Tulimsingizia na kumhukumu Hayati Magufuli juu ya utekaji, Je leo tutamsingizia nani? Magufuli hayupo

Tulimsingizia na kumhukumu Hayati Magufuli juu ya utekaji, Je leo tutamsingizia nani? Magufuli hayupo

Huwa bado nawaza sana balozi Simoni Sirro enzi akiwa IGP aliwahi kusema kuwa Polisi wana ushahidi kamili kuhusu mashitaka dhidi ya Freeman Mbowe katika kesi yake ya 'ugaidi' iliyokuwa inahusisha pia utekaji na mipango ya mauaji kwa viongozi mbalimbali wa kisiasa na tuliona kina Kingai wakienfa mahakamani kutoa matokeo ya upelelezi wao, ambapo mahakama ilimkuta Mbowe na wenzake wana kesi ya kujibu; mara ghafla bin vuu tukaona DPP amesita kuendelea na kesi, Mbowe akatoka jela yeye na washtakiwa wenzake, siku hiyo hiyo akaenda Ikulu kuonana na Samia, mara ghafla tukaambiwa maridhiano, Kisha IGP Sirro anatolewa U-IGP na kuteuliwa kuwa balozi Zimbabwe;....
 
Baada ya hapo tukashuhudia Chadema wakimsifu sana SSH kuwa ameleta maridhiano katika nchi, wakamualika na kumpa tuzo kama sikosei; huku CHADEMA hao wakifanya mikutano ya hadhara maeneo mbalimbali nchini nankumsema vibaya sana kwa kejeli na matusi shujaa Hayati JPM ambaye alikuwa boss wa SSH; huku wakisema 'mama' amerejesha haki na utawala bora
 
20240908_151114.jpg
20240908_151114.jpg
20240908_151114.jpg
20240908_151114.jpg
20240908_151114.jpg
20240908_151114.jpg
20240908_151114.jpg
20240908_151114.jpg
20240908_151114.jpg
20240908_151114.jpg
wa
20240908_151114.jpg
20240908_151114.jpg
20240908_151114.jpg
20240908_151114.jpg
 
Msaidizi wa Mwenyekiti Mbowe,alivyopotea tukasema Magufuli kamteka eti msaidizi wa Mbowe alikuwa anapinga PhD ya Magufuli,Leo kapotea Msaidizi wa katibu Mkuu Mnyika,Je tutamsingizia nani wakati Magufuli hayupo!?
Magufuli hakusingiziwa,alihusika. Kwa yanayoendelea sasa Samia anahusika. Tusiwe wabaguzi .
 
haha! ilipofeli hii nchi ni kuachia wenye nguvu kiuchumi kuwa na mamlaka yakufanya jambo!,kuna watu wamejificha kuchafua wanaoonekana kwa masirahi yao wenyewe vile wanavyotaka na sio kwamba hawajuani wanajuana lkn ni mfuko upo kwenye mfuko!.. it's like matrix!.

nashangaa sana wanaosema rais kuhusika na matukio haya moja kwa moja nachojua rais akimtaka mtu huwa ni chap na in a smart way!.
hawa wacheza ngoma ndo wanajipigia hutu tu singeli twao kuchafua mavazi..

hakuna serikali ikakosa changamoto,sasa sisi wananchi tunachotakiwa ni kupiga kelele serikali ifanyie kazi haya machangamoto haijalishi inakwaruana na nani!.
 
Nani alisingiziwa wakati ni ukweli mtupu? Ni kweli kipindi cha utawala wa Magufuli watu walitekwa na kuuwawa. Wakati mama ameingia madarakani visa vya kutekwa na kuua vikapotea. Baada ya muda vikaanza tena taratibu kuibuka na kwa sasa vimeshika kasi kubwa kwa style ile ile ya Magufuli.
Nini maana yake? Kwenye suala la kutekwa na kuuwawa, utawala wa Magufuli na mama hauna tofauti yoyote, tawala zote zimehusika.
Hitimisho, kwenye utekaji na kuua, chura kiziwi na jiwe ni kitu kimoja, huwezi kuwatenganisha.
 
Msaidizi wa Mwenyekiti Mbowe,alivyopotea tukasema Magufuli kamteka eti msaidizi wa Mbowe alikuwa anapinga PhD ya Magufuli,Leo kapotea Msaidizi wa katibu Mkuu Mnyika,Je tutamsingizia nani wakati Magufuli hayupo!?

Soma Pia: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Kwa hiyo mtekaji ni nani sasa? Manake polisi hawahusiki, TISS hawahusiki, JW security unit hawahusiki. Mkuu wa nchi ambaye ndiyo sauti ya mwisho nchi hii naye anasema hii kitu ni drama. Kama ni vyama vya upinzani mbona hawakamatwi? Shida Iko wapi?
 
Back
Top Bottom