Tulio na bibi/babu wenye vituko na vibwanga tukutane hapa

babu akiandaliwa chakula ale na wajukuu anadai wanampunja [emoji15] akitengewa ale peke yake anasema mnamnyanyapaa na kumuona mchafu[emoji15] [emoji4]
 



haaaaaaaaaaaaaaa!jamani!
 
babu akiandaliwa chakula ale na wajukuu anadai wanampunja [emoji15] akitengewa ale peke yake anasema mnamnyanyapaa na kumuona mchafu[emoji15] [emoji4]
Yaan bibi yangu mzaa mama yupo hivyo kabisa
 
Bibi mzaa Baba alikuwa mpole na kunipenda kuliko wajukuu wote R.i.p Bibi alinihadithia mambo mengi ambayo katika maisha ya sasa ndio nayashuhudia. Alikuwa na upendo kuliko kawaida. Babu mzaa baba alikuwa alikuwa mkokorofi balaa. Akiwa km 10 Akipiga kelele wote mnaanza kukimbia mashambani kwenye mahindi na usiku. Alikuwa anawapiga hadi akina baba mdogo na ukijikuna wakati akikupiga ni kosa maana ake utakuwa umepigana nae. R.I.P Babu.

Bibi mzaa mama alikuwa mlevi balaa. Ni kulala porini wacha akuone anaangua kilio kumbe lilikuwa lichawi bhana. R.i.p bibi yangu mchawi. Babu mzaa mama alikuwa mpole mpaka bibi ndio ana Sauti kinyume kabisa na Mila zetu. R.i.p Babu. Ukweli mtoto kukuta babu na bibi ni raha sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…