Tulioanza mahusiano Primary school na Sekondari tukutane hapaa...

Tulioanza mahusiano Primary school na Sekondari tukutane hapaa...

DMCT

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2015
Posts
2,276
Reaction score
5,937
Naamini Mungu analea... Wote tu wazima, Wakuu huu uzi ni maalum kwa tuliozijua papuchi na midete kuanzia primary school mpaka sasa hapa tushirikishane jambo lililokufurahsha katika mahusiano hayo na mambo kadha wa kadha kwangu mimi drs la sita nilimtongoza binti akakubali nikawa naenda kwao namsubri aagizwe dukani mpaka saa 5 usiku akiagizwa anatimua mbio over faru duuh.. Lakini sikuchoka kila siku nipo kwao... Pia tukikutana nae japo kwa mbinde hataki hata nimguse tunaongea umbali wa mita 6.5
 
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Kuna binti alikuwa ananichuna saana. Kila siku nimnunulie bumunda na furu. Papuchi niliisikia tuu.... Siku akatangaza ikafika kwa mwalimu mmoja mlemavu wa macho. Nilikula mbata nyingi saaana.
 
Primary & secondary watoto walikuwa wananishobokea mi nikawa najifanya sielewi.
Nikawa nawaza kusolve tu aiseeh nilifanya makosa makubwa sana.
mkuu hizo zari nilikuwa nazipenda sana tatizo nilikuwa boga class maninaa
 
Kuna binti alikuwa ananichuna saana. Kila siku nimnunulie bumunda na furu. Papuchi niliisikia tuu.... Siku akatangaza ikafika kwa mwalimu mmoja mlemavu wa macho. Nilikula mbata nyingi saaana.
pole sana mkuu.. Tumetoka mbali sana kwene hz harakati za kuhangaikia papuchi
 
Primary nmewakumbuka madem zangu...amina...mariam...neema...tausi
 
Primary nilimalizaga mtaji wangu wa jojo na pipi kifua, mtoto nlikuja kumla alishaolewa duh.
 
Primary niligukuzia mtoto wa kichaga kwenye maziwa kila sku uck namfata asee mwsho wa sku wazee wakanitime tulipofika secondary sijamgudaga mpk leo
 
Primary nilimalizaga mtaji wangu wa jojo na pipi kifua, mtoto nlikuja kumla alishaolewa duh.
Hahahaa kumbe kuhonga tumeanza long mimi mtaji wa karanga uliisha
 
Kuanzia Std 1 to 6 kile kichwa kigumu juu ya shingo yng, kilikua kinashka nafas ya mwisho kuanzia kweny mitihn ,test ,quiz mpk HW. I think kilichezewa , Mademu walikua wananielewa sana ila tatzo u GOIGOI, mana niliweza niende hospitar nikifka nimeshasahau ugonjwa. Sasa Kuanzia St 7 mpk sasa guess what?
 
Kuanzia Std 1 to 6 kile kichwa kigumu juu ya shingo yng, kilikua kinashka nafas ya mwisho kuanzia kweny mitihn ,test ,quiz mpk HW. I think kilichezewa , Mademu walikua wananielewa sana ila tatzo u GOIGOI, mana niliweza niende hospitar nikifka nimeshasahau ugonjwa. Sasa Kuanzia St 7 mpk sasa guess what?
Na-gues, UMEKOSWAKOSWA na ngoma...
 
Primary raha sanah,niliandikiwa barua na madem kama watatu hivii,,

Dah sasa hivi washaolewa wote ma nashangaa shangaa tuuuu
 
Tangu la nne... la sita, nilikamatwa kwenye migomba...Nilitoka mbio vibaya
 
Nikiwa darasa la sita barua iliokotwa iliandikwa Na msichana kuja kwangu alieiokota kiranja wa kike sasa aliyeandika akafuatwana yule kiranja wakaaanza kunyang'anyana mwalimu si akawaona kiranja akaisalimisha kwa mwl. Tukaitwa ofisini nikapewa adhabu ya kuchimbua visiki kwenye shamba la shule
 
MKUU MAPENZI YA SHULE MATAMU SANA,FULL VIBARUA VYENYE MAKOPA,MANENO MATAMU SANA YA KWENYE VIBARUA.JE MNAZIKUMBUKW ZILE WRITING PADS ZENYE MAUA MAUA...FULL POST CARDS ZA KIMAHABA.EBANA SIKU HIZI SMS ZA SIMU HAZINA MANENO YA MAHABA KABISA YAN
 
Huu uzi utajaa ID ngeni ngeni tupu(multiple)

Raha ya story rafu rafu msigunduane😀😀😀
 
Nimewakumbuka wachumba wa praimari naogopa kuwataja majina isijekuwa wapo humu [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom