ufisadi pia wamebadilika. Badala ya watu kama Makonda and the gang sasa tunao waarabu wa Dubai...

an offer one can't choose vs coaxing and cajolery. CCM ni ile ile, oh ni ile ileee!
 
Mwanzilishi wa Mikataba ya hovyo ni Magufuri baada ya kuwakataa wapinzani kwenye serikali yake matokeo yake ndiyo haya unayoyaona leo,hakuna mwanadamu aliyekamilika.
Tundu lisu mwenyewe kasema Magufuli hahusiki kwenye mikataba mibovu wewe unatuletea uharo mitandaoni
 
Back
Top Bottom