Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mjukuu wangu umeniita, unasemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjukuu wangu umeniita, unasemaje?
Unanisema kwa bibi.Et anataka mchumba
nitawanunulia bundleCostant oky wanakuja ila pesa unayo?
Ukinunua GB1 zilivyo panda si itakua babu kubwaBando la jero?
hapo parefu sana na pisi za siku hizi hazieleweke unaweza kuta inadate na mods.Haahahahha bado utam wa mbususu na buku hamna jambo mpe hata ka vanguard avimbie kdg
umekuja kutucheka au na ww ni muhanga wa upweke....?🤔🤔🤔[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nakutumia namba zao
Khaaanitawanunulia bundle
n kama umechanganya mafile hvYaani Yesu amefufuka haleluya, halafu wewe unataka kuzini?!😳😳😳
Pombe[emoji23]Nini?
Nyagi ndo pombe pekee unayoijua mkuu wangu?Nyagi si gongi mimi
How?n kama umechanganya mafile hv
hapo Ndo patamuHaahah utashangaa akaunti haipo
Nilivyo mtata wa hesabu, tuma namba uone ninavyo fanyaNakutumia namba zao
Hakikisha unakamilisha miamala
Kazi iwe rahisi.
mtu anongelea upweke we umehusisha na ngonoHow?
Amesema yupo gheto bila manzi.Sasa alihitaji manzi wa kupiga nae picha?mtu anongelea upweke we umehusisha na ngono
"hamna cha manzi wala nn" hyo wala nn imesimama badala ya washkaji or MBs ko si swala la manzi tuAmesema yupo gheto bila manzi.Sasa alihitaji manzi wa kupiga nae picha?
[emoji23][emoji23]Yaani Yesu amefufuka haleluya, halafu wewe unataka kuzini?![emoji15][emoji15][emoji15]