Tulioingia kwenye kilimo tukaangukia pua tukutane hapa


Acha kuwaonea Wasukuma bana
 
kanyagio Naomba sana Mchango wako hapa. Najua unahitajika zaidi ya Maelezo.

Huu uzi usiishe kabla ya kuweka Mchango wako Tafadhali.
 
WANAKUJA NA MWONGOZO WAO MKUU.
 
Aisee aisee ila nitarudi siku moja, kilimo kina changamoto sana na nikizuri
 
kanyagio Naomba sana Mchango wako hapa. Najua unahitajika zaidi ya Maelezo.

Huu uzi usiishe kabla ya kuweka Mchango wako Tafadhali.
Mkuu wanasumbua sana mkoa morogoro wamejaa naona mheshimiwa rais kaliona kaamua kuleta mkuu wa mkoa mkali ili kuweka mambo sawa ila bado nna hasira nao
 
usikate tamaa mwaya,Kilimo hakithaminiwi sababu serikali haijagundua potential ya kuwekeza kwenye kilimo,siku zitakuja ambapo serikali ita invest kwenye kilimo na kila mlimaji atanufaika nacho..
Sikati tamaa najipa Moyo najiona kama nipo mafunzoni nazidi kujifunza
 
Mie pia nilianza kilimo serious mwaka 2015...!nililima mchicha nusu eka..nikanogewa....nikalima tena na trna ..awamu ya 4kumbe chuo nachopeleka mchicha kimefungwa..nikala hasara nikauzs shamba zima kw shilingi 20000!
Nikahamia kwa tikiti..mara ya kwanza nilipata faida...ss nilikuja angukia pua kupitia hao the so called madalali.... Nijajifanya mm mjanja niwazunguke niuze mwenyew... Nilisumbuka mwez mzima nauza tikiti....
Nikaja gundua ishu ya 🍓🍓..naamini nilikua wa kwanza kbs kufanya hii mishe kiutalam zaidi hzi nikastick nazo km miaka mi3...nadhan kilimo ambacho hakina chngamoto sn ni matunda tu..nikapata ajali mbaya nikachefukwa kbs kuskia kuna strawberries...nikawa nasema naacha lakini daily unapata oda...kiukwel it pays..ila inachosha sn kupanda milimani!...nimewaachia watu waendeleze tu ...!kilimo cha Tz ni changamoto sna sna!...
 
Hao presenters waliowaambia vijana hamtumii brain vizuri naona bado wapo sahihi.

Umegundua wanaonufaika ni madalali na wafanyabiashara lakini bado umekomaa kulima tu.

Nadhani fursa hapo utakuwa umeiona ni udalali!

Au kilimo ni hobby yako nini?
 
Hao presenters waliowaambia vijana hamtumii brain vizuri naona bado wapo sahihi.

Umegundua wanaonufaika ni madalali na wafanyabiashara lakini bado umekomaa kulima tu.

Au ni hobby nini?
Baada ya kulima mara nyingi ndo nimekuja gundua wanaonufaika ni madalali na wafanyabiashara saizi nipo kwenye kilimo cha mazao ambayo soko lake ni nje ya nchi
 
Safi sana saiz nalima brucoils, green beans na corneflowers nayemuuzia anapeleka UAE najipanga na mm nitafute ardhi yangu nianze kusafirisha nje mwenyewe
 
Safi sana saiz nalima brucoils, green beans na corneflowers nayemuuzia anapeleka UAE najipanga na mm nitafute ardhi yangu nianze kusafirisha nje mwenyewe


Umewahi peleleza abc za kutransport hizo mambo kwenda nje mkuu😎!anywys kila la heri!
 
Umewahi peleleza abc za kutransport hizo mambo kwenda nje mkuu😎!anywys kila la heri!
Yap kupitia nayemuuzia changamoto kubwa nje wanataka mazao yenye high quality na pia wanataka msign contract ujicomit kua kila mwezi utaoeleka minimum tani ngapi. Hapo lazima uhakikishe una mashamba yako mwenyewe si chini ya ekar 20 ambayo utayapanda ktk vipindi tofauti kuhakikisha unakua na uhakika wa kusupply mzigo mwaka mzima. Hivi vi ekari 2 tatu tunavyokodi mwenye shamba hachelewi kukuzingua akachukua shamba lake
 



Sikiliza mzee baba...wanataka cheti ulichopimia udongo wako mara water content ya shamba lako sijui zao lako..wanataka uwe na vyeti sio chini ya vinne!kuvipata sasa ndo napochoka na hii nchi...yaan hizo broccoli ziwe safi zisishikwe na finyofinyo lolote....nimesahau had majina a hayo madude wanayotaka..kifupi mie nili🙌🙌..nikaishia kuwa member wa TAHA tu nikiwamisi naenda tu wanipe moyo...!lakini ni safari ndefu usikate tamaa..! Serikali hii km huna connection hata hawana muda wa kukusaidia ..nimehenyeka sn kwenye wizara husika ila wapi..labda miaka hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…