Tuliojaza Green Card Lottery mitaa ya Mlimani City surveys majibu vipi?

Tuliojaza Green Card Lottery mitaa ya Mlimani City surveys majibu vipi?

Mimi nilijijazia mwenyewe nikapata ,ila nimekwama kujaza fomu ya D 260 maana wanataka niweke address ya mtu atakayenihost nikienda huko wakati sina mtu, nilitaka niende mwenyewe bila kutegemea host family. Nimeamua kuachana nao
Mkuu hebu changamkia hii Fursa tafuta host kwa namna yoyote ile..

Usiache hii fursa ikupite
 
Mimi nilijijazia mwenyewe nikapata ,ila nimekwama kujaza fomu ya D 260 maana wanataka niweke address ya mtu atakayenihost nikienda huko wakati sina mtu, nilitaka niende mwenyewe bila kutegemea host family. Nimeamua kuachana nao
Acha uvivu , host unaweza ukamcontact EBM mwenyewe ,namba yake ya whatsapp hii hapa ,unaweza isave halafu ukamuomba umuweke kama host wako au akutafutie host wako .
Wanaweka hiyo ya host ili iwe address ambapo hiyo green card yako utapokelea ukiwa kule Marekani ,wenzetu wanaenda kwa address ya makazi , Dv card hupewi ukiwa Bongo hapa ,hiyo Dv card unapewa ukishaingia Marekani sasa wameweka host kwa sababu hapo ndipo hiyo card yako watapeleka na wewe utaichukulia hapo na si kwamba lazima uishi kwa huyo host uliyemjaza kwenye hiyo form .

Namba ya EBM hii hapa ,mcheki kwa whatsapp mwelezee shida yako atakujibu tu na kukusaidia

+1 (913) 687-8922
Namba yake hiyo ,ipo whatsapp pia .

Watu wapumbavu humu wanakatisha tamaa wengine na hawana hata clue ya wanachoongea ,idiots .

Hongera kwa kushinda ,hiyo chance ni ya dhahabu usiichezee ,mcheki huyo jamaa
 
Acha uvivu , host unaweza ukamcontact EBM mwenyewe ,namba yake ya whatsapp hii hapa ,unaweza isave halafu ukamuomba umuweke kama host wako au akutafutie host wako .
Wanaweka hiyo ya host ili iwe address ambapo hiyo green card yako utapokelea ukiwa kule Marekani ,wenzetu wanaenda kwa address ya makazi , Dv card hupewi ukiwa Bongo hapa ,hiyo Dv card unapewa ukishaingia Marekani sasa wameweka host kwa sababu hapo ndipo hiyo card yako watapeleka na wewe utaichukulia hapo na si kwamba lazima uishi kwa huyo host uliyemjaza kwenye hiyo form .

Namba ya EBM hii hapa ,mcheki kwa whatsapp mwelezee shida yako atakujibu tu na kukusaidia

+1 (913) 687-8922
Namba yake hiyo ,ipo whatsapp pia .

Watu wapumbavu humu wanakatisha tamaa wengine na hawana hata clue ya wanachoongea ,idiots .

Hongera kwa kushinda ,hiyo chance ni ya dhahabu usiichezee ,mcheki huyo jamaa
Email yake pia hii hapa
ebm@ebmscholars.com
 
Mimi nilijijazia mwenyewe nikapata ,ila nimekwama kujaza fomu ya D 260 maana wanataka niweke address ya mtu atakayenihost nikienda huko wakati sina mtu, nilitaka niende mwenyewe bila kutegemea host family. Nimeamua kuachana nao
Tia juhudi utapata address wapo watu wengi wanatoa either bure au kwa hela.
 
Acha uvivu , host unaweza ukamcontact EBM mwenyewe ,namba yake ya whatsapp hii hapa ,unaweza isave halafu ukamuomba umuweke kama host wako au akutafutie host wako .
Wanaweka hiyo ya host ili iwe address ambapo hiyo green card yako utapokelea ukiwa kule Marekani ,wenzetu wanaenda kwa address ya makazi , Dv card hupewi ukiwa Bongo hapa ,hiyo Dv card unapewa ukishaingia Marekani sasa wameweka host kwa sababu hapo ndipo hiyo card yako watapeleka na wewe utaichukulia hapo na si kwamba lazima uishi kwa huyo host uliyemjaza kwenye hiyo form .

Namba ya EBM hii hapa ,mcheki kwa whatsapp mwelezee shida yako atakujibu tu na kukusaidia

+1 (913) 687-8922
Namba yake hiyo ,ipo whatsapp pia .

Watu wapumbavu humu wanakatisha tamaa wengine na hawana hata clue ya wanachoongea ,idiots .

Hongera kwa kushinda ,hiyo chance ni ya dhahabu usiichezee ,mcheki huyo jamaa
Sema unakejeli nyingi sana. Ina onekana ukimsaidia mtu Una msimanga sana.
 
Hahahahahah! Huyo EBM anawakanda hadi wa kenya na likipara lake lile, kaoa lizungu libibi hivi nadhani ndio project yake kubwa!

YouTube subscribers na viewers wake ni kutoka Bongo na Kenya na ndio aliowashika. Kuna kongamano nadhani alilifanya Ubungo plaza alijaza nyomi matata sana mamtu yenye kipara bana
Mkuu naomba heshimu kipara tafadhali.
 
Acha uvivu , host unaweza ukamcontact EBM mwenyewe ,namba yake ya whatsapp hii hapa ,unaweza isave halafu ukamuomba umuweke kama host wako au akutafutie host wako .
Wanaweka hiyo ya host ili iwe address ambapo hiyo green card yako utapokelea ukiwa kule Marekani ,wenzetu wanaenda kwa address ya makazi , Dv card hupewi ukiwa Bongo hapa ,hiyo Dv card unapewa ukishaingia Marekani sasa wameweka host kwa sababu hapo ndipo hiyo card yako watapeleka na wewe utaichukulia hapo na si kwamba lazima uishi kwa huyo host uliyemjaza kwenye hiyo form .

Namba ya EBM hii hapa ,mcheki kwa whatsapp mwelezee shida yako atakujibu tu na kukusaidia

+1 (913) 687-8922
Namba yake hiyo ,ipo whatsapp pia .

Watu wapumbavu humu wanakatisha tamaa wengine na hawana hata clue ya wanachoongea ,idiots .

Hongera kwa kushinda ,hiyo chance ni ya dhahabu usiichezee ,mcheki huyo jamaa
Nashukuru kaka kwa muongozo,ngoja niwasiliane na makuliro, vip huwezi kunisaidia pia nikapata
 
Halafu kuomba unaweza kuomba mwenyewe shida ni vigezo na masharti ya hiyo picha inayohitajika wakati unajaza fomu wakati wa kucheza Dv green lottery , si kila mpiga picha anajua jinsi ya kuandaa hizo picha na ukiweka li picha lako la ajabu huwezi ingia kwenye lottery ,entry yako inakuwa canceled na matokeo yatatoka kama kawaida not selected na kamwe huwezi shinda .

Kama unaweza piga picha nzuri na kuiandaa kufuatana na masharti yanayotakiwa nao sawa
Maneno haya ndo yakuingiza watu mkenge muwatapeli...
 
Mada ya kinafiki na uongo ,wewe unasema fomu haukukamilika halafu matokeo uliweza kuyaangalia ,una wazimu wewe ?
Hiyo comfirmation number uliyoitumia kuangalia matokeo huwezi kuipata bila kukamilisha kujaza fomu na kuzisubmitt .
Na kuangalia results ,Hakuna hata siku moja utakuta imeandikwa fomu zako hazijajazwa au hazijakamilika , wadanganye wajinga , pale kuna message mbili tu moja ni kama umeshinda ambapo utasoma barua ya Kentucky consular kwamba umeshinda green card lottery na kupewa maelekezo mengine ya kuendelea na mchakato wa kujaza fomu ya DS160
Kama umeshindwa kuwin message itasomeka ,you have not been selected ,kamwe hutapewa sababu ya kushindwa kwako .

Mada za kipumbavu zimezidi humu ,jamii forum ishakuwa ya kipumbavu
Mods futeni Uzi wa kipumbavu na mpige ban huyu mjinga
EBM mimi sipigwi bana kwa maslai yako.... tumia akili za nini hasira ka sijakushika pabaya??
Soma uelewe thread kwanza
 
Back
Top Bottom