Tulioingia kwenye kilimo tukaangukia pua tukutane hapa

Tulioingia kwenye kilimo tukaangukia pua tukutane hapa

Mimi niliwekeza mkuranga kama 28 mil nikachimba Visima nk, Nikaweka Wafanyakazi wawili, Siku ya kwanza tukapanda Embe ekari nane, asubuhi miche yote imeibiwa ! Niliagiza miche SUA kila mche elfu 3... Roho iliuma hatari..

Nilisikitika mno, nikaanza mboga mboga, mpunga, basi bwana si nikaanza kilimo cha simu, sikuambulia hata shilingi moja ! Nikastop...

Nikahamia kwa broilers, île nataka kuwatoa soko likaharibika hata tuliyekubaliana awe anachukua akashindwa maana naye alikua anapeleka mahala, nikafanya batch nne nikaona sasa huu Msala... Nikastop...

Ila sasa Nimerudi tena kivingine, Nimepata mikataba ya broilers tumesaini ndo nimeanza, nitakua natoa broilers elfu moja kila Wiki, nilichojifunza Ni kutokukata tamaa na kufanyia kazi zile changamoto zilizokukuta, usiache.. Jitafakari anza tena !
 
Ulivyofika dodoma na tikiti mambo yalivyobadilika,ungekua mbunifu na kua na plan b ,ungepiga ela nzuri sana,.mfano bila kua na aibu unasambaza mwenyewe kitaa reja reja Miki kwa moko, mengine unakata vipande,unatafuta goli unaweka mzigo chini,unaenda kwenye mahotel kutafuta soko, ,Yani mji mzima tikiti zao zingeenea
Unapata wapi mda wa kuuza reja reja akat mzigo shamban unaharibika, dereva na ww inabidi mle ,mlale n.k
 
Strawberries unapandeje milima
Mie pia nilianza kilimo serious mwaka 2015...!nililima mchicha nusu eka..nikanogewa....nikalima tena na trna ..awamu ya 4kumbe chuo nachopeleka mchicha kimefungwa..nikala hasara nikauzs shamba zima kw shilingi 20000!
Nikahamia kwa tikiti..mara ya kwanza nilipata faida...ss nilikuja angukia pua kupitia hao the so called madalali.... Nijajifanya mm mjanja niwazunguke niuze mwenyew... Nilisumbuka mwez mzima nauza tikiti....
Nikaja gundua ishu ya [emoji526][emoji526]..naamini nilikua wa kwanza kbs kufanya hii mishe kiutalam zaidi hzi nikastick nazo km miaka mi3...nadhan kilimo ambacho hakina chngamoto sn ni matunda tu..nikapata ajali mbaya nikachefukwa kbs kuskia kuna strawberries...nikawa nasema naacha lakini daily unapata oda...kiukwel it pays..ila inachosha sn kupanda milimani!...nimewaachia watu waendeleze tu ...!kilimo cha Tz ni changamoto sna sna!...
 
Kilimo Cha bangi hakijawai kunipa majuto ni timing tu na usiri ndio mafanikio yake,Kuna zao lingine miraa inapesa ya hatari sema serikali ilitakiwa kuhalalisha hizi mambo.wewe ukilima heka kumi za mahindi Mimi heka moja ya bangi ninapata faida kuliko wewe hivyo hivyo kwa miraa square meter chache pesa nyingi.karibuni meru na makanya
Hapa polisi unacheza nao vp mkuu mana wakikudaka si wanasumbua sana....na awamu hii kila mtu anataka kuonekana anafanya kaz vzur bas lazma alupeleke jela
 
Halafu hii miraa kule Kenya si imehalalishwa au?
Kilimo Cha bangi hakijawai kunipa majuto ni timing tu na usiri ndio mafanikio yake,Kuna zao lingine miraa inapesa ya hatari sema serikali ilitakiwa kuhalalisha hizi mambo.wewe ukilima heka kumi za mahindi Mimi heka moja ya bangi ninapata faida kuliko wewe hivyo hivyo kwa miraa square meter chache pesa nyingi.karibuni meru na makanya
 
Mimi nililima mpunga heka kumi ukakubali kweli kweli shamba lilikua langu bwana bwana kukaa hivi napigiwa simu wasukuma wameingiza ng'ombe usiku wamekula shamba lote aisee nilidata. Alafu washenzi wale wamehonga polisi ukienda kushtaki unapigwa danadana tu nilitamani nikapige risasi ng'ombe wote. Morogoro iyo
Walimfanyia hivi mdogo wangu huko tabora daah kumbe mwanajeshi akachukua wana wake watatu wakala full beto alafu kila mtu ana pikipiki kuingia kijijini wanakijiji wote mbio alafu mvua ilikataa kipindi hiko basi wakachukua ng'ombe wote au millioni kumi daah dogo ndipo alipopatia faida hapo otherwise ilikua matherloss
Wasukuma wasumbufu sana
 
Miche ya maembe iliibwaje sasa??? Itakuwa ndugu zako hao walikuzungukaa
Kama alilima kwa sm miche wanaiuza wanakwambia imeibiwa. Ukiwatumia dawa waweke shamban wanawauzia wenye mashamba ya jiran. Jamaa yangu alikua analima vitunguu kwa sim yeye akawa anaibuka jumapili tu kutokana na kubanwa na kazi. Kwa wiki ilitakiwa kumwagilia Mara 3. Jamaa walikua wanamwagilia jumamosi shamba linaloa balaa jumapili akifika anakuta shamba limeloa safi. Mafuta ya siku zingine wanawauzia bodaboda
 
Mtu akija na story za kulima huwa nacheka sana, maana mziki wake naujua, ngumu sana kufanikiwa kwenye kilimo, ndio maana wenye mashamba hawalimi wanaona bora wayakodishe!
Nikiwaonaga viongozi wanawashambulia vijana kua hawajiajili fursa zimejaa kwenye kilimo na kilimo kinalipa hua napata sana hasira
 
Mimi niliwekeza mkuranga kama 28 mil nikachimba Visima nk, Nikaweka Wafanyakazi wawili, Siku ya kwanza tukapanda Embe ekari nane, asubuhi miche yote imeibiwa ! Niliagiza miche SUA kila mche elfu 3... Roho iliuma hatari..

Nilisikitika mno, nikaanza mboga mboga, mpunga, basi bwana si nikaanza kilimo cha simu, sikuambulia hata shilingi moja ! Nikastop...

Nikahamia kwa broilers, île nataka kuwatoa soko likaharibika hata tuliyekubaliana awe anachukua akashindwa maana naye alikua anapeleka mahala, nikafanya batch nne nikaona sasa huu Msala... Nikastop...

Ila sasa Nimerudi tena kivingine, Nimepata mikataba ya broilers tumesaini ndo nimeanza, nitakua natoa broilers elfu moja kila Wiki, nilichojifunza Ni kutokukata tamaa na kufanyia kazi zile changamoto zilizokukuta, usiache.. Jitafakari anza tena !

Mkuu naomba nije PM kama hautojali
 
unapata wapi mda wa kuuza reja reja akat mzigo shamban unaharibika, dereva na ww inabidi mle ,mlale n.k
Alishafika na mzigo mjini,wakati anapambana na masoko ilitakiwa kujiongeza na plan b,unatafuta ata daywaka wanakupigia Debe mdogo mdogo jioni unampa chake
 
Kama unataka Kulima wewe Lima.
Ila zile hesabu za wajasiliamali usizifuate zitakupoteza.
Maana wao hawajui kutoa na kugawanya.
Wanajua Mara na jumlisha.
Sasa utakapoweka matumaini makubwa alafu ukakuta mambo tofauti unaweza ukadata.
Namimi ndio nataka nianze ila mnanivunja moyo
 
Nilipiga heka za Mahindi 30.za.mahindi karibu 8m. huko Morogoro.kabla ya kuvuna Ngombe wakapita nikaambulia gunia 30.maana yake kila eka gunia moja.

nikarudia tena mvua ikazingua ktk eka 20 nikapata gunia 3.nikarudisha home.tumekula ugali mwaka mzima.

Nikajaribu matikiti eka 4 .kabla ya kuiva yakawa yanapasuka pasuka.sikuuza kabisa .sema tulikula matunda home na wanangu.

Nikajaribu matango. eka 2.hayo yakakubali.na yanakomaa ndani ya mida mgupi sana .nikachelewa kuvuna.nilikiwa safari ya kikazi.nikawambia madogo wasubiri nirudi wasivune nilihofia kupigwa.hivyo yakaiva yakawa na mekundu hivi .kumpeleka bos shamba ilil akanunue,akaishia kuniitukana eti nimemsumbua na kumpotezea muda wake wakati.mzigo wenyeqe hauuzilki

Nilijaribu kufuga kuku chotara.hao walikubali sana.sema wakiwa na miezi mitano wakapata ugonjwa wa ajabu ghafla.asubuhi tunaamka tinaona wanasinzia na kukohoa. walikufa kwa wingi ndani ya muda mfupi.ndani siku 4 kuku300 walikufa nikabaki na kama kuku 33.ndiyo naokota mayai ya kula na familia.
Mzee umepambana kweli kweli. Ila haina kulaza damu.
 
Daaha Mchele kitumbo.
Umenikumbusha Mbali sanaa.
Enzi ya utoto.
Mama alikuwa ananipa sh 400 nikanunue kilo Moja.
Ila lazma niutafune njia nzima mpaka home.
Unafanana na mchele kitumbo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom