kasulavenance
JF-Expert Member
- Jan 23, 2020
- 759
- 914
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona ndugu yako niko single;na hufanyi jitihada yeyote yet una mashosti kibao [emoji848][emoji848]
Heh!wala huyo sio wewe single ladies wanaogopaga kuweka picha zao[emoji23]Ndio mimi niambie tatizo ni nini
πππWatu design hii wanahifadhi hela kwenye upindo wa kaptura landani..wabahiliiiiiithats me[emoji41]..vp naonewa au
Nilitaka kujua ukweli zaidi kumbe uko single kweli..Aiseeee niwe single alafu niogope kuweka pic namuogopa nan sasa kwa mfano
wenye macho matatu tushakuelewaHabarin zenu..? leo tujuane tulio single na kwa nin tuko single [emoji174]
mwenzenu niko single kwa sababu bado sijampta aliye ubavu wangu naangaika na mibavu ya watu mwshowe naumizwa tuView attachment 1561737
WeeeMbona ndugu yako niko single;na hufanyi jitihada yeyote yet una mashosti kibao [emoji848][emoji848]
Leo vitanda ni vitaomba poo kwa wanandoa. Si kwa hii baridi ya leo πNaomba niwe hapo kwako kwa muda huu
Na hii arusha ilivyochafukwa na baridi ni hatari π
Linahbaby, mwanaume unayemtaka awe husband unataka awe na sifa zipi?Habarin zenu..? leo tujuane tulio single na kwa nin tuko single [emoji174]
mwenzenu niko single kwa sababu bado sijampta aliye ubavu wangu naangaika na mibavu ya watu mwshowe naumizwa tuView attachment 1561737