Tuliofurahia maumivu ya Sabaya ndio tunaomlilia Mbowe na kuiingilia Mahakama

... kumbe ndio lengo? Kathibitisheni ugaidi wake; hapo ndipo shughuli ilipo!
Kuthibitisha ushahidi kwamba sabaya ni jambazi mlitumia mbinu ya yule bibi wa kichaga,aliyekuwa analia kichaga nje ya mahakama!!!
 
Kuthibitisha ushahidi kwamba sabaya ni jambazi mlitumia mbinu ya yule bibi wa kichaga,aliyekuwa analia kichaga nje ya mahakama!!!
... katika mlolongo mrefu wa mashahidi akiwemo hadi OCD umemwona bibi wa kichaga akilia kichaga! Pole sana.
 
Pia Mbowe kaua watu wengi sana,wakiwemo akina Chacha Wangwe,Mawazo,nk

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
... katika mlolongo mrefu wa mashahidi akiwemo hadi OCD umemwona bibi wa kichaga akilia kichaga! Pole sana.
Kwani kwa mbowe mashahidi hawapo!!

Tukiwaambia sabaya atatoka,mnasema kakoma haya hivyo.sijui kwa mbowe nasisi tuseme hivi???
 
Mamlaka zile zile zilizomkamata Sabaya ndio hizo hizo zimemkamata Mbowe...

Alipokamatwa Sabaya tulisema safi sana akanyee ndoo huyo hapa bila shaka dola ilitenda haki na tunaiamini sasa kakamatwa Mbowe hatuiamini tena dola na hapa hamna haki..
 
Nikuulize swali hili; pale Mlimani Calvary au Golgota walikuwa wamesulubiwa wangapi? Unadhani umati uliokuwa umekusanyika pale ulikusanyika kwa ajili ya nani? Mambo rahisi hivi huelewi, makubwa utaelewa kweli?
Yaani unalinganisha upumbavu wako na mambo ya Golgota?
Kweli Taifa linapoteza uhai.
 
Sabaya
Sabaya Ni mhalifu mbowe ni mpigania haki kwa kuitaka katiba mpya.
 
Mamlaka zile zile zilizomkamata Sabaya ndio hizo hizo zimemkamata Mbowe...

Alipokamatwa Sabaya tulisema safi sana akanyee ndoo huyo hapa bila shaka dola ilitenda haki na tunaiamini sasa kakamatwa Mbowe hatuiamini tena dola na hapa hamna haki..
Hivi nyinyi majambazi wenzake na Sabaya hamuwezi kidixha ujinga wenu.

Unamlinganishaje kiongozi wa Chama kikuu cha upinzani,ambaye ametengenezewa mashitaka ya uongo na viongozi wahalifu wa serikali wa aina ya Sabaya,na huyo mhalifu Sabaya.

Sisi,wapenda haki,tunaamini mashitaka ya mbowe yametengenezwa na mataga kwa malengo maovu ya kumdhalilisha mbowe. Na tena tunaamini hata mama Samia hajaruhusu huu uhuni. Muda utatuambia ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…