Stiffler88
Senior Member
- Apr 23, 2017
- 158
- 504
Vijana wa siku izi hawatojua ii kitu ilikua na umuhimu kihisia na kiakili gani wakati tunakua, Dem wangu alikua anasoma0 Kiraeni Secondary tangu form 3 had 6 alifanya maisha yangu yawe na msisimko wa pekee nlipokua nikipokea barua zake, na me kumwandikia barua.MKUU MAPENZI YA SHULE MATAMU SANA,FULL VIBARUA VYENYE MAKOPA,MANENO MATAMU SANA YA KWENYE VIBARUA.JE MNAZIKUMBUKW ZILE WRITING PADS ZENYE MAUA MAUA...FULL POST CARDS ZA KIMAHABA.EBANA SIKU HIZI SMS ZA SIMU HAZINA MANENO YA MAHABA KABISA YAN
Vijana wa siku izi hawatojua ii kitu ilikua na umuhimu kihisia na kiakili gani wakati tunakua, Dem wangu alikua anasoma0 Kiraeni Secondary tangu form 3 had 6 alifanya maisha yangu yawe na msisimko wa pekee nlipokua nikipokea barua zake, na me kumwandikia barua.
we acha tu... Ilikua full kuenjoyMKUU MAPENZI YA SHULE MATAMU SANA,FULL VIBARUA VYENYE MAKOPA,MANENO MATAMU SANA YA KWENYE VIBARUA.JE MNAZIKUMBUKW ZILE WRITING PADS ZENYE MAUA MAUA...FULL POST CARDS ZA KIMAHABA.EBANA SIKU HIZI SMS ZA SIMU HAZINA MANENO YA MAHABA KABISA YAN
Umewakumbuka??!!Nimewakumbuka wachumba wa praimari naogopa kuwataja majina isijekuwa wapo humu [emoji23][emoji23]
Wengi mno..Umewakumbuka??!!
Ina mana wapo wengi?
Hahahahaha mkuu nilikuwa na wakusanya sana ila ndio hivyo nilichelewa kuelewa tu kwa uboya wangu.mkuu hizo zari nilikuwa nazipenda sana tatizo nilikuwa boga class maninaa
Tangu mda huo had sasa inamana unauzoefu wa kutosha!!Wengi mno..
Wa kutosha kabisaTangu mda huo had sasa inamana unauzoefu wa kutosha!!
Itabidi nikutafute pm.Wa kutosha kabisa
Unatafuta wazoefu?Itabidi nikutafute pm.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tena ukute uzoefu wa kiwango cha lamiTangu mda huo had sasa inamana unauzoefu wa kutosha!!