Fedor von Bock
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 2,321
- 2,157
Hiyo mitungi ni mikubwa sana kwa hiyo gari, labda anataka atumie muda mrefu bila kujaza
Hongera sanaSisi tulio funga tunaelewa na kufaidiView attachment 1152821View attachment 1152824
Sasa pikipiki lita moja unatembea kilomita kibao, gesi ya nnKwenye piki piki watufanyie mpango
Ni kweli kwamba zifuatazo ni baadhi ya changamoto au madhara ya kuweka na kutumia mfumo wa gesi asilia kwenye gari?Sisi tulio funga tunaelewa na kufaidiView attachment 1152821View attachment 1152824
Acha propaganda za kijinga, umeshaambiwa hiyo kitu ni very safe, ma toka waanza kufunga hapa nchini hapajawaji kuwa na incident yeyote.ni bora kununua gari yenye mifumo miwili iliyotengenezwa straight from kiwandani, nyinyi mnaofurahia hii kitu wait and see! mark my word kuna mtu atakua mfano then na biashara itapigwa marufuku. Nat gas sio kitu cha mzaha that much.
Waagizaji wa mafuta mnapata tabu sana, hizo assumption ni uongo uliotukuka.Ni kweli kwamba zifuatazo ni baadhi ya changamoto au madhara ya kuweka na kutumia mfumo wa gesi asilia kwenye gari?
1. Ufanisi wa gari unashuka kwa 10% au zaidi.
2. Life span ya engine ya gari inapungua.
3. Nafasi ya kuhifadhi mzigo kwenye buti ya gari inapungua kutokana na kuweka hiyo mitungi.
4. Ikiwa idle gari huwa zinasumbua kwenye ku-start.
5. Kuna uwezekano wa kutokea ajali ya moto iwapo connection ya mfumo wa gesi haikufanyika vizuri.
mkuu mimi sifanyi propaganda za kijinga and sikusudii kubishana na wewe, best of luck brother!Acha propaganda za kijinga, umeshaambiwa hiyo kitu ni very safe, ma toka waanza kufunga hapa nchini hapajawaji kuwa na incident yeyote.
Ondoa wasiwasi, your doubts are unfounded.mkuu mimi sifanyi propaganda za kijinga and sikusudii kubishana na wewe, best of luck brother!
sina wasiwasi I'm pretty sure of what i'm believing.... WAIT AND SEEOndoa wasiwasi, your doubts are unfounded.
Kama nimeuliza ili kupata uhakika juu ya madai hayo yanayotolewa na baadhi ya watu utaniwekaje kwenye kundi la waagizaji wa mafuta wenye kupata taabu sana?Waagizaji wa mafuta mnapata tabu sana, hizo assumption ni uongo uliotukuka.
Huna lolote mpiga ramli wewe.., toa hoja tujadili, shida unayoiona ni ipi hasa?sina wasiwasi I'm pretty sure of what i'm believing.... WAIT AND SEE
katika dunia kosa vyote ila usiwe maskini wa fikra, OVA.Huna lolote mpiga ramli wewe.., toa hoja tujadili, shida unayoiona ni ipi hasa?
Toa hoja kwanini uhisi hivyo, otherwise ni kutishana bila sababu, ni kama mimi nije halafu nikwambie nahisi hiyo simu yako ni bomu na litalipuka, yaani from nowhere and without basisKama nimeuliza ili kupata uhakika juu ya madai hayo yanayotolewa na baadhi ya watu utaniwekaje kwenye kundi la waagizaji wa mafuta wenye kupata taabu sana?
Toa hoja, usitafute huruma kwa vimisemo uchwara vya wahenga, hoja kwanza.katika dunia kosa vyote ila usiwe maskini wa fikra, OVA.
Aisee, mi nataka sauti ya rocket aisee