Tulioishi Mwanza miaka ya 1990 mpaka 2000 tukutane hapa tujikumbushe

Tulioishi Mwanza miaka ya 1990 mpaka 2000 tukutane hapa tujikumbushe

Enzi za juma chid na manyilizu watoto wa sahara,huku kuna mapimpili watoto wa kitangiri na kilimahewa,juma chid alifungwa butimba alimchoma mtu kisu sijui kesi yake iliishia wapi,hotpot mitaa ya bwiru imeshajifia kweli wakati ni ukuta
Bila kuwasahau magorofani camp. Fita ni fita mura
 
Enzi za juma chid na manyilizu watoto wa sahara,huku kuna mapimpili watoto wa kitangiri na kilimahewa,juma chid alifungwa butimba alimchoma mtu kisu sijui kesi yake iliishia wapi,hotpot mitaa ya bwiru imeshajifia kweli wakati ni ukuta
Juma chid hakufungwa alikamatwa akachezea kipigo na wazee wa ncha kali,alifia sekouture.
 
Siku magnum hotel inafunguliwa nilikuwepo pale. Mzee matata (mmiliki) alikuwa mpole sana pamoja na mkewe. Yule mama kama yuko hai Mungu amlinde sana, ni mojakati ya familia chache ambazo baba na mama wote wana upendo mwingi. Siku hiyo haya housegirl hakujuliknaa maana wote walikuwa wamewekwa level sawa.

Bila kusahau hotel tilapia nayo ilikuwa hatari faya
Tilapia mpaka leo bado inasumbua enzi hizo english medium inayovuma ni nyakahoja
 
Wajanja wote tulisoma mwanza/pamba sec na begi zetu za Jansport mgongoni.!

Kiss FM ilikimbiza nchi nzima kwa kuwa vipindi bora vya redio ikiwa na watagazaji mahiri wa kiganda kama Tobby The Splash, Bush baby.!
 
Wajanja wote tulisoma mwanza/pamba sec na begi zetu za Jansport mgongoni.!

Kiss FM ilikimbiza nchi nzima kwa kuwa vipindi bora vya redio ikiwa na watagazaji mahiri wa kiganda kama Tobby The Splash, Bush baby.!

Rachel, Sylvester bahati[emoji3]
 
MIAKA YA 90 BEACH ILIKUA BOMBAY BEACH SIO TUNZA, HOTEL KALI ILIKUA TILAPIA, MAGOMA ILIKUA DELUX TENA LA MCHANA NDIO KULIKUA KUNA WATOTO WAZURI WAZURI.
 
MIAKA YA 90 BEACH ILIKUA BOMBAY BEACH SIO TUNZA, HOTEL KALI ILIKUA TILAPIA, MAGOMA ILIKUA DELUX TENA LA MCHANA NDIO KULIKUA KUNA WATOTO WAZURI WAZURI.
Siku ya jumapili tena delux hapo mchana watoto kama wote
 
MIAKA YA 90 BEACH ILIKUA BOMBAY BEACH SIO TUNZA, HOTEL KALI ILIKUA TILAPIA, MAGOMA ILIKUA DELUX TENA LA MCHANA NDIO KULIKUA KUNA WATOTO WAZURI WAZURI.
Siku ya jumapili tena delux hapo mchana wait
Wajanja wote tulisoma mwanza/pamba sec na begi zetu za Jansport mgongoni.!

Kiss FM ilikimbiza nchi nzima kwa kuwa vipindi bora vya redio ikiwa na watagazaji mahiri wa kiganda kama Tobby The Splash, Bush baby.!
enzi hizo startv na maigizo yao ya mwanza kila siku wanakuja kitaani nyamanoro kuigiza
 
Magnum daah designer wa ile club mbinguni atapasikia, unaingia club kama unaingia kwenye handaki, ndani taa zimefifiiiiaaa halafu pana rangi nyeusi dadeki yani unaweza jikuta umepanda juu ya vichwa vya watu ukaishia kurushiwa ngumi.

Watoto wa pamba sec na ticha wetu majani kala sana buku mbili mbili zetu kwa kutupeleka capricabana kidogo tu ticha kishaandaa "bugi"
Those time 💕❤️ life was vere kwakeli
 
Magnum daah designer wa ile club mbinguni atapasikia, unaingia club kama unaingia kwenye handaki, ndani taa zimefifiiiiaaa halafu pana rangi nyeusi dadeki yani unaweza jikuta umepanda juu ya vichwa vya watu ukaishia kurushiwa ngumi.

Watoto wa pamba sec na ticha wetu majani kala sana buku mbili mbili zetu kwa kutupeleka capricabana kidogo tu ticha kishaandaa "bugi"
Those time 💕❤️ life was vere kwakeli
Balaaa mvua ikinyesha pale nje hapapitiki kuna siku tunaenda club nikateleza kwenye utelezi biashara ikaishia hapo
 
wanafunzi wajanja waweza kuwa shule uliyosomea wewe Maana kila mtu hudhani ni mjanja, kwangu mimi kwa miaka hiyo shule mashuhuri za sekondari zilikuwa ni lake, pamba ,Mwanza ,Taqwa na na Buswelu hasa ikichagizwa na mashindano ya michezo ya Rotary Club.
Kanda za muziki kwa upande wangu nilikuwa nanunua duka la FM karibu na Mwanza Hotel muuzaji akiwa gardiner Habash na mkewe wa kwanza kama sikosei hotel maarufu kwa upande wangu ilikuwa Tilapia na baada ye ya Magige akajenga Lock Beach kabla ya siasa kumfanya aipoteze enzi za Mkapa kulikopelekea achanganyikiwe na baadaye kupoteza maisha.
 
ticha majani 🤣🤣umenikumbusha asee lakini aliniokoa sana practical za physics adi kufika hapa na yeye alichangia tatizo lake kuu ni pombe na kula wanafunzi wa kike.
Magnum daah designer wa ile club mbinguni atapasikia, unaingia club kama unaingia kwenye handaki, ndani taa zimefifiiiiaaa halafu pana rangi nyeusi dadeki yani unaweza jikuta umepanda juu ya vichwa vya watu ukaishia kurushiwa ngumi.

Watoto wa pamba sec na ticha wetu majani kala sana buku mbili mbili zetu kwa kutupeleka capricabana kidogo tu ticha kishaandaa "bugi"
Those time 💕❤️ life was vere kwakeli
 
ticha majani 🤣🤣umenikumbusha asee lakini aliniokoa sana practical za physics adi kufika hapa na yeye alichangia tatizo lake kuu ni pombe na kula wanafunzi wa kike.
Majani alikua sio tilalila sana kama best ake wa hesabu ticha mabimbi 😂😂😂 mabimbi alikua chapombe sana na yule wa physics nimesahau kina aligongwa na gari akafariki masikini akiwa katoka kupiga vyombo
 
wanafunzi wajanja waweza kuwa shule uliyosomea wewe Maana kila mtu hudhani ni mjanja, kwangu mimi kwa miaka hiyo shule mashuhuri za sekondari zilikuwa ni lake, pamba ,Mwanza ,Taqwa na na Buswelu hasa ikichagizwa na mashindano ya michezo ya Rotary Club.
Kanda za muziki kwa upande wangu nilikuwa nanunua duka la FM karibu na Mwanza Hotel muuzaji akiwa gardiner Habash na mkewe wa kwanza kama sikosei hotel maarufu kwa upande wangu ilikuwa Tilapia na baada ye ya Magige akajenga Lock Beach kabla ya siasa kumfanya aipoteze enzi za Mkapa kulikopelekea achanganyikiwe na baadaye kupoteza maisha.
Rock beach tulikuwa tunaenda sana kutazama mashindano ya miss mwanza na miss lake zone enzi zile ukienda kununua vitu imalaseko supermarket unajiona wakishua sana
 
Back
Top Bottom