Tulimzika rafiki yetu pembeni kabisa ya nyumba yake ili mkewe asiiuze

Tulimzika rafiki yetu pembeni kabisa ya nyumba yake ili mkewe asiiuze

Kwani nani kasema kila nyumba inauzwa?

Hapa umefanya logical fallacies kadhaa.

1. Strawman argument fallacy. Umeleta hoja ya "sio kila nyumba inauzwa" wakati mimi sikusema kila nyumba inauzwa.

2. Appeal to emotion. Umeleta habari za babu yangu kuniingiza kwenye majibizano ya kihisia badala ya facts. Fact ninkwamba hunijui, babu yangu humjui. Hujui kama alijuwa na nyumba, hujui kama imeuzwa au la.

3. Umefanya hasty generalization fallacy. Unataka kulazimisha kila nyumba isiuzwe.

4. Umefanya argument from tradition fallacy. Hata kama ni kweli tuna utamaduni nyumba zote za familia haziuzwi, hilo halina maana hakutakuwa na sababu nzuri ya kuuza nyumba.

5. Non sequitur fallacy. Kwa sababu huko nyuma nyumba hazijauzwa, hilo halimaanishi ni lazima huko mbele nyumba zisiuzwe.

Kwa sasa niishie hapa tu.
Nikianza leo itanichukua mda gani kua kama wewe bwana kiranga napenda sana unavyojibu kwa hoja
 
Kama ni mke wa ndoa, mahakama itampa kibali cha kuhamisha kaburi la mumewe na kwenda kumzika anakotaka kisha nyumba anauza. Hilo la kumzika pembeni ya nyumba halitosaidia.
 
Kwani nani kasema kila nyumba inauzwa?

Hapa umefanya logical fallacies kadhaa.

1. Strawman argument fallacy. Umeleta hoja ya "sio kila nyumba inauzwa" wakati mimi sikusema kila nyumba inauzwa.

2. Appeal to emotion. Umeleta habari za babu yangu kuniingiza kwenye majibizano ya kihisia badala ya facts. Fact ninkwamba hunijui, babu yangu humjui. Hujui kama alijuwa na nyumba, hujui kama imeuzwa au la.

3. Umefanya hasty generalization fallacy. Unataka kulazimisha kila nyumba isiuzwe.

4. Umefanya argument from tradition fallacy. Hata kama ni kweli tuna utamaduni nyumba zote za familia haziuzwi, hilo halina maana hakutakuwa na sababu nzuri ya kuuza nyumba.

5. Non sequitur fallacy. Kwa sababu huko nyuma nyumba hazijauzwa, hilo halimaanishi ni lazima huko mbele nyumba zisiuzwe.

Kwa sasa niishie hapa tu.
La msingi kila jambo lifanyike kwa faida hata kama mwenye mali kesha kufa,haina haja kuuza mali za Marehemu kwa hasara kisa warithi mmeshindwa kuelewana kuziendeleza!!
 
Kuna Moja ilitokea mapinga,Bagamoyo.Na wao watu wa kaskazini hukohuko,ndugu wa mume wanataka kuzika hapo hapo nyumbani mapinga,sababu zao Binti bado mdogo na watoto bado wadogo,hawajui mbeleni nini kitatokea.
Ndugu wa Mke wakakataa,hoja yao ni tangu lini Mchagga akazikwa Dar na wazazi wake wote wapo wazima hapo Kilimanjaro!
Pia Mke alisisitiza kuwa hata baadae wakihitaji Kujenga Nyumba za kupangisha itakuwa ngumu kupata wapangaji,nani anataka kupanga Nyumba Ina kaburi la mtu asiyemfahamu!
Hili sakata nililiona kwa ITV na kwa Gea Habibi kwenye kipindi chake cha hekaheka pale clouds!! Ila sijajua nani alishinda!!
 
La msingi kila jambo lifanyike kwa faida hata kama mwenye mali kesha kufa,haina haja kuuza mali za Marehemu kwa hasara kisa warithi mmeshindwa kuelewana kuziendeleza!!
Inawezekana pia kuuza mali kwa faida hata kama warithi wameelewana.

Kwa nini watu wanakariri kwamba kuuza nyumba ni kitu kibaya tu?

Kuna jamaa alipiga bonge la deal, akajenga bonge la jumba Mbezi beach.

Baadaye akaja kugundua kwamba sehemu kubwa ya pesa ambazo angezitumia kufanya biashara ameziweka katika kujenga nyumba, ambayo haitumii kibiashara. Nyumba haikuwa inaingiza faida kibiashara.

Akaiuza ile nyumba aongeze hela kwenye mtaji wake ili aweze kuizungusha ile hela, yeye akahamia nyumba ndogo zaidi. Na biashara zikaenda vizuri tu kwa sababu kuuza nyumba kuli boost sana mtaji wake.

Tanzania kuna watu kibao wanalalamika majumba yao ni makubwa sana kuliko mahitaji yao. Watu wamejenga mahekalu huko Mbezi Beach na Mbweni, halafu hakuna mtu anayekaa. Nikiwauliza kwa nini hamyauzi mnunue pengine nyumba ndogo zaidi, watu wanaona kuuza nyumba ni kama kukata mkono vile.

Sasa, kwa nini mnakariri kwamba kuuza nyumba ni kitu kibaya kinachofanywa watu wakifarakana tu?
 
Inawezekana pia kuuza mali kwa faida hata kama warithi wameelewana.

Kwa nini watu wanakariri kwamba kuuza nyumba ni kitu kibaya tu?

Kuna jamaa alipiga bonge la deal, akajenga bonge la jumba Mbezi beach.

Baadaye akaja kugundua kwamba sehemu kubwa ya pesa ambazo angezitumia kufanya biashara ameziweka katika kujenga nyumba, ambayo haitumii kibiashara. Nyumba haikuwa inaingiza faida kibiashara.

Akaiuza ile nyumba aongeze hela kwenye mtaji wake ili aweze kuizungusha ile hela, yeye akahamia nyumba ndogo zaidi. Na biashara zikaenda vizuri tu kwa sababu kuuza nyumba kuli boost sana mtaji wake.

Tanzania kuna watu kibao wanalalamika majumba yao ni makubwa sana kuliko mahitaji yao. Watu wamejenga mahekalu huko Mbezi Beach na Mbweni, halafu hakuna mtu anayekaa. Nikiwauliza kwa nini hamyauzi mnunue pengine nyumba ndogo zaidi, watu wanaona kuuza nyumba ni kama kukata mkono vile.

Sasa, kwa nini mnakariri kwamba kuuza nyumba ni kitu kibaya kinachofanywa watu wakifarakana tu?
Unajua nini?kuuza nyumba ya mjini sio shida,shida kuuza nyumba ya kijijini ambayo ndio inakutanisha wanafamilia ni kukosa address,mfano nyumba ya babu yangu kijijini japo sio ya gharama haiiziki,pembeni kuna makaburi sita,baba ,shangazi na wajukuu wamezaliwa na kukulia pale.
Kabla hujashangaa watu wa mbezi na mbweni kutouza nyumba,shangaa wa kariakoo,ilala,na magomeni maana wanaishi kifukara sana na nyumba zao zina thanani sana kutokana na location kuliko hata huko mbezi
 
Back
Top Bottom