mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Asingeniblock kama ni mwingi wa hoja.Pointless kama Wewe unamweza wapi Malisa?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asingeniblock kama ni mwingi wa hoja.Pointless kama Wewe unamweza wapi Malisa?!
... anadhani mwenye haki huwa mwovu kwa kuwa tu watawala wamesema ni mwovu! Pamoja na hadaa zote za mwenye haki atabaki mwenye haki.Swali gumu sana kwa huyo zero brain.View attachment 1884812
Mmoja ni Gaidi, mwingine ni mnyang'anyi na mtakatishaji fedha kweli tofauti ni kubwa maana kupanga kuua viongozi wa Serikali na kulipua sheli za mafuta sio jambo jepesi inahitaji moyo!Kuna tofauti kubwa sana kati ya mashtaka ya sabaya na mbowe.usifikiri watu ni wajinga sana wanashindwa kutofautisha kesi za hao watu wawili na matendo yao.
Ndio mjifunze kuweka akiba ya maneno kuku nyinyi.... anadhani mwenye haki huwa mwovu kwa kuwa tu watawala wamesema ni mwovu! Pamoja na hadaa zote za mwenye haki atabaki mwenye haki.
... akiba ya maneno kwa madhalimu? Nguruwe kweli wewe!Ndio mjifunze kuweka akiba ya maneno kuku nyinyi.
Sasa kitulizeni,wembe unaomnyoa sabaya ndio huu kwa mbowe.... akiba ya maneno kwa madhalimu? Nguruwe kweli wewe!
Mwenye haki atashinda na zaidi ya ushindi. Mmbebambika kesi ngapi mwisho mkaishia aibu?Sasa kitulizeni,wembe unaomnyoa sabaya ndio huu kwa mbowe.
Karma haikopeshi, inalipa keshi.Mwisho, wahenga walinena "Mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu ni mchungu"
Kikubwa wananchi wajue mbowe ni gaidi.Mwenye haki atashinda na zaidi ya ushindi. Mmbebambika kesi ngapi mwisho mkaishia aibu?
Mwulize ben sananeMbowe naye jamii inmtuhumu kuteka raia na na kudai vikombozi kama 7ya?
Harusi yako na mbowe ni lini?Usilinganishe jambazi na muunguana wala dhulumati na anayedhulimiwa! Muhimu zaidi usilinganishe Mtu mwenye hekima zake anyepigania haki na kibaka asiyejua mipaka yake, itakuwa Sawa na kulinganisha kifo na usingizi!
Kwanini lisu alikimbia baada ya kushindwa uchaguzi? Ukijibu hili swali ndo majibu ya kesi ya mboweNimegundua ccm ni mabedui, hivi utawezaje kifurahia UOVU kama wa Sabaya?
Mimi baba yangu akiwa mwovu aina urafiki naye.
Mnajua vyema Mbowe ni innocent anayeswa kisiasa.
Mnajua fika Tundu alionewa lakini mnashangalia.
Maqyuma nyie
Hakika siku zinakwenda mbio sana na ,ni siku chache sana zimepita toka lile kundi lililojawa furaha isio kifani baada ya aliekua mkuu wa wilaya ya Hai, Sabaya, kupandishwa mahakamani, tabasamu lilikuwa kama lote na Rais Samia kupongezwa na kuambiwa anaupiga mwingi mno.
Ghafla kibao kimegeuka ,Mama Samia kawa mbaya, na anapewa shutuma kibao na wanaomlilia Mbowe, ambaye anatuhuma za kupanga ,kufadhili ugaidi nchini.
Hakika hakuna aijuae dakika moja ijayo kwenye maisha yetu, utulivu ni jambo jema, tusiwe wepesi wa kufurahia madhila ya wenzetu ikiwa sisi hatuijui kesho yetu.
Mwisho, wahenga walinena "Mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu ni mchungu"
Hakika siku zinakwenda mbio sana na ,ni siku chache sana zimepita toka lile kundi lililojawa furaha isio kifani baada ya aliekua mkuu wa wilaya ya Hai, Sabaya, kupandishwa mahakamani, tabasamu lilikuwa kama lote na Rais Samia kupongezwa na kuambiwa anaupiga mwingi mno.
Ghafla kibao kimegeuka ,Mama Samia kawa mbaya, na anapewa shutuma kibao na wanaomlilia Mbowe, ambaye anatuhuma za kupanga ,kufadhili ugaidi nchini.
Hakika hakuna aijuae dakika moja ijayo kwenye maisha yetu, utulivu ni jambo jema, tusiwe wepesi wa kufurahia madhila ya wenzetu ikiwa sisi hatuijui kesho yetu.
Mwisho, wahenga walinena "Mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu ni mchungu"
Brainwashed mind,yaani gaidi ni nafuu kuliko jambazi,swine
Hakika siku zinakwenda mbio sana na ,ni siku chache sana zimepita toka lile kundi lililojawa furaha isio kifani baada ya aliekua mkuu wa wilaya ya Hai, Sabaya, kupandishwa mahakamani, tabasamu lilikuwa kama lote na Rais Samia kupongezwa na kuambiwa anaupiga mwingi mno.
Ghafla kibao kimegeuka ,Mama Samia kawa mbaya, na anapewa shutuma kibao na wanaomlilia Mbowe, ambaye anatuhuma za kupanga ,kufadhili ugaidi nchini.
Hakika hakuna aijuae dakika moja ijayo kwenye maisha yetu, utulivu ni jambo jema, tusiwe wepesi wa kufurahia madhila ya wenzetu ikiwa sisi hatuijui kesho yetu.
Mwisho, wahenga walinena "Mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu ni mchungu"
... kumbe ndio lengo? Kathibitisheni ugaidi wake; hapo ndipo shughuli ilipo!Kikubwa wananchi wajue mbowe ni gaidi.