Idiot Embicile
JF-Expert Member
- Apr 30, 2019
- 1,037
- 1,974
Tongoza mademu wa class yako mzee baba, mwanamke ni mwanamke tu.Ndo hivyo Yan.
Mbaya zaidi mi nikipenda Napenda ile kweli, ila kila nikijaribu kuwaelewesha hawa viumbe (SIO kwa maneno tu mpaka kwa vitendo) hawanielewi naishia kuwa rejected naona labda Ni kwa vile Sina mvuto Wala ushawishi wa Aina yoyote kwa hawa viumbe.
Saivi nshachoka Sasa sitongozi Tena labda utokee muujiza akatokea mmoja anipende mwenyewe Kama nilivyo, na nahisi utakuwa ni muujiza wa karne!!
Basi we kaolewe na VICOBA tu mkuu😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji56]Hapana hmna kugawa yaan tunazichnganya alafu mimi natunza zote naendelea tena kutafuta [emoji23]
Noma snNina gundu kila demu ninayetongoza kabla sijala mzigo anasafiri, na ndio inakuwa mazima.
Na sina hela ya nauli maana naishi kwa shemeji yangu mkoloni.
Kwa hiyo niko single ila sio kiviiiile, nipeni mbinu mabaharia.
Lbda bank vikoba navyo havibza niwezaBasi we kaolewe na VICOBA tu mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa bibie nakuja PM hayo mengine tutaelewana mbele ya safari.Lbda bank vikoba navyo havibza niweza
Vipi PESA ipo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi Niko single kwasababu SIPENDWI, period!!
Sasa kumbe je? Hata mashoga wenyewe wanataka pesa hujui hilo?Hivi Kwanini lazima ishu iwe Ni pesa tu kwenye Mapenzi??
skuiz mtu akiskia pesa tu akili zinahama yuko radhi aliwe tako, ilimradi apate hizo pesa, na hii ni special kwa wanaoendekeza tamaa za pesa.Sasa kumbe je? Hata mashoga wenyewe wanataka pesa hujui hilo?
skuiz mtu akiskia pesa tu akili zinahama yuko radhi aliwe tako, ilimradi apate hizo pesa, na hii ni special kwa wanaoendekeza tamaa z
Amua tu kuwa kwa Sasa sitaki mahusiano Basi.So single,some times am fine with it,sometimes am very lonley
Hiviskuiz mtu akiskia pesa tu akili zinahama yuko radhi aliwe tako, ilimradi apate hizo pesa, na hii ni special kwa wanaoendekeza tamaa za pesa.
Sasa Huyo mwanamke anayeingia kwenye mahusiano kwasababu ya pesa ana tofauti gani na Changudoa wa kawaida tu?skuiz mtu akiskia pesa tu akili zinahama yuko radhi aliwe tako, ilimradi apate hizo pesa, na hii ni special kwa wanaoendekeza tamaa za pesa.
Hivi Kwanini lazima ishu iwe Ni pesa tu kwenye Mapenzi??
Hivi
Sasa Huyo mwanamke anayeingia kwenye mahusiano kwasababu ya pesa ana tofauti gani na Changudoa wa kawaida tu??!
Kuhusu mashoga hao wana matatizo mengine.
Pole,So single,some times am fine with it,sometimes am very lonley
Naomba unionjeNot single not taken. Nipo tu kuonja onja wapenzi wa watu wengine, nikionja nikinogewa naweka makazi ya muda 😆
Ajui hyo muache[emoji23]Sasa kumbe je? Hata mashoga wenyewe wanataka pesa hujui hilo?