SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Mwananchi anayesoma Uzi huu na mada yeyote ile iliyoibuka na msamiati wa kuwabeza kabila la Wasukuma. Muelewe hawa ni mamluki waliojichimbia hapa kufanya siasa za uchonganishi na utenganishi....Kama ni kweli wanampinga mleta mada? kwanini wasingeleta Uzi au Mada za Kumpinga na Kumzodoa Tundu Lissu na alichokisema kuhusu Hayati na suala hili la Bandari? Muwasome na kuwaelewa. Hawako humu kutetea maslahi ya Mtanzania hata kidogo, bali kuendeleza mashambulizi ya kisaikilojia kuwa Watanzania hatuwezi, kuwa Falsafa ya Kujitegemea(economic independence) ni mbovu! Hawa ndio waliomchanganya SSH na washauri wake. Mabeberu wote wana nia moja nayo ni kututawala.