FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #61
Ni AutoCad na sio AutocardDr Nyari... alikuwa ana nikubali sana kwenye issue ya AutoCard.... kitambo hiyo dit
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni AutoCad na sio AutocardDr Nyari... alikuwa ana nikubali sana kwenye issue ya AutoCard.... kitambo hiyo dit
Ngoja tujaribu kuuliza, ila kama gesi ikiisha unabonyeza switch inarudi kwenye mfumo wa mafuta automatically.Hayo magari yanayotumia gesi, nje ya Dar wanajazia wapi? Isije kuwa kama fungo!
Vv
Umeelewka kuliko hata aliyeleta Uzi... Ila heruf kubwa zinabooooooa....BINAFSI NILIWASIKIA HAO DIT WAKIHOJIWA CLOUDS FM NA WALISEMA KWASASA WANABADILISHA MAGARI YANAYOTUMIA TU PETROL YA UKUBWA WA AINA YOYOTE KWA GHARAMA YA TSH, MILIONI MOJA NA LAKI NANE (1,800,000) WAKASEMA VIFAA VYA KUFUNGA MAGARI YANAYOTUMIA DIESEL WAMESHALETA ILA BADO HAWAJAANZA KUFUNGA ILA SOON WATAANZA PIA YA DIESEL.
PIA WALISEMA KWENYE DASH BOdi KUTAKUA NA ALAMA INAYOONESHA KIWANGO CHA GESI KILUCHOPO KAMA TU INAVYOONYESHA MAFUTA, PIA KUTAKUWA NA BUTON MAALUM YENYE UWEZO WA KUSWICH OFF UPANDE WA GESI KAMA IMEKWISHA NA KURUDI UPANDE WA MATUMIZI YA PETROL.
NA WALISEMA KWASASA KILO MOJA YA GESI NI TSH, 1500 NA KWA GARI DOGO INA UWEZO WA KUTEMBEA MPAKA KM 27 KWA KG, 1 NAFIKIRI KIDOGO NIMEELEWEKA.
Tena ukizingatia gesi tunayo hapa hapa, ile inayotumika pale kinyerezi ni asilimia ndogo sana.Mwarabu anaelekea kula nyasi sasa.
IST wengi sana wamefunga, unakuta kamtungi ka elfu arobaini anapuyanga jiji lote mwezi mzima na chenji inarudiwenye IST haifai?
Ila ishu ninayoona hapa ni ile pesa ya kianzio kufunga mfumo, ila ukishafunga ni mtelezo tu.nilifunga kwenye gar zangu za uber aisee kweli inalipa
Mkuu hii gas naipata wapi na bei zake zikojeWenye V6, V8 na Uber meno yote nje, hongereni DIT
Gharama zake zikoje?Ubungo na DIT kwenyewe, vingine sijavijua bado
japo kuweka huo mfumo ni gharama ila wamesaidia sana hasa wakati huu wa anko
Sasa mkuu kama unalazimika kubonyeza switch utasemaje kwamba inarudi kwenye mafuta automatically? Fafanua hapo.Ngoja tujaribu kuuliza, ila kama gesi ikiisha unabonyeza switch inarudi kwenye mfumo wa mafuta automatically.
Hiyo garama 1.8M si bora kama una gari inakula sana mafuta uuze af ununue ka terios kid au gari yoyote yenye cc ndogo lita moja km 20 sasa ya nn gharama kubwa na akat mafuta yapo nunua hata tata nano full tank unatumia mwezi mzima maaana kana piston 2 tuuWenye V6, V8 na Uber meno yote nje, hongereni DIT
Gharama zake zikoje?Ni modification ndogo tu wanafanya kwenye dashboard, kuna kuwa na zile reserve port za kufunga extra switch pale pembeni ya ignition, wataalam wanaelewa zaidi. Na pia kuna slave ECU inayounganishwa na master ECU / computer ili zishirikiane kwenye seamless/smooth changerover ya gesi kwenda mafuta and vice-versa. Na slave computer ikihisi gas pressure imeshuka sana basi automatically infyatua switch na kuirudisha kwenye mafuta, just incase umejisahau.
Incase umenotice wewe mwenyewe kwamba gesi imepungua basi unaweza ukajisalimisha kwa kubonyeza switch, ila kama umejisahau kuna computer ambayo wanaifunga na inauwezo wa kudect low gas pressure na kufyatua ile switch automatically.Sasa mkuu kama unalazimika kubonyeza switch utasemaje kwamba inarudi kwenye mafuta automatically? Fafanua hapo.
Mnataka tununue hivyo vitoy halafu baadae mtunange kwamba tunatembelea gari za kuongea michepuko si ndio? Hapana aisee, nunua wewe kwanza hiyo terios kid..Hiyo garama 1.8M si bora kama una gari inakula sana mafuta uuze af ununue ka terios kid au gari yoyote yenye cc ndogo lita moja km 20 sasa ya nn gharama kubwa na akat mafuta yapo nunua hata tata nano full tank unatumia mwezi mzima maaana kana piston 2 tuu
Ww wa baskeli gesi yako ipo tumboni...Mkuu ungeandika Uzi ulioshiba kupunguza maswali ya wadau.
Vp hata sisi wa baiskeli tunaweza kufunga?
Kwenye gas hawatumii vipimo vya Lita mkuu ila wanatumia vipimo vya kg.Ingefaa ifungulie Uri maalum wa hili suala, mtu aandike kirefu na afafanue zaidi, ni wapi unaweza kufunga huo mtungi na kwa gharama gani, na mtungi huo ni wa lita ngapi na utakupeleka km ngap, na hiyo gesi ni ya bei gani. Na je kama nitanunua gari linalotumia gesi kama ya huku ulaya je nitaweza kutumia huko TZ..
Watu wengi watanufaika hapo.
Mnataka tununue hivyo vitoy halafu baadae mtunange kwamba tunatembelea gari za kuongea michepuko si ndio? Hapana aisee, nunua wewe kwanza hiyo terios kid..
Gesi yetu ya Mtwara ianze sasa kuchakatwa mahsusi kwa ajili ya soko la ndani la magari, maana ni mengi mno, ni muda wetu sasa kuokoa fedha za kigeni zinazotumika kuagiza nishati nje ya nchi, tutumie nishati yetu wenyewe, kama tunavyofanya kule Kinyerezi.Iyo kitu nimeeilewa sana mabebru wasije kutuchonganisha tu km Libya maana biashara yao ya mafuta inaingia doa.