Kuna mambo hayahitaji kuwasumbua majirani...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mambo hayahitaji kuwasumbua majirani...
kuna majibu inabidi uyavumilie tu.Kuna majibu huwa hayaridhishi kama hili.
kuna majibu inabidi uyavumilie tu.
Kuna siku si lazima uchepukeKuna nyuzi sio lazima uingie ukiniona unaenda jukwaa lingine.
kuna vicheko sio lazima ukenue mbele za watu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kuna muda lazima uvumilivu ufikie kikomo.kuna majibu inabidi uyavumilie tu.
kuna vitu hata uhitaji vipi huwezi vipata.Kuna mambo Daby atakuwa anahitaji kutoka kwako.
Kuna muda sio lazima unihoji hoji.Kuna siku si lazima uchepuke
Kuna vitu havihitaji kunyimana.kuna vitu hata uhitaji vipi huwezi vipata.
Kuna muda lazima ukumbushwe kuwa umeoaKuna muda sio lazima unihoji hoji.
kuna muda lazima uvumilivu ufikie kikomo.
kuna vitu tukinyimana tunakua tunaokoana.Kuna vitu havihitaji kunyimana.
tubanane hapa hapa.Tuliojiunga kuanzia 2016 tunacomment wapi
kuna vitu tukinyimana tunakua tunaokoana.
kuna watu tatizo wabishi sana
ungemalizia Hapo Mwisho Bibi WeKuna mambo sio lazima ubalance[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
kuna muda inabidi umuhurumie tu umuokoeKuna muda mtu haitaji kuokolewa.