Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
usilolijua ni kama kiza kinene, walewaleHii imekaa mimichongo sanaa. Yaan kila mtaa una idadi ya maduka ya dawa yanayohitajika? Kwan si mngeomba tu lessen then mkafungua popote? Au hata ukitaka kuhamisha duka lazima wajue?
Tatizo lilikua nini? Dereva au gari ilikua mbovu?Baada ya kuingia kibaruani na kusave miaka 3 niliona watu wenye bus barabaran wanafaidi sana [emoji2][emoji2][emoji2]
Nikawa na ham ya hiyo biz nikanunua bus used kwa mtu daah hakuna rangi niliacha kuona
Gari lilikua na mattz madogo madogo dereva nae alikua sio mvumilivuTatizo lilikua nini? Dereva au gari ilikua mbovu?
Hahaha kuna madereva huwa hawajiongezi ..huyo unaachana nayeGari lilikua na mattz madogo madogo dereva nae alikua sio mvumilivu
Spea tyre tu inafanya asitoe gari
Hamia mwenye stocks..huko watakuua...Scalping inakula mshahara wangu
Kila siku naliwa ila bado nimo
Mpaka damu I nitoke, lakini lazima nimtoe damu broker 😔😔
unauliza tena mkuu? kufa kufaanaDah dah nmecheka kama mazuri Dah kwahyo mkuu ulitaka watu wafe wengi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe mrembo unaweza nifundisha mambo ya busines...naja pm unioe maujanjaNilipomaliza chuo wakati nasubir ajira nikaona nihangaike kutafuta ela za vocha nikaamua nianze biashara ya kuuza juis fresh na uhitaji ulikuwa mkubwa na kwa siku nilikuwa nauza hta glass Mia kwa masaa kadhaa tu Ila matunda yalikuwa ni ya kuagiza dar nakumbuka nikaagiza mzigo wa kutosha mzigo unafika tanesco wakakta umeme siku nne ndo unarudi ela iliniuma balaa japo haikuwa nyingi Ila kwa kipato changu enzizile nilitamni kulia lkn nikaendlea na Mambo yakawa sawa Hadi nilipoamua kufungua biashara nyingine kubwa zaidi....
Biashara changamoto Sana hasara zipo za kutosha tu Ila muhimu kufanya research kabla hujafungua biashara
Wewe mwenyewe uliamua kufeli mwenyewe ulishindwa kutumia mandala wa umeme wa Tanesco kama Generator, solar power system, gas n.k?Nilipomaliza chuo wakati nasubir ajira nikaona nihangaike kutafuta ela za vocha nikaamua nianze biashara ya kuuza juis fresh na uhitaji ulikuwa mkubwa na kwa siku nilikuwa nauza hta glass Mia kwa masaa kadhaa tu Ila matunda yalikuwa ni ya kuagiza dar nakumbuka nikaagiza mzigo wa kutosha mzigo unafika tanesco wakakta umeme siku nne ndo unarudi ela iliniuma balaa japo haikuwa nyingi Ila kwa kipato changu enzizile nilitamni kulia lkn nikaendlea na Mambo yakawa sawa Hadi nilipoamua kufungua biashara nyingine kubwa zaidi....
Biashara changamoto Sana hasara zipo za kutosha tu Ila muhimu kufanya research kabla hujafungua biashara
Ilikuwa ni nyumbn hatuna generator alafu nilikuwa natengeneza siku hiyohiyo kwaiyo nilikuwa siwez kulaza ili isipungue ladha...Wewe mwenyewe uliamua kufeli mwenyewe ulishindwa kutumia mandala wa umeme wa Tanesco kama Generator, solar power system, gas n.k?
Maana kama kubreda matunda na kuyafreeze lazima ungefaulu.
Nini kilitokea ndugu? FungukaNaikumbuka 32m niliyoiunguza kwenye biashara ya ng'ombe
Sent from my TECNO LC6a using JamiiForums mobile app
Mkuu kwanza nikupongeze kwa moyo wa uthubutu,inaonesha wazi una nia,shida ilikuwa pale ulipotegemea kikubwa,labda nikupe ushuhuda tu labda unaweza kukutia nguvu,kuna jamaa mmoja niko nae ofisini hapa,yeye aliamua kuanzisha baishara ya chipsi kwa kuwa aliona mafanikio ya mwenzie ambae kasimamia biashara yake mpaka akawa nikiwa kufungua vibanda zaidi ya 50,sasa kwa Mara ya kwanza akafungua sehemu yake ya kuuzia chipsi akianza na mtaji wa 1,000,000 kwa kuwa hakuwa na usimamizi mzuri biashara alifunga baada ya wiki mbili,akaja kufungua tena mwaka jana akaamua kutenga 3M kama mtaji akaanzisha upya,kweli ikaanza kwenda vizuri kwa sababu alikuwa anapata mda wa kwenda kutizama biashara yake na akawa anapambana kwelikweli shida ikaja kutokea tu pale alipohamishwa kituo kwa mda wa mwezi mmoja hapo ndio na biashara ikaharibika kabisa,akapata hasara ya pesa yote hiyo maana hata vitu vingine viliharibika ikabidi havitupe,mwaka huu mwezi wa nne akafungua tena sasa hiki kipindi akaweka 6M akijua kwamba akimuweka ndugu atasimamia vizuri na mambo yataenda,Yaani mauzo aliyokuwa analetewa hesabu ikawa inamlazimu awe anaongezea hela kwa ajili ya maemezi maana pesa iliyokuwa inakuja ikawa haitoshi hata kwa maemezi ya kesho yake,biashara imedumu kwa mwezi mmoja tu akafunga maana alikuja kupiga hesabu akajikuta amepata hasara kubwa mno,akaamua kufunga tena,Yaani alichoambulia ni vitu tu alivyo kula ameanzia biashara basiNilipojua kua sijui yangu ilikua katika biashara ya nafaka
Ilikua mwaka 2011 baada ya kufanya vibarua vya hapa na pale nikawa nimesave pesa kiasi cha tsh 750,000 nilikua na shauku sana ya kujiingiza katika biashara yoyote ya halali ili niachane na vibarua vya kutokua na uhakika wa kukipata kila siku
Sasa katika tafuta tafuta ushauri nikakutana na jamaa mmoja zamani alikua anafanya biashara ya nafaka lakini aliacha kwa kufilisika aliwekewa dawa za usingizi kwenye pombe na wahuni wakatoroka na pesa zake zote
basi jamaa hakuwa mchoyo akanipa muongozo wote wa jinsigani gani alikua anafata mahindi huko porini akanipa na mawasiliano ya rafiki yake mmoja ni mkazi wa hicho kijiji pale ambapo jamaa alipokua anafikia analala hapo kwa huyo jamaa
jamaa anafamilia mke na watoto wengi kiasi huyu mshikaji akaniambia kua kule wanahitaji mboga tu sababu ugali wanao basi nikaenda soko kuu pale mwanza nikanunua dagaa visado viwili nyanya na vitunguu
nikanunua na mifuko ile ya debe 6 na kamba na sindano ya kushonea magunia akaniambia pia nitafute debe la plastic na kisado nivichemshie maji ya moto alafu vikiisha pata moto nijaze mchanga huku naushindilia ili hilo debe na kisado vitanuke ili niweze kupata mahindi mengi kutoka kwa wanakijiji
alafu inahitajika niwe na chenji noti ndogo ndogo ili iwe rahisi maana kule nako chenji ni tabu nikaenda bank kuu pale mwanza karibu na keep left nikawaambia shida yangu wakachukua pesa zangu 750,000 wakaziweka katika mashine ya kuhakiki noti kama ni bandia
zote zilikua safi basi wakanipa chenji za vibunda vipyaaa vya 2,000 na 1,000 na 500 bila vikwazo vyovyote basi asubuhi nikaenda stendi ya mabasi nyegezi nikapanda vi HIACE vya kwenda MISUNGWI MISASI
nikashuka misasi kuna baiskeli za kwenda huko porini kijijini panaitwa NKUNGUHUMULU nauli ya baiskeli ni 500
ni kipande kirefu aisee wasukuma wanapiga pedeli baiskeli inapanda mlima kama inatelemka unapigwa na upepo tu kama umepanda bodaboda
nilifika pale kijijini jamaa mwenyeji akanipokea nikamuelezea basi akawajulisha wanakijiji kuwa kwake kuna mnunuzi wa mahindi basi wana kijiji wakaanza kuniletea mahindi mwenye kisado mwenye debe moja mwenye gunia sawa ilinichukua kama siku 3 kukamilisha gunia 21
nikawa nimebakiwa na akiba ya 80,000 nikasema hapa inatosha sasa nirudi maana mjini nimeeacha mahindi gunia wanauziwa 38,000 mpaka 40,000 kwa bei ya jumla na mimi nimemenunua kila gunia 27,000 mpaka 28,000 nikawa napiga hesabu za kwenda kukunja 200,000 kama faida
sasa kipengele kilikua usafiri kumbe kule porini fuso haiji kama hauna gunia 100 maana wale wenye fuso wanabeba kila gunia moja kwa bei ya 1,000 basi nilisota huko porini maji ya kunywa yenyewe wanachota kwenye bwawa ambalo wanako kunywa maji ng'ombe na punda wanyeji wenyewe wanayatwanga hawaoni tatizo mimi ndio siwezi yaani maji ukiyaangalia hunywi mpaka uangalie juu ndio unywe
nimekaa kama siku sita nika mpigia tena jamaa alie nielekeza, kaka vipi natokaje huku jamaa akawapigia wadau wenzake wa zamani kama wapo vijiji jirani ili anionganishe nao ili fuso lije lituchukue wadau wanasema bado mzigo wao hawaja maliza wako mjini bado
dah nimeka jamaa kampigia mdau mwingine na yeye akawa ana gunia 25 na yeye kakwama porini
basi kuna fuso moja inaitwa MAMBO YA CHINGA ilikua imeleta wamachinga vijijini sasa wanatafuta mzigo wa chap wapeleke mjini ili jioni wawarudie machinga wao hio ndio ikawa ponapona yangu ya kutoka porini
tukapakia mzigo tukafika sehemu kuna watu wa ushuru tukalipa ushuru kila gunia moja 1,000 jumla gunia moja likawa limesimamia 30,000 tumeenda mpaka sehemu moja inaitwa bugarika kuna masine ya kuuza mahindi nikapiga mzigo wangu pale kwa kua jamaa mwenyeji alikua ana kijiwe pale basi mzigo nikawa naulaza bure
tatizo likawa hapa katikati kipindi nilipokua polini kumbe kuna watu wenye mitaji mikubwa wamemwaga mahindi pale mwanza kila mtu ana mahindi basi na bei ikaanza ku drop ikashuka mpaka 34,000 kwa kila gunia da nikazidi kuvurugwa nikasemaa niki kaa sana hapa mahindi yanaweza yakashuka zaidi nikapata hasara basi mimi nikashusha bei maradufu nikayauza 32,000 mengine nikawakopesha wanao uza lejaleja lakini walinilipa kila walipo maliza mzigo
dah nikaja piga mahesabu faida niliyo pata ni 40,000 na hela yenyewe ya faida nimeshaila kuangalia mkononi mtaji wangu umebaki kiasi gani najikuta nina 690,000 kati ya 750,000 kwahio nikawa nimepoteza muda na pesa yangu kama 60,000 imepungua wanaosema biashara ni mtaji hawakukosea kipindi hicho ningekua nina mtaji kama 3,500,000 hata kama kwa kila gunia ningekua napata faida ya 2,000 bado ningekua na faida nzuri tu
BIASHARA NI MTAJI
Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
Mkuu kwanza nikupongeze kwa moyo wa uthubutu,inaonesha wazi una nia,shida ilikuwa pale ulipotegemea kikubwa,labda nikupe ushuhuda tu labda unaweza kukutia nguvu,kuna jamaa mmoja niko nae ofisini hapa,yeye aliamua kuanzisha baishara ya chipsi kwa kuwa aliona mafanikio ya mwenzie ambae kasimamia biashara yake mpaka akawa nikiwa kufungua vibanda zaidi ya 50,sasa kwa Mara ya kwanza akafungua sehemu yake ya kuuzia chipsi akianza na mtaji wa 1,000,000 kwa kuwa hakuwa na usimamizi mzuri biashara alifunga baada ya wiki mbili,akaja kufungua tena mwaka jana akaamua kutenga 3M kama mtaji akaanzisha upya,kweli ikaanza kwenda vizuri kwa sababu alikuwa anapata mda wa kwenda kutizama biashara yake na akawa anapambana kwelikweli shida ikaja kutokea tu pale alipohamishwa kituo kwa mda wa mwezi mmoja hapo ndio na biashara ikaharibika kabisa,akapata hasara ya pesa yote hiyo maana hata vitu vingine viliharibika ikabidi havitupe,mwaka huu mwezi wa nne akafungua tena sasa hiki kipindi akaweka 6M akijua kwamba akimuweka ndugu atasimamia vizuri na mambo yataenda,Yaani mauzo aliyokuwa analetewa hesabu ikawa inamlazimu awe anaongezea hela kwa ajili ya maemezi maana pesa iliyokuwa inakuja ikawa haitoshi hata kwa maemezi ya kesho yake,biashara imedumu kwa mwezi mmoja tu akafunga maana alikuja kupiga hesabu akajikuta amepata hasara kubwa mno,akaamua kufunga tena,Yaani alichoambulia ni vitu tu alivyo kula ameanzia biashara basi
Nimempa ndani wa mtu ambae pamoja na kupoteza pesa nyingi ili bado hakati tamaaSasa hapo umemtia moyo au umemkatisha tamaa kabisa 😂
Nimempa ndani wa mtu ambae pamoja na kupoteza pesa nyingi ili bado hakati tamaa
Hahahah..wewe jamaa huna akili.Yaani wewe hata sikuhurumii aisee. Afadhali tu yaani hali ilikuwa kama ilivyokuwa kha!
Halafu unavyosimulia masikini. Kama nakuona usiku umelala unawaza mbona watu hawafi? Hii Korona vipi? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Pole sana mkuuNilipojua kua sijui yangu ilikua katika biashara ya nafaka
Ilikua mwaka 2011 baada ya kufanya vibarua vya hapa na pale nikawa nimesave pesa kiasi cha tsh 750,000 nilikua na shauku sana ya kujiingiza katika biashara yoyote ya halali ili niachane na vibarua vya kutokua na uhakika wa kukipata kila siku
Sasa katika tafuta tafuta ushauri nikakutana na jamaa mmoja zamani alikua anafanya biashara ya nafaka lakini aliacha kwa kufilisika aliwekewa dawa za usingizi kwenye pombe na wahuni wakatoroka na pesa zake zote
basi jamaa hakuwa mchoyo akanipa muongozo wote wa jinsigani gani alikua anafata mahindi huko porini akanipa na mawasiliano ya rafiki yake mmoja ni mkazi wa hicho kijiji pale ambapo jamaa alipokua anafikia analala hapo kwa huyo jamaa
jamaa anafamilia mke na watoto wengi kiasi huyu mshikaji akaniambia kua kule wanahitaji mboga tu sababu ugali wanao basi nikaenda soko kuu pale mwanza nikanunua dagaa visado viwili nyanya na vitunguu
nikanunua na mifuko ile ya debe 6 na kamba na sindano ya kushonea magunia akaniambia pia nitafute debe la plastic na kisado nivichemshie maji ya moto alafu vikiisha pata moto nijaze mchanga huku naushindilia ili hilo debe na kisado vitanuke ili niweze kupata mahindi mengi kutoka kwa wanakijiji
alafu inahitajika niwe na chenji noti ndogo ndogo ili iwe rahisi maana kule nako chenji ni tabu nikaenda bank kuu pale mwanza karibu na keep left nikawaambia shida yangu wakachukua pesa zangu 750,000 wakaziweka katika mashine ya kuhakiki noti kama ni bandia
zote zilikua safi basi wakanipa chenji za vibunda vipyaaa vya 2,000 na 1,000 na 500 bila vikwazo vyovyote basi asubuhi nikaenda stendi ya mabasi nyegezi nikapanda vi HIACE vya kwenda MISUNGWI MISASI
nikashuka misasi kuna baiskeli za kwenda huko porini kijijini panaitwa NKUNGUHUMULU nauli ya baiskeli ni 500
ni kipande kirefu aisee wasukuma wanapiga pedeli baiskeli inapanda mlima kama inatelemka unapigwa na upepo tu kama umepanda bodaboda
nilifika pale kijijini jamaa mwenyeji akanipokea nikamuelezea basi akawajulisha wanakijiji kuwa kwake kuna mnunuzi wa mahindi basi wana kijiji wakaanza kuniletea mahindi mwenye kisado mwenye debe moja mwenye gunia sawa ilinichukua kama siku 3 kukamilisha gunia 21
nikawa nimebakiwa na akiba ya 80,000 nikasema hapa inatosha sasa nirudi maana mjini nimeeacha mahindi gunia wanauziwa 38,000 mpaka 40,000 kwa bei ya jumla na mimi nimemenunua kila gunia 27,000 mpaka 28,000 nikawa napiga hesabu za kwenda kukunja 200,000 kama faida
sasa kipengele kilikua usafiri kumbe kule porini fuso haiji kama hauna gunia 100 maana wale wenye fuso wanabeba kila gunia moja kwa bei ya 1,000 basi nilisota huko porini maji ya kunywa yenyewe wanachota kwenye bwawa ambalo wanako kunywa maji ng'ombe na punda wanyeji wenyewe wanayatwanga hawaoni tatizo mimi ndio siwezi yaani maji ukiyaangalia hunywi mpaka uangalie juu ndio unywe
nimekaa kama siku sita nika mpigia tena jamaa alie nielekeza, kaka vipi natokaje huku jamaa akawapigia wadau wenzake wa zamani kama wapo vijiji jirani ili anionganishe nao ili fuso lije lituchukue wadau wanasema bado mzigo wao hawaja maliza wako mjini bado
dah nimeka jamaa kampigia mdau mwingine na yeye akawa ana gunia 25 na yeye kakwama porini
basi kuna fuso moja inaitwa MAMBO YA CHINGA ilikua imeleta wamachinga vijijini sasa wanatafuta mzigo wa chap wapeleke mjini ili jioni wawarudie machinga wao hio ndio ikawa ponapona yangu ya kutoka porini
tukapakia mzigo tukafika sehemu kuna watu wa ushuru tukalipa ushuru kila gunia moja 1,000 jumla gunia moja likawa limesimamia 30,000 tumeenda mpaka sehemu moja inaitwa bugarika kuna masine ya kuuza mahindi nikapiga mzigo wangu pale kwa kua jamaa mwenyeji alikua ana kijiwe pale basi mzigo nikawa naulaza bure
tatizo likawa hapa katikati kipindi nilipokua polini kumbe kuna watu wenye mitaji mikubwa wamemwaga mahindi pale mwanza kila mtu ana mahindi basi na bei ikaanza ku drop ikashuka mpaka 34,000 kwa kila gunia da nikazidi kuvurugwa nikasemaa niki kaa sana hapa mahindi yanaweza yakashuka zaidi nikapata hasara basi mimi nikashusha bei maradufu nikayauza 32,000 mengine nikawakopesha wanao uza lejaleja lakini walinilipa kila walipo maliza mzigo
dah nikaja piga mahesabu faida niliyo pata ni 40,000 na hela yenyewe ya faida nimeshaila kuangalia mkononi mtaji wangu umebaki kiasi gani najikuta nina 690,000 kati ya 750,000 kwahio nikawa nimepoteza muda na pesa yangu kama 60,000 imepungua wanaosema biashara ni mtaji hawakukosea kipindi hicho ningekua nina mtaji kama 3,500,000 hata kama kwa kila gunia ningekua napata faida ya 2,000 bado ningekua na faida nzuri tu
BIASHARA NI MTAJI
Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app