FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Wenye V6, V8 na Uber meno yote nje, hongereni DIT
www.jamiiforums.com
www.jamiiforums.com
Update: 09/07/2021
www.jamiiforums.com
CNG kuwaangamiza waarabu, Tanzania yalamba bingo nzito gesi asilia toka kusini
‘CNG’ ni nini? ‘CNG’ au kwa kirefu ‘Compressed Natural Gas’ (Gesi asilia iliyohifadhiwa kwa mgandamizo mkubwa)ni nishati inayoweza kutumika kama mbadala wa petroli, dizeli na gesi ya kupikia (LPG). Matumizi ya gesi ya ‘CNG’ huzalisha sumu za ukaa chache zaidi ukilinganisha na hizo nishati za...
Gesi yaokoa mamilioni ya pesa za madereva
KUGUNDULIKA kwa gesi kwenye mikoa ya Kusini mwa nchi, kumeokoa fedha nyingi ambazo zilikuwa zikitumika kununua petroli na dizeli. Hayo yameelezwa na wafanyabiashara wa kusafirisha abiria jijini Dar es Salaam kwa nyakati tofauti. Mmoja wa watu hao ni dereva teksi aliyejitambulisha kwa jina moja...
Update: 09/07/2021
Kama Dangote kafunga mitungi ya gesi kwenye malori yake, Mimi ni nani hata nisibadili mfumo wa nishati ya gari yangu?
Mafuta yanapanda Bei Kila kukicha, kipato kinapungua kila kukicha. Nimepita Ubungo, kituo cha kujaza natural kwenye magari (sheli, tuite hivyo ili nieleweke) nimekuta kg 1 ni shilling 1550. Gharama za kubadili mfumo ni kama milioni moja na kidogo. Jumamosi naipeleka gari ikabadilishwe mfumo...