Tulimuona katili ila Hayati Magufuli alikuwa aware na hali ya maskini na huruma kwao

Tulimuona katili ila Hayati Magufuli alikuwa aware na hali ya maskini na huruma kwao

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Sikuwa shabiki wa yule mzee, kachangia pakubwa sana kuua demokrasia, keleta hali ya unafiki kwenye mahakama, bunge ndo kabisa aliligeuza kituko hadi kuna wabunge waliapishwa gereji wakitokea jela usiku uliopita.

Lakini one thing unaweza kumsifu ni connection yake na street na maisha ya mtu wa kawaida, wakati anapinga lockdown nakumbuka kauli yake kwamba nawekaje lockdown kwa mtu ambaye anatoka asubuhi kwenda kuhangaikia unga na mboga na nyanya za kula siku hiyo?

Inawezekana kwa sasa hakuna lugha za kukera kama alizokuwa anatoa ila kwa sasa kuna utawala ambao NI OUT OF TOUCH KABISAAA, yaani nafikiri hata wakiambiwa mtu buku kwa siku anakosa wanashangaa watasema mfumue tumbo labda kaficha kwenye utumbo atupe tozo yetu.

Yaani ukisikia yale ya Maria antoinnete wa ufaransa "WANAANDAMANA NINI? KAMA HAWANA MKATE SI WALE KEKI?" ndiyo haya ya awamu ya sita, kadiri watu wanavyolalamika ndivyo watawala wanavyoshangaa hawa wajinga wanalalamika nini?


tozooooooooooooooooooooooooooooo.jpg
tozovx.jpg
 
Nchi ambayo kuwamasikini na mnyonge ni sifa.
Wewe kama mnyonge ni mnyonge hata ukiitwa mwamba! Sasa leo huitwi mnyonge mbona cha moto unakiona na huna cha kufanya mwamba?

Tozo umebambikwa mwamba na huna cha kufanya. Na bado banda ulilopanga tunakupiga kodi huku tunakudanganya ni ya mwenye nyumba.
 
Hii serikali inatuongezea dhambi tu maana inafika wakati unatamani hata kiongozi fulani afe pengne tutapata mwenye kujali wananchi.

Binafsi nkipewa mashine
1.
2. Mwigulu
3. Nape
Nawatanguliza mapema kabisa, wengne watafuata ila hiyo ni batch ya kwanza.
 
Serikali imeamua kuacha kuingilia uchumi wa soko huria. Mlikuwa mnasemaa Serikali iiache sekta binafsi. Sasa sekta binafsi imeshika Injini ya uchumi kwa Mfumo wa "demand and supply". JPM is no longer muacheni apumzike na familiar yake wapeni amani moyoni. Tugange ya Sasa ya kufungua Nchi na Uchumi wa soko.
 
Kuweni serious na kuzitafuta makali yatapungua.

Kuna Watu wanakuwa busy kuisaka anaweza asikione hata kitanda mpaka apate atakacho.

Mwingine toka majuz upo kukojolea Kum.a lodge Ili uje ujitutumue humu.🙄 Afu sijui nimeandika nn Leo 🤦
 
Hii serikali inatuongezea dhambi tu maana inafika wakati unatamani hata kiongozi fulani afe pengne tutapata mwenye kujali wananchi.

Binafsi nkipewa mashine
1.
2. Mwigulu
3. Nape
Nawatanguliza mapema kabisa, wengne watafuata ila hiyo ni batch ya kwanza.
[emoji23][emoji23][emoji4] embu tupe Bach ya pili kina nan

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom