Tulioishi Dodoma miaka ya 90's mpaka miaka ya 2000 tukutane hapa tujikumbushe

Tulioishi Dodoma miaka ya 90's mpaka miaka ya 2000 tukutane hapa tujikumbushe

Enzi hizo Dodoma washua wote wanaishi uzunguni
Watoto wa kishua wanasoma stockley
Kina sie tunasoma amani, na mlimwa ambazo ndio zilikuwa shule bora mjini
Club ilikuwa ni NK pamoja na shilla disco mitaa ya iringa road
Picnic tunajichanga tunaenda pnde za mkalama kule ma miyuji kwenye ile swimming juu ya jiwe ama weekend swimming pool ya kule mirembe mixture na kucheza basketball
Zunny ice cream ilikuwa chimbo hatari sana watoto wa mjini lazima tukutane hapo
Enzi hizo nyerere square ndio lilikuwa soko kuu la Dodoma kabla halijavunjwa baada ya kujengwa la majengo
Mnadani ilikuwa veyula
Watoto wa mailimbi,chang'ombe tuliwaogopa hasa
Kilabu cha kwa mama Chame,,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Daaah dodoma ile ya shule ya Mazengo, Club NK, Ushuani area C tulikua tunaenda kutembea for no reason, Matajiri walikuwa wananunua viwanja area d Chan'gombe ilikuwa ya watukutu, kisasa ilikuwa vichaka tu, hakuna ilazo makuru ndio mapori kabisa hatugusi
Bas kama ni hato unayosema bas Dodoma ilikuwa kijiji aiseeee
Mana hata ukiamua kutembea ungetumia dakika 30 tu

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Kitambo sana Dodoma. Toka Makole Primary nakatisha kiwanja cha Ndege kati navuka naenda twisheni kwa Mwal. Kikanya hapo K/Ndege shule ya msingi. Area C walikuwa wanakaa watoto wa matajiri, enzi hizo Area D ndo inaanza chipukia. Dah nimekumbuka mengi sana Dodoma. Matajiri walikuwa wakina Mzee Chove wa mabasi ya Urafiki. Bunge enzi hizo lipo mjini huku karibu na Hospitali ya General. Kwa leo ngoja niishie hapo.

Duuh Mkuu mwl Kikanya na Isaka. Ndo walikuwa wababe wa twisheni mjini.
 
Daaah dodoma ile ya shule ya Mazengo, Club NK, Ushuani area C tulikua tunaenda kutembea for no reason, Matajiri walikuwa wananunua viwanja area d Chan'gombe ilikuwa ya watukutu, kisasa ilikuwa vichaka tu, hakuna ilazo makuru ndio mapori kabisa hatugusi

Gwasa acha. Kulikuwa na kila ovu kule. Hapo wana wa mazengo complex wkend debe NK jelojelo.
 
Kilabu cha kwa mama Chame,,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hahaha umenikumbusha mtoto wa mama chame akiitwa Paul na pacha wake nani sjui. Kwa sasa watakuwa vijana watu wazima
 
Nimetembea Mikoa yote Tanzania,nimehitimisha hamna Mikoa ya hovyo Tanzania kama Dodoma,Shinyanga,Singida na Lindi-ukiitoa mji Nachingwea.
Hiyo Nachingwea ina nini au kuwa na kambivya Jeshi Tuu,?

Dodoma unazungmziw wilaya hipi?
Shinyanga ipi wewe unainzungmzia

Umefika Kahama au Tinde au shinyanga mjini?

Singida ipi unaizungumzia,umefika manyoni au Singida mjini?
Shida yako unaushamba wa Tabata na Sinza
 
Nimecheka kwa sauti kwenye daladala[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ninapita hapa isakalilo shule ya msingi kwenu kwenye matuta ila mnanyumba zuri sana
Shemeji yako mimi
 
Back
Top Bottom