Tuliojaza Green Card Lottery mitaa ya Mlimani City surveys majibu vipi?

Tuliojaza Green Card Lottery mitaa ya Mlimani City surveys majibu vipi?

Mimi nilijijazia mwenyewe nikapata ,ila nimekwama kujaza fomu ya D 260 maana wanataka niweke address ya mtu atakayenihost nikienda huko wakati sina mtu, nilitaka niende mwenyewe bila kutegemea host family. Nimeamua kuachana nao
Host rahisi sana ..post kwenye magroup ya watanzania walioko marekani..ni chap tu unapata au tafuta watu walio na ndugu huko.....usiache hiyo fursa Luna watu wanasotea miaka na hawapati..
 
Kama unajaziwa fomu ya green card halafu unalipa pesa basi utakuwa na safari ndefu sana ufanikiwe ktk mambo mengi...fomu ni simple kuliko maelezo hata dk 5 nyingi umemaliza....picha unaenda kupiga kwa photo shop ukisema tu unataka kwa ajili ya green card au US Visa wanajua vipimo ....
 
Kwenye kujaziwa sio tatizo tutambue kuwa ile ni bahati nasibu aidha upate au laah mlikuwa wengi umakini kidogo lazima ukosekane, next time mliojaziwa mjijazie wenyewe lakini pia mtambue ile picha yako lazima iwe na specific kb iweze kuwa uploaded. msijali next time mambo yatakuwa fresh.
Kujaziwa kupo incase huna uelewa wa hilo linalofanyika au unakuwa ujiamini vya kutosha,
mfano; hata pasipoti watu wanajaziwa kisha wanalipa 10k

Mr. Ernest hana baya alikuwa anatoa watu tongo tongo la uvivu[emoji23]
Naona umejileta mwenyewe... ile mitoto uliyoiweka pale ndo inetuingiza mkenge
 
Host rahisi sana ..post kwenye magroup ya watanzania walioko marekani..ni chap tu unapata au tafuta watu walio na ndugu huko.....usiache hiyo fursa Luna watu wanasotea miaka na hawapati..
Sasa mi hata sijaulizwa ilo swali angalieni jamani🤯🤯🤯
 
Kama unajaziwa fomu ya green card halafu unalipa pesa basi utakuwa na safari ndefu sana ufanikiwe ktk mambo mengi...fomu ni simple kuliko maelezo hata dk 5 nyingi umemaliza....picha unaenda kupiga kwa photo shop ukisema tu unataka kwa ajili ya green card au US Visa wanajua vipimo ....
Sio studio zote wanaweza na ndicho alichotukamatia yule jamaa
 
Host rahisi sana ..post kwenye magroup ya watanzania walioko marekani..ni chap tu unapata au tafuta watu walio na ndugu huko.....usiache hiyo fursa Luna watu wanasotea miaka na hawapati..
Unaweza kunisaidia ndugu nikapata magrup maana ni hilo tu nimekwama ndugu yangu
 
Mada ya kinafiki na uongo ,wewe unasema fomu haukukamilika halafu matokeo uliweza kuyaangalia ,una wazimu wewe ?
Hiyo comfirmation number uliyoitumia kuangalia matokeo huwezi kuipata bila kukamilisha kujaza fomu na kuzisubmitt .
Na kuangalia results ,Hakuna hata siku moja utakuta imeandikwa fomu zako hazijajazwa au hazijakamilika , wadanganye wajinga , pale kuna message mbili tu moja ni kama umeshinda ambapo utasoma barua ya Kentucky consular kwamba umeshinda green card lottery na kupewa maelekezo mengine ya kuendelea na mchakato wa kujaza fomu ya DS160
Kama umeshindwa kuwin message itasomeka ,you have not been selected ,kamwe hutapewa sababu ya kushindwa kwako .

Mada za kipumbavu zimezidi humu ,jamii forum ishakuwa ya kipumbavu
Mods futeni Uzi wa kipumbavu na mpige ban huyu mjinga
 
Poleni kwa misiba Watanzania,

Naanzisha uzi huu kama rambi rambi kwa mwanachama mwenzetu aliyefariki hivi karibuni mzee wa bomayeee, case closed, free education n.k, kifupi tutammiss kwa zile mbwembwe zake katika social networks.

Hoja yangu ni hii, nataka tufahamiane iwapo yupo yeyote aliyechezewa Green Card Lottery na yule jamaa pale Mlimani City nyuma ya lile ghorofa pale pembeni jina nimesahau.

Maana mimi jamaa alinigonga zaid ya 20 kunichezea ile lottery, chaajabu siku ananijazisha nakishangaa vitu vilivyojazwa vilikua very simple hata mi fomu yenyewe ka ilikuwa na sehemu nyingi ziliachwa wazi. nikasema mhhh mi ngosha bana kutoka nangende najua nini? Nikakausha baada ya kugongwa nikasema ngoja tuone.

Wallah juzi nacheki majibu yangu heeeh naambiwa "Fomu haikukamilika," nimeumia sana, sasa nikajiuliza ndio mana nilikuwa na wasi wasi au ndio namna wanavyojibu kwa walikosa nafasi?

Sasa wenzangu na mimi vipi mmekutana na majibu gani na je, nanyi mlijaziwajwe? Kuna aliyepokea ujumbe wa kubahatika kupata hio Green Card au tumepigwa?
Mada ya kinafiki na uongo ,wewe unasema fomu haukukamilika halafu matokeo uliweza kuyaangalia ,una wazimu wewe ?
Hiyo comfirmation number uliyoitumia kuangalia matokeo huwezi kuipata bila kukamilisha kujaza fomu na kuzisubmitt .
Na kuangalia results ,Hakuna hata siku moja utakuta imeandikwa fomu zako hazijajazwa au hazijakamilika , wadanganye wajinga , pale kuna message mbili tu moja ni kama umeshinda ambapo utasoma barua ya Kentucky consular kwamba umeshinda green card lottery na kupewa maelekezo mengine ya kuendelea na mchakato wa kujaza fomu ya DS160
Kama umeshindwa kuwin message itasomeka ,you have not been selected ,kamwe hutapewa sababu ya kushindwa kwako .

Mada za kipumbavu zimezidi humu ,jamii forum ishakuwa ya kipumbavu
Mods futeni Uzi wa kipumbavu na mpige ban huyu mjinga
 
Halafu kuomba unaweza kuomba mwenyewe shida ni vigezo na masharti ya hiyo picha inayohitajika wakati unajaza fomu wakati wa kucheza Dv green lottery , si kila mpiga picha anajua jinsi ya kuandaa hizo picha na ukiweka li picha lako la ajabu huwezi ingia kwenye lottery ,entry yako inakuwa canceled na matokeo yatatoka kama kawaida not selected na kamwe huwezi shinda .

Kama unaweza piga picha nzuri na kuiandaa kufuatana na masharti yanayotakiwa nao sawa
 
Mbaya zaidi waliojaziwa na bwana kipara wengi wao wamekutana na "Fomu yako hayajakamilika" 🤣🤣
Muwe mnajaribu hata kuingia Google na kupata maarifa sio kila kitu kubeba tu kama machoko , unaweza tuonesha hapa hiyo message ya " fomu yako haijakamilika ? "
Watz akili hamna mtu hajui kitu naye anaropoka tu ,pumbav
Vichwa vikubwa akili usaha
 
Poleni kwa misiba Watanzania,

Naanzisha uzi huu kama rambi rambi kwa mwanachama mwenzetu aliyefariki hivi karibuni mzee wa bomayeee, case closed, free education n.k, kifupi tutammiss kwa zile mbwembwe zake katika social networks.

Hoja yangu ni hii, nataka tufahamiane iwapo yupo yeyote aliyechezewa Green Card Lottery na yule jamaa pale Mlimani City nyuma ya lile ghorofa pale pembeni jina nimesahau.

Maana mimi jamaa alinigonga zaid ya 20 kunichezea ile lottery, chaajabu siku ananijazisha nakishangaa vitu vilivyojazwa vilikua very simple hata mi fomu yenyewe ka ilikuwa na sehemu nyingi ziliachwa wazi. nikasema mhhh mi ngosha bana kutoka nangende najua nini? Nikakausha baada ya kugongwa nikasema ngoja tuone.

Wallah juzi nacheki majibu yangu heeeh naambiwa "Fomu haikukamilika," nimeumia sana, sasa nikajiuliza ndio mana nilikuwa na wasi wasi au ndio namna wanavyojibu kwa walikosa nafasi?

Sasa wenzangu na mimi vipi mmekutana na majibu gani na je, nanyi mlijaziwajwe? Kuna aliyepokea ujumbe wa kubahatika kupata hio Green Card au tumepigwa?
Screenshot hiyo message tuone hapa ,acheni mada za kipumbavu
 
Kuna watu hapa hapa Tanzania wameshinda na hata Kenya wapo kibao wameshinda , hii ni lottery ,sijui kama mna elewa maana ya neno lottery wapuuz ninyi
 
Back
Top Bottom