FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #41
Kwann wewe mleta uzi usiweke hata video hapa ya kuonyesha unachotuhadithia hapa..... Halafu ujibu maswali ya wadau kwa uhakika kabisa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann wewe mleta uzi usiweke hata video hapa ya kuonyesha unachotuhadithia hapa..... Halafu ujibu maswali ya wadau kwa uhakika kabisa....
Aisee pole sana mzee,hamia kwenye crown basAcha tu, maji yalifika shingoni
japo kuweka huo mfumo ni gharama ila wamesaidia sana hasa wakati huu wa anko
Vip siwezi funga kwenye pikipiki yangu iwe kama rocket, ipae.Ubungo na DIT kwenyewe, vingine sijavijua bado
Sasa km inafungwa kwenye vitu ulivyokua unapakia kwenye buti utaviweka wapi?Sio ya Oryx, ni special ya magari, hata kwenya buti wanafunga, kama subwoofer linavyofungwa
Hayo magari yanayotumia gesi, nje ya Dar wanajazia wapi? Isije kuwa kama fungo!Wenye V6, V8 na Uber meno yote nje, hongereni DIT
Shughuli ni hiyo 1.8m ya kuongezea mfumo wa gesi.Dah kwa wakati huu wa vyuma kukaza itakuwa ni kimbilio la wengi.
Nje ya Dar hakuna pa kujaza mkuuHayo magari yanayotumia gesi, nje ya Dar wanajazia wapi? Isije kuwa kama fungo!
Vv
kwa sasa mpuuze kidogo tupate elimuHizi gesi ni lighter than air, hivyo hata ikivuja huenda hewani na hakuna hatari ya ku-accumulate na kulipuka, pia mitungi yake ni migumu mno kiasi hadi ipasuke labda uipige na bomu, ni very safe. Kwa Tanzania toka ianze kufungwa hapajawaji kuwa na incident ya aina yeyote ile. Hilo gari labda limelipuka kwa dynamite/ baruti, you never know.
Huo mtungi unakuwa na kilo ngapi na je gesi kabla kwisha naweza jaza au lazima nisubiri iishe kabisa Kama ilivyo kwa mitungi ya gesi ya kupikia?BINAFSI NILIWASIKIA HAO DIT WAKIHOJIWA CLOUDS FM NA WALISEMA KWASASA WANABADILISHA MAGARI YANAYOTUMIA TU PETROL YA UKUBWA WA AINA YOYOTE KWA GHARAMA YA TSH, MILIONI MOJA NA LAKI NANE (1,800,000) WAKASEMA VIFAA VYA KUFUNGA MAGARI YANAYOTUMIA DIESEL WAMESHALETA ILA BADO HAWAJAANZA KUFUNGA ILA SOON WATAANZA PIA YA DIESEL.
PIA WALISEMA KWENYE DASH BORD KUTAKUA NA ALAMA INAYOONESHA KIWANGO CHA GESI KILUCHOPO KAMA TU INAVYOONYESHA MAFUTA, PIA KUTAKUWA NA BUTON MAALUM YENYE UWEZO WA KUSWICH OFF UPANDE WA GESI KAMA IMEKWISHA NA KURUDI UPANDE WA MATUMIZI YA PETROL.
NA WALISEMA KWASASA KILO MOJA YA GESI NI TSH, 1500 NA KWA GARI DOGO INA UWEZO WA KUTEMBEA MPAKA KM 27 KWA KG, 1 NAFIKIRI KIDOGO NIMEELEWEKA.
Garage yao ipo wapi? Na gharama zao zipoje kufunga hiyo dual system?Sio ya Oryx, ni special ya magari, hata kwenya buti wanafunga, kama subwoofer linavyofungwa
Swali zuri sanaHuo mtungi unakuwa na kiko ngapi na je gesi kabla kwisha naweza jaza au lazima nisubiri iishe kabisa Kama ilivyo kwa mitungi ya gesi ya kupikia?
Haichukui nafasi yote ya buti, wanaibana pembezoni mwa buti kitaalam.Sasa km inafungwa kwenye vitu ulivyokua unapakia kwenye buti utaviweka wapi?