mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Pamoja na kuwa kuna wazee wa ovyo wengi ila bado kuna wazee wenye busara wengi pia.
Tuliwahi kupata msiba wa rafiki yetu ambaye alioa mke mrembo sana toka kaskazini,huyu mke alikuwa cha pombe na utulivu zero kabisa,hata kifo cha jamaa kilikuwa cha utata sana kuna watu walidai mke alihusika.
Kamati ya wazee ikaja na azimio kuwa marehemu azikwe pembeni kabisa bampa to bamba na nyumba yake ili huyu shemeji yetu asiweze kuiuza watoto wa marehemu wakakosa address
Nani atanunuua nyumba kaburi Limeegemea ukuta wa nyumba kaburi liko bamba to bamba na mlango wa uani na msalaba mkubwa
Tuliwahi kupata msiba wa rafiki yetu ambaye alioa mke mrembo sana toka kaskazini,huyu mke alikuwa cha pombe na utulivu zero kabisa,hata kifo cha jamaa kilikuwa cha utata sana kuna watu walidai mke alihusika.
Kamati ya wazee ikaja na azimio kuwa marehemu azikwe pembeni kabisa bampa to bamba na nyumba yake ili huyu shemeji yetu asiweze kuiuza watoto wa marehemu wakakosa address
Nani atanunuua nyumba kaburi Limeegemea ukuta wa nyumba kaburi liko bamba to bamba na mlango wa uani na msalaba mkubwa