Mkuu hujawahi kuombwa utume nauli na ya kutolea?Hahahaha, ahsante ,na huwa mnatuma kwa manzi wa dar au mkoani ,au inategemea na ulipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, sijawahi asee ,na sidhani km itatokea MkuuMkuu hujawahi kuombwa utume nauli na ya kutolea?
hahaha..huyo manzi unamlia timing tu sio?Nategemea kuwa single karibuni
Ya mpenzi wa kiume, maana zenu huwa zinatoka kwa makeleleUongo dhambi hela ya mpenzi huwa ni tamu Sana sijui kwa Nini!
What's interestingInteresting
EverythingWhat's interesting
ndio[emoji23] kama ningekufahamu mapema leo nisingekua single
Am watching you ujue!ππ€©π
Hahaha kwa hiyo tunafanyaje sasa [emoji847]
[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watano?kweli wewe uko single.