Si nyie ndo mnasema dunian wanaume ni wachache wanawake ni wengi sasa achen tu tubananeTatizo ni kuomba omba hela tu! Matokeo yake unajiegamiza kwa waume za watu [emoji23][emoji23][emoji23]
@DarmianNipo single tokea September last year..and to be honest,it's pretty sweet,I'm loving it.
Niambie mrembo,unataka unihurumie nini na mimi niwe mtu kati ya watu?@Darmian
[emoji23]sometimes tunaenjoy na usingle ila dah! usingle unaboa sana
Niko single kwasababu sina hela ya kuhonga π₯Ίπ₯Ίπ₯ΊπHabarin zenu..? leo tujuane tulio single na kwa nin tuko single [emoji174]
mwenzenu niko single kwa sababu bado sijampta aliye ubavu wangu naangaika na mibavu ya watu mwshowe naumizwa tuView attachment 1561737
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah kumbe? LolKufurahia Maisha tuu bila mfadhaiko wakukosa pair!
Tafuta helaNiko single kwasababu sina hela ya kuhonga [emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji16]
#YNWA
Hahaha hyo madeko ni a.k.a au ?[emoji23]Asante Jojo Madeko..!!
#YNWA
Karibu tuijaribu hii style[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah kumbe? Lol
Watu wanajua ukiwa single hunyundui kumbe ndio mtu humalizi siku 3 hujapiga chombo kipyaaNipo single tokea September last year..and to be honest,it's pretty sweet,I'm loving it.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wanajua ukiwa single hunyundui kumbe ndio mtu humalizi siku 3 hujapiga chombo kipyaa
Hahahaha kwan kuwa single maaan yake nnWatu wanajua ukiwa single hunyundui kumbe ndio mtu humalizi siku 3 hujapiga chombo kipyaa
Usijali kiduku[emoji3]Huu uzi ni wa masingle. Sasa nyie wadada mnaokoment humu halafu tukiwafata PM hamtujibu mna maana gani?
Mbna nmekufata PM umenichunia?Usijali kiduku[emoji3]
Kutokua na mpenzi wakueleweka/wakudumuHahahaha kwan kuwa single maaan yake nn