Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Cheki maximum size ya doc unayo uploadMkuu nisaidieni na Mimi nina-upload certified certificates zinanigomea imeniambia format inayotumika ni Pdf, Png na Jpg. Mbona nimescan na vipo kwenye Pdf lakini vinagoma?
Mkuu niambie hapa if possible, huenda wengi wakaona na kusaidia kama ni msaada👏Bestie.. Naomba niku PM
umeshamaliza CPA?Hongereni sana mliofanikiwa kupata, kazi njema kwa taifa lenu, acha tuendelee kupambana hadi tutakapofanikiwa
Mkuu lilikua ni swala linalohusu na mambo ya CPA.Mkuu niambie hapa if possible, huenda wengi wakaona na kusaidia kama ni msaada[emoji122]
Cheza ana ana do hapoMama katoa zingine Tena Huko huko TRA ila nafasi ni chache afu , inakuwaje wanasema usiombe nafasi zaid ya moja ,axa kama mtu unafit Xeem 2 au tatu kweli usiaply unajiminya sehem moja ....
Hv izompya wanaita Lin ?Tuliokosa kuitwa kazini TRA 9/4/2022 tusikate tamaa hongereni kwa mliopata na kheri ya utumishi mwema.
Inawezekana tumefaulu ila nafasi ndio tumekosa ila tuna mshukuru Mhe Raisi japo sijabahatika kuitwa ila jamaa zangu wengi kutoka familia zetu za hali ya chini wamepata kwa jitihada binafsi Ashukuriwe sana mhe Rais na hongereni kwa washindi ☺☺ na tusichoke kuomba tena maana tumeongezewa zingine 🤗🤗
Hv izompya wanaita Lin ?
yaan hata sijuii labda tuendele kusubiri