Tuliokosa kuitwa kazini TRA 9/4/2022 tusikate tamaa. Hongereni mliopata utumishi mwema

Mkuu niambie hapa if possible, huenda wengi wakaona na kusaidia kama ni msaada[emoji122]
Mkuu lilikua ni swala linalohusu na mambo ya CPA.

Maana nimeshindwa kukuuliza hapa nimehisi kama tutaharibu uzi wa mdau.

Au kama vipi ngoja nikakuulize kwenye Ile thread yako 'uliyoianzishaga' kule kwenye jukwaa la Elimu.
 
Mama katoa zingine Tena Huko huko TRA ila nafasi ni chache afu , inakuwaje wanasema usiombe nafasi zaid ya moja ,axa kama mtu unafit Xeem 2 au tatu kweli usiaply unajiminya sehem moja ....
 
Mama katoa zingine Tena Huko huko TRA ila nafasi ni chache afu , inakuwaje wanasema usiombe nafasi zaid ya moja ,axa kama mtu unafit Xeem 2 au tatu kweli usiaply unajiminya sehem moja ....
Cheza ana ana do hapo
 
Hv izompya wanaita Lin ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…