Tulimiliki sana mpira na kuwakimbiza

Dabil

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2021
Posts
6,823
Reaction score
15,293
Wakuu baadaye hatuzitaki kauli hizi humu, wanajifahamu wenyewe, ooh ball passesion tuliwakamata, ingeongezwa dk 5 tu tulikuwa tunawakalisha.

Hizi kauli msizilete humu,ukipigwa umepigwa hata possession ingekuwa 0.9% kwa 99.1%. ukipigwa tulia kaa pembeni jitafakari sio kelele, hii siyo shirikisho tulia kama unanyolewa.
 
Na kwenye mechi yenu kutakuwa na kauli zipi?

Maanake unavyo iandama Yanga utazani wewe leo uchezi au ndio tayari ushakubali leo unapigwa.
 
Kabisa, muhimu ni kupata point 3 hayo mengine ni ziada tu.

Kila laheri wawakilishi wa Tz huko Cacl.
 
Nimezungumzia timu zote mbona unakuwa biased au mnajishtukia

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani yupo biased ushaniona mimi nimefungua uzi kuhusiana na timu yako au Yanga.

Wewe ndiye unaye jishtukia unazani leo utapata faraja pale taifa,mpaka unaisahau timu yako, yani unachambua mechi ya Yanga week nzima thread kibao.Utazani ww uchezi leo ndio maana nikakuuliza au unajua leo unapigwa Botswana.
 
Acha presha ,tafuta kwanza supu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha presha ,tafuta kwanza supu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi na ww nani anapresha unafungua mithread kibao kwa timu isiyo kuhusu.Mpaka hapo inaonyesha huiamini timu yako.

Si tunayo iamini timu yetu hatuna fujo kama zako,unajipa kazi ya kutabiri mechi za watu,huku ukisahau una kimeo chako Botswana.
 
Pia kuanzia saa 12 jioni ya leo hatutaki kusikia zile kelele zetu za kila siku za kumkataa mwekezaji, Mwenyekiti, na baadhi ya wachezaji wetu wazee.

Maana kila timu ikifungwa, hizi kelele zinaibuka.
 
Usikariri kama watoto wa chekechea
 
"Hata kocha wao ametusifia sana, amesema Timu yetu ni nzuri sana."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…