zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Sasa mko single na mnataka kubaki single tu[emoji23][emoji23]Single ladies in the mix[emoji16].....tuendelee kujuana japo single men wameingilia corner yetu[emoji28]
Mabadiliko yafanyike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mko single na mnataka kubaki single tu[emoji23][emoji23]Single ladies in the mix[emoji16].....tuendelee kujuana japo single men wameingilia corner yetu[emoji28]
Mbona ndugu yako niko single;na hufanyi jitihada yeyote yet una mashosti kibao [emoji848][emoji848]Hivi inakuwaje hadi mtu unakuwa single[emoji2369][emoji2369][emoji2369]
Sijawahi elewa hii.
Kila mtu ana soko banah sema kupata ambaye chemistry yenu iko on fire ndo shidaMe mwenyewe naktaaa kwa hyo na mimi nimekosaa soko[emoji849]
[emoji23][emoji23]hata domo zege skuiz simu zimerahisishaaa...anapiga sound by text under google assistance [emoji23]Hivi inakuwaje hadi mtu unakuwa single[emoji2369][emoji2369][emoji2369]
Sijawahi elewa hii.
Hilo nalo neno mkuu ngoja tuchakarike[emoji28]Sasa mko single na mnataka kubaki single tu[emoji23][emoji23]
Mabadiliko yafanyike
Umeona eeeh kwa kweli kuna kazi sishangai wanao tembea na waume za watu uwa wanakosa pa kushika wanaume awaleweki kbsa mtu anaona bora ajichomeke tu hapo kwa mume watu siku ziende [emoji2]Kila mtu ana soko banah sema kupata ambaye chemistry yenu iko on fire ndo shida
Eti na mimi nashauri na niko singleHilo nalo neno mkuu ngoja tuchakarike[emoji28]
Hapo kwenye kukosa pakushika ni uzembe[emoji28]....dawa ni kutafuta mnyonge wako anayekuelewa,hayo mambo ya wanaume za watu kwa control freak km mm siwezUmeona eeeh kwa kweli kuna kazi sishangai wanao tembea na waume za watu uwa wanakosa pa kushika wanaume awaleweki kbsa mtu anaona bora ajichomeke tu hapo kwa mume watu siku ziende [emoji2]
Hmm[emoji32]Not single not taken. Nipo tu kuonja onja wapenzi wa watu wengine, nikionja nikinogewa naweka makazi ya muda [emoji38]
Sio mada kuna comment hapo ya mdauMzee baba siko single ... Nimeoa!mada hii hainifit!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sio mbaya kupeana amsha amshaEti na mimi nashauri na niko single
Dah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaaah.... na inategemea nipo wapi na muda gani? Status inabadilika na matukio[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23]Hvo ndo vinasabisha wewe kuwa single
Bila picha ni ngumu kujibuuMe mwenyewe naktaaa kwa hyo na mimi nimekosaa soko[emoji849]
Nashangaa kabisa labda uoga, sasa kama sie wanaume totoz kibao kila kona ukikosa kazini basi mtaani au nenda cinemax au kwenye malls au vyuoni ijumaa unatega ukikosa kabisa kabisa vituo vya mwendo kasi vile vikubwa yaani weekend tatu hazifiki ushang'oa.Hivi inakuwaje hadi mtu unakuwa single[emoji2369][emoji2369][emoji2369]
Sijawahi elewa hii.
[emoji23]pale tulio single tunavyo ingiliwa kwenye mjadala wetuMbona kama jf nzima watu wapo single [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]on to thy next 1...mwezi hauumi hataWanatafuta single legelege baada ya mwezi wamuongezeee usingle [emoji28][emoji28][emoji28]