Stiffler88
Senior Member
- Apr 23, 2017
- 158
- 504
Vijana wa siku izi hawatojua ii kitu ilikua na umuhimu kihisia na kiakili gani wakati tunakua, Dem wangu alikua anasoma0 Kiraeni Secondary tangu form 3 had 6 alifanya maisha yangu yawe na msisimko wa pekee nlipokua nikipokea barua zake, na me kumwandikia barua.MKUU MAPENZI YA SHULE MATAMU SANA,FULL VIBARUA VYENYE MAKOPA,MANENO MATAMU SANA YA KWENYE VIBARUA.JE MNAZIKUMBUKW ZILE WRITING PADS ZENYE MAUA MAUA...FULL POST CARDS ZA KIMAHABA.EBANA SIKU HIZI SMS ZA SIMU HAZINA MANENO YA MAHABA KABISA YAN