Tulioangalia mpira kupitia TBC

Hapana Mkuu sidhani kama tatizo ni TV nilijaribu kuangalia pia kwa TBC kupitia hiyo hiyo DSTV maana wameipromote sana kuwa wataonyesha hizi mechi ilikuwa kichekesho,nikaswitch Supersport na mambo yakawa mswano kabisa
Nimeangalia kupitia startimes, picha zilikuwa katika ubora wa juu mno, nadhani dstv kuna jambo nyuma ya pazia dhidi ya tbc ukizingatia tbc wanaonesha michuano for free kabisa.
 
tbc na HD imeanza lini.. tafuteni hela tbc sio channel ya kuangalia kombe la dunia..mtangazaji humsikii na picha kama mchuzi biriani
Acha ubishi, tbc wameanza kurusha matangazo kwa kiwango hicho cha HD kama huamini katupie macho kupitia startimes na si dstv kwani kuna kila dalili ya dstv kuifanyia hujuma tbc kipindi hiki cha FIFA WC
 
Ni kweli kabisa binafsi ilifika muda nikahis labda macho yangu Yana shida.
 
Swali:

kwanini wafungie channels za mataifa mengine??
 
Imebidi nirudi kuangalia kwa King'amuzi cha Dstv nione kama kweli ni HD maana huwa wanaonyesha kuwa channel husika ni HD nikakuta hola.
Huko ni dstv, kaangalie kupitia startimes utuletee mrejesho. Dstv kuna namna wanafamya hujuma kwa tbc kipindi hiki cha kombe la dunia.
 
Mimi TANESCO walivyojawa na wivu wakakata kabisa umeme wenyewe ili nisiangalie. Watu wenye roho mbaya wengi sana kwenye hii nchi, ndiyo maana hatuendelei
 
Huko ni dstv, kaangalie kupitia startimes utuletee mrejesho. Dstv kuna namna wanafamya hujuma kwa tbc kipindi hiki cha kombe la dunia.
hujma kama zipi.. tbc hata mavipindi yao qualities za picha na sauti ni za ubabaishaji mtupu
 
Unaleta siasa sasa! Hayo mambo ya ccm sisi hatujali, muhimu ni tunaangalia world cup bure.
hamjakatazwa kuangalia ila kwa ubora ule bora wa picha na sauti wataangalia washamba kama wewe
 
Nimeangalia kupitia startimes, picha zilikuwa katika ubora wa juu mno, nadhani dstv kuna jambo nyuma ya pazia dhidi ya tbc ukizingatia tbc wanaonesha michuano for free kabisa.
Dstv hawana sababu ya kuhujumu kwakuwa TBC hawaonyeshi mechi zote 64,kwa hiyo kwa wapenda mpira haswa Dstv haikwepeki kama unahitaji kuangalia mechi zote mubashara.Kuna member mmoja hapo juu kasema kwa Star times kuna TBC mbili iliyo na HD na isiyokuwa nayo.Basi inawezekana TBC isiyokuwa HD ndiyo ipo huko Dstv.
 
Huko ni dstv, kaangalie kupitia startimes utuletee mrejesho. Dstv kuna namna wanafamya hujuma kwa tbc kipindi hiki cha kombe la dunia.
Umeeleweka Mkuu, lakini sidhani kama Dstv wana sababu ya kufanya hujuma maana TBC wataonyesha tu baadhi ya mechi na si zote.So far kwangu mimi naprefer zaidi Dstv nione mechi zote mubashara
 
Umeeleweka Mkuu, lakini sidhani kama Dstv wana sababu ya kufanya hujuma maana TBC wataonyesha tu baadhi ya mechi na si zote.So far kwangu mimi naprefer zaidi Dstv nione mechi zote mubashara
Uko sahihi mkuu, hata mimi nitaangalia gem watazoonesha live tbc, wasizoonesha nitaangalia kupitia pc. Nachopingana na wanaoibeza tbc ni kuhusu quality ya picha zao, tbc wameimprove mno hasa kwa sisi tunaoangalia kupitia azam tv na startimes, sijui kuhusu hao wanaoamgalizia dstv.
 
Jana niliongea humu kwamba TBC bila aibu wanaturushia mpira at 10fps wanatuona kama kila mtu ni zwazwa.

Mwaka 2022 unarusha mpira kwa frame rate za mwaka 1990's.

Hawa jamaa ni kituko.
 
Tbc ya Dstv ni majanga,aliye na dstv lazima at upgrade kwenda kwa Compact package ili aone mechi zote
 
Peleka Tv kwa fundi, mimi nimeangalia kupitia tbc hiyo hiyo kitu HD na mambo yalikuwa safi kabisa.
Siku ukitazama HD angalau hata kwa 120HZ frame rate ndio utajua unakosa mambo mazuri, siyo ule ujinga waliokuwa wanarusha jana TBC.

Tafuta hela.
 
Hapa umeamua kuhamisha lawama ili kuwatetea hao wapuuzi.

Hata kama picha hazizalishwi na wao, hakuna mzalishaji picha anayetoa picha katika frame rate ndogo kama kile kituko cha jana.

TBC hawapo serious.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…