Tulioko Mwanza Tukutane hapa

Tulioko Mwanza Tukutane hapa

😀😀Jumatatu nipo magomeni huku mnadani
Jumanne nipo kitangiri mnadan
Jumatano kiloleni
Alhamis mapumziko
Ijumaa pale nyakato national mnadani
😀
Jmosi makoroboi namshikia mtu kusagulasagula
Jpili ndani ya saba saba huko ilemela

kazi ya umama ntilie haijawahi muacha muuza mitumba salama [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
😀😀Jumatatu nipo magomeni huku mnadani
Jumanne nipo kitangiri mnadan
Jumatano kiloleni
Alhamis mapumziko
Ijumaa pale nyakato national mnadani
😀
Jmosi makoroboi namshikia mtu kusagulasagula
Jpili ndani ya saba saba huko ilemela

kazi ya umama ntilie haijawahi muacha muuza mitumba salama [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Weewe nikiboko nilikua sijcheka siku nzima ya leo....
 
Back
Top Bottom