Tulimpa mwizi mateso haya, kila siku ile picha inanijia akilini

Tulimpa mwizi mateso haya, kila siku ile picha inanijia akilini

Miaka ya 2005 wizi wa kutumia silaha za jadi ulikithiri sana Dodoma. Katika kijiji tulichokuwa tunaishi. Pale nyumbani tulikuwa na duka kubwa hivyo siku hiyo jamaa walipanga kuja kuvunja na kuiba....
Nakupa hongera na kaka yako kwa ujasiri ila ukweli ni kama una mwamini Mungu wa Yesu Kristo na bado hujatubu kwa kitendo cha kumpigia hadi Kufa kwa mwizi, nakusihi utubu maana sisi tumeamriwa kutokuhukumu, sasa nyie mmejifanya majaji na kuhudumu kwa sheria yenu... Sio ya Mungu wala Jamhuri ya Muungano.. Kimsingi hamna haki ya kufanya mlilifanya... Iliwapasa mumpeleke polisi sio kumtaabisha... Nakushauri tu maana usipotubu hiyo laana lazima ikurudie wewe au kikazi chako...
 
Nakupa hongera na kaka yako kwa ujasiri ila ukweli ni kama una mwamini Mungu wa Yesu Kristo na bado hujatubu kwa kitendo cha kumpigia hadi Kufa kwa mwizi, nakusihi utubu maana sisi tumeamriwa kutokuhukumu, sasa nyie mmejifanya majaji na kuhudumu kwa sheria yenu... Sio ya Mungu wala Jamhuri ya Muungano.. Kimsingi hamna haki ya kufanya mlilifanya... Iliwapasa mumpeleke polisi sio kumtaabisha... Nakushauri tu maana usipotubu hiyo laana lazima ikurudie wewe au kikazi chako...
Ila wangeuliwa wao ni sawa

Mambo kuwahiana

Ova
 
kwahiyo hapo ulipo unanuka damu ya mtu, umeua. ulijiona kama wewe ni mtakatifu sana, kama Mungu angekuwa anakuadhibu wewe namna hiyo ukikosea ungekuwa hai leo...
Tatizo Umasikini unatutoa sana utu!!
 
kati ya wosia baba yangu amenipa tangu nikiwa mdogo, ni kutoiba mali ya mtu. huwa nakumbuka hata nikikaa peke yangu. and I will pass it to my sons.
Vipi kuhusu kuua, alikushaurije?
 
kwahiyo hapo ulipo unanuka damu ya mtu, umeua. ulijiona kama wewe ni mtakatifu sana, kama Mungu angekuwa anakuadhibu wewe namna hiyo ukikosea ungekuwa hai leo? ...
Umejibu vizuri sana brother,ni vizuri angeanza kutubu mapema,

Na kama anataka kujua hiyo damu inamtesa maana yake kumbu kumbu yake Bado anakumbuka tukio, ni hatari sana
 
Nakupa hongera na kaka yako kwa ujasiri ila ukweli ni kama una mwamini Mungu wa Yesu Kristo na bado hujatubu kwa kitendo cha kumpigia hadi Kufa kwa mwizi, ...
Ndugu mtumishi, mbona hata humo kwenye biblia kuna watu walipigwa mawe? Au unaongekea kuhukumu kwa aina gani?

Walitakiwa kumpongeza jambazi au wangemfanyaje ili isionekane wamemhukumu?
 
Miaka ya 2005 wizi wa kutumia silaha za jadi ulikithiri sana Dodoma. Katika kijiji tulichokuwa tunaishi. Pale nyumbani tulikuwa na duka kubwa hivyo siku hiyo jamaa walipanga kuja kuvunja na kuiba...
Kama ulitoa uhai wa mtu, tubu sana, hukupaswa kufanya hivyo kabisa, bora mgempeleka kwenye mamlaka husika akaadhibiwa kulingana na sheria,

kwa upande mwingine, hawa wezi nilikua nawaonea huruma nikikuta wanateswa ila siku walipoingia kwangu, nilipoteza nao huruma kabisa, ni makatili mnoo na wanarudisha nyuma Ingawa siafiki kuondoa uhai wa mtu hata kama ni mwizi

Sina huruma na mwizi kabisaa
 
Ndugu mtumishi, mbona hata humo kwenye biblia kuna watu walipigwa mawe? Au unaongekea kuhukumu kwa aina gani?

Walitakiwa kumpongeza jambazi au wangemfanyaje ili isionekane wamemhukumu?

Ndugu mtumishi, mbona hata humo kwenye biblia kuna watu walipigwa mawe? Au unaongekea kuhukumu kwa aina gani?

Walitakiwa kumpongeza jambazi au wangemfanyaje ili isionekane wamemhukumu?
Ni kweli nao ni wenye dhambi kama wengine kwa maana hakuna mahali matendo yaobyaliidhinishwa na mamlaka ya Mungu... Yesu alikataza Ktk Mathayo :7:1-5, na kama demonstration ya aliyoamuru aliwauliza wale wayahudi waliotaka kumpigia yule mwanamke msamaria alieshtakiwa kwa uzinifu, akawaambia kabla ya kumpigia mawe huyu kwa tuhuma, basi yeyote ambae Hana dhambi awe wa kwanza kunyanyua Jiwe... Nini kilitokea... Waliepa... Sasa ukiwa uliza waliomuua mwizi Je wao hapo dukani hawakua wanaibia wateja kwa vipimo au chenji? 😁 😁
 
kwahiyo hapo ulipo unanuka damu ya mtu, umeua. ulijiona kama wewe ni mtakatifu sana, kama Mungu angekuwa anakuadhibu wewe namna hiyo ukikosea ungekuwa hai leo...
Wewe pia ni mwizi sema 40 yako haijafika. Walivyoenda na gobore walienda kutangaza injili kwa jamaa? Enzi za upumbavu wangu nilikua kama wewe ila kwa sasa upumbavu umenitoka nikikamata mwizi naua au kumpa ulemavu wa kudumu. Mauaji ya wezi ni jambo jema hata mbele za Yesu.
 
Back
Top Bottom