Chakula Kibaya
JF-Expert Member
- Sep 19, 2022
- 689
- 1,562
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Masonyeni bado inakimbiza mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Masonyeni bado inakimbiza mkuu
Maisha yetu ya kitanzania ndivyo yalivyo [emoji23][emoji23][emoji23]Kila siku polisi ni kwenda kuchukua hesbau zao
Geita inaongoza kwa kuwa ovyo,ghorofa lipo moja tu mkoa mzimaNimetembea Mikoa yote Tanzania,nimehitimisha hamna Mikoa ya hovyo Tanzania kama Dodoma,Shinyanga,Singida na Lindi-ukiitoa mji Nachingwea.
Nimetembea Mikoa yote Tanzania,nimehitimisha hamna Mikoa ya hovyo Tanzania kama Dodoma,Shinyanga,Singida na Lindi-ukiitoa mji Nachingwea.
Hiyo tu?Nimetembea Mikoa yote Tanzania,nimehitimisha hamna Mikoa ya hovyo Tanzania kama Dodoma,Shinyanga,Singida na Lindi-ukiitoa mji Nachingwea.
kikanya na paper zake za 50 kwa mtihani kila weeken kama hakutajirika basi tenaKitambo sana Dodoma. Toka Makole Primary nakatisha kiwanja cha Ndege kati navuka naenda twisheni kwa Mwal. Kikanya hapo K/Ndege shule ya msingi. Area C walikuwa wanakaa watoto wa matajiri, enzi hizo Area D ndo inaanza chipukia. Dah nimekumbuka mengi sana Dodoma. Matajiri walikuwa wakina Mzee Chove wa mabasi ya Urafiki. Bunge enzi hizo lipo mjini huku karibu na Hospitali ya General. Kwa leo ngoja niishie hapo.
Kwenye miaka 87- 90 kwa sie tuliozaliwa uchamwinoni.. nakumbuka kuna wimbi kubwa la mabroo wetu waliokimbilia south Africa wengine hatukuwaona tena mpka leokikanya na paper zake za 50 kwa mtihani kila weeken kama hakutajirika basi tena
Kamji kalikuwa kadogo mno.. mji unaishia maili mbili, kikuyu, kizota, makoleDaaah dodoma ile ya shule ya Mazengo, Club NK, Ushuani area C tulikua tunaenda kutembea for no reason, Matajiri walikuwa wananunua viwanja area d Chan'gombe ilikuwa ya watukutu, kisasa ilikuwa vichaka tu, hakuna ilazo makuru ndio mapori kabisa hatugusi
Pole sanaKwenye miaka 87- 90 kwa sie tuliozaliwa uchamwinoni.. nakumbuka kuna wimbi kubwa la mabroo wetu waliokimbilia south Africa wengine hatukuwaona tena mpka leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Na sisi wa Bahi na wa Mpwapwa tu comment wapi? Au ndio kusema sisi hatukukaa Dodoma?Enzi hizo Dodoma washua wote wanaishi uzunguni
Watoto wa kishua wanasoma stockley
Kina sie tunasoma amani, na mlimwa ambazo ndio zilikuwa shule bora mjini
Club ilikuwa ni NK pamoja na shilla disco mitaa ya iringa road
Picnic tunajichanga tunaenda pnde za mkalama kule ma miyuji kwenye ile swimming juu ya jiwe ama weekend swimming pool ya kule mirembe mixture na kucheza basketball
Zunny ice cream ilikuwa chimbo hatari sana watoto wa mjini lazima tukutane hapo
Enzi hizo nyerere square ndio lilikuwa soko kuu la Dodoma kabla halijavunjwa baada ya kujengwa la majengo
Mnadani ilikuwa veyula
Watoto wa mailimbi,chang'ombe tuliwaogopa hasa
Acha hizo,huwezi kulinganisha Dodoma ya miaka hiyo na sasa,ambapo barabara nyingi zina lami na maeneo mengi ni makazi ya watu,sasa vumbi linatoka wapi,sikatai msimu wa baridi kuna vumbi kama ilivyo Morogoro na mikoa mingine kwa sababu ya upepo.Ushauri ninaotoa kwa authorities,mvua zinakuja wahamasishe upandaji wa miti mkoa mzima hasa mijini kwani msimu wa mvua ni karibu miezi 5 hivyo unatosha sana kuotesha miti...DODOMA YA VUMBIIIIII TU PUMBAFU.
Mnzega daaaah unakuta anavyotembea linanesa nesa linatoa kasauti Fulani hivii[emoji28][emoji28]Daah Dodoma yangu, enzi hizo wagogo walibeba mzegamzega kupeleka mkaa na nyanya mjini.
Kingcross, urafiki, mshikamano na zafanana zinapita Iringa road kuelekea huko Bihawana hadi Iringa.
Mtu anatembea kwa kutroti kidogo, ukichoka bega hili unahamishia bega jingine.Mnzega daaaah unakuta anavyotembea linanesa nesa linatoa kasauti Fulani hivii[emoji28][emoji28]