Tuliokurupukia kuanzisha biashara baadaye tukajua hatujui tukutane hapa

Tuliokurupukia kuanzisha biashara baadaye tukajua hatujui tukutane hapa

Nilipomaliza chuo wakati nasubir ajira nikaona nihangaike kutafuta ela za vocha nikaamua nianze biashara ya kuuza juis fresh na uhitaji ulikuwa mkubwa na kwa siku nilikuwa nauza hta glass Mia kwa masaa kadhaa tu Ila matunda yalikuwa ni ya kuagiza dar nakumbuka nikaagiza mzigo wa kutosha mzigo unafika tanesco wakakta umeme siku nne ndo unarudi ela iliniuma balaa japo haikuwa nyingi Ila kwa kipato changu enzizile nilitamni kulia lkn nikaendlea na Mambo yakawa sawa Hadi nilipoamua kufungua biashara nyingine kubwa zaidi....


Biashara changamoto Sana hasara zipo za kutosha tu Ila muhimu kufanya research kabla hujafungua biashara
 
Nilipomaliza chuo wakati nasubir ajira nikaona nihangaike kutafuta ela za vocha nikaamua nianze biashara ya kuuza juis fresh na uhitaji ulikuwa mkubwa na kwa siku nilikuwa nauza hta glass Mia kwa masaa kadhaa tu Ila matunda yalikuwa ni ya kuagiza dar nakumbuka nikaagiza mzigo wa kutosha mzigo unafika tanesco wakakta umeme siku nne ndo unarudi ela iliniuma balaa japo haikuwa nyingi Ila kwa kipato changu enzizile nilitamni kulia lkn nikaendlea na Mambo yakawa sawa Hadi nilipoamua kufungua biashara nyingine kubwa zaidi....


Biashara changamoto Sana hasara zipo za kutosha tu Ila muhimu kufanya research kabla hujafungua biashara
Kumbe mrembo unaweza nifundisha mambo ya busines...naja pm unioe maujanja
 
Nilipomaliza chuo wakati nasubir ajira nikaona nihangaike kutafuta ela za vocha nikaamua nianze biashara ya kuuza juis fresh na uhitaji ulikuwa mkubwa na kwa siku nilikuwa nauza hta glass Mia kwa masaa kadhaa tu Ila matunda yalikuwa ni ya kuagiza dar nakumbuka nikaagiza mzigo wa kutosha mzigo unafika tanesco wakakta umeme siku nne ndo unarudi ela iliniuma balaa japo haikuwa nyingi Ila kwa kipato changu enzizile nilitamni kulia lkn nikaendlea na Mambo yakawa sawa Hadi nilipoamua kufungua biashara nyingine kubwa zaidi....


Biashara changamoto Sana hasara zipo za kutosha tu Ila muhimu kufanya research kabla hujafungua biashara
Wewe mwenyewe uliamua kufeli mwenyewe ulishindwa kutumia mandala wa umeme wa Tanesco kama Generator, solar power system, gas n.k?
Maana kama kubreda matunda na kuyafreeze lazima ungefaulu.
 
Wewe mwenyewe uliamua kufeli mwenyewe ulishindwa kutumia mandala wa umeme wa Tanesco kama Generator, solar power system, gas n.k?
Maana kama kubreda matunda na kuyafreeze lazima ungefaulu.
Ilikuwa ni nyumbn hatuna generator alafu nilikuwa natengeneza siku hiyohiyo kwaiyo nilikuwa siwez kulaza ili isipungue ladha...
 
Biashara inachangamoto nyingi sana ambazo lazima upite ujifunze all in all Mimi Huwa najinenea,"Nikiweka mkono wangu hakuna kitu kufa Yani ni mwendo wa kusonga mbele Tu"
All in all there are a lot of factors to consider before initiating any business.
 
Nilipojua kua sijui yangu ilikua katika biashara ya nafaka

Ilikua mwaka 2011 baada ya kufanya vibarua vya hapa na pale nikawa nimesave pesa kiasi cha tsh 750,000 nilikua na shauku sana ya kujiingiza katika biashara yoyote ya halali ili niachane na vibarua vya kutokua na uhakika wa kukipata kila siku

Sasa katika tafuta tafuta ushauri nikakutana na jamaa mmoja zamani alikua anafanya biashara ya nafaka lakini aliacha kwa kufilisika aliwekewa dawa za usingizi kwenye pombe na wahuni wakatoroka na pesa zake zote

basi jamaa hakuwa mchoyo akanipa muongozo wote wa jinsigani gani alikua anafata mahindi huko porini akanipa na mawasiliano ya rafiki yake mmoja ni mkazi wa hicho kijiji pale ambapo jamaa alipokua anafikia analala hapo kwa huyo jamaa

jamaa anafamilia mke na watoto wengi kiasi huyu mshikaji akaniambia kua kule wanahitaji mboga tu sababu ugali wanao basi nikaenda soko kuu pale mwanza nikanunua dagaa visado viwili nyanya na vitunguu

nikanunua na mifuko ile ya debe 6 na kamba na sindano ya kushonea magunia akaniambia pia nitafute debe la plastic na kisado nivichemshie maji ya moto alafu vikiisha pata moto nijaze mchanga huku naushindilia ili hilo debe na kisado vitanuke ili niweze kupata mahindi mengi kutoka kwa wanakijiji

alafu inahitajika niwe na chenji noti ndogo ndogo ili iwe rahisi maana kule nako chenji ni tabu nikaenda bank kuu pale mwanza karibu na keep left nikawaambia shida yangu wakachukua pesa zangu 750,000 wakaziweka katika mashine ya kuhakiki noti kama ni bandia

zote zilikua safi basi wakanipa chenji za vibunda vipyaaa vya 2,000 na 1,000 na 500 bila vikwazo vyovyote basi asubuhi nikaenda stendi ya mabasi nyegezi nikapanda vi HIACE vya kwenda MISUNGWI MISASI
nikashuka misasi kuna baiskeli za kwenda huko porini kijijini panaitwa NKUNGUHUMULU nauli ya baiskeli ni 500
ni kipande kirefu aisee wasukuma wanapiga pedeli baiskeli inapanda mlima kama inatelemka unapigwa na upepo tu kama umepanda bodaboda

nilifika pale kijijini jamaa mwenyeji akanipokea nikamuelezea basi akawajulisha wanakijiji kuwa kwake kuna mnunuzi wa mahindi basi wana kijiji wakaanza kuniletea mahindi mwenye kisado mwenye debe moja mwenye gunia sawa ilinichukua kama siku 3 kukamilisha gunia 21

nikawa nimebakiwa na akiba ya 80,000 nikasema hapa inatosha sasa nirudi maana mjini nimeeacha mahindi gunia wanauziwa 38,000 mpaka 40,000 kwa bei ya jumla na mimi nimemenunua kila gunia 27,000 mpaka 28,000 nikawa napiga hesabu za kwenda kukunja 200,000 kama faida

sasa kipengele kilikua usafiri kumbe kule porini fuso haiji kama hauna gunia 100 maana wale wenye fuso wanabeba kila gunia moja kwa bei ya 1,000 basi nilisota huko porini maji ya kunywa yenyewe wanachota kwenye bwawa ambalo wanako kunywa maji ng'ombe na punda wanyeji wenyewe wanayatwanga hawaoni tatizo mimi ndio siwezi yaani maji ukiyaangalia hunywi mpaka uangalie juu ndio unywe

nimekaa kama siku sita nika mpigia tena jamaa alie nielekeza, kaka vipi natokaje huku jamaa akawapigia wadau wenzake wa zamani kama wapo vijiji jirani ili anionganishe nao ili fuso lije lituchukue wadau wanasema bado mzigo wao hawaja maliza wako mjini bado

dah nimeka jamaa kampigia mdau mwingine na yeye akawa ana gunia 25 na yeye kakwama porini
basi kuna fuso moja inaitwa MAMBO YA CHINGA ilikua imeleta wamachinga vijijini sasa wanatafuta mzigo wa chap wapeleke mjini ili jioni wawarudie machinga wao hio ndio ikawa ponapona yangu ya kutoka porini

tukapakia mzigo tukafika sehemu kuna watu wa ushuru tukalipa ushuru kila gunia moja 1,000 jumla gunia moja likawa limesimamia 30,000 tumeenda mpaka sehemu moja inaitwa bugarika kuna masine ya kuuza mahindi nikapiga mzigo wangu pale kwa kua jamaa mwenyeji alikua ana kijiwe pale basi mzigo nikawa naulaza bure

tatizo likawa hapa katikati kipindi nilipokua polini kumbe kuna watu wenye mitaji mikubwa wamemwaga mahindi pale mwanza kila mtu ana mahindi basi na bei ikaanza ku drop ikashuka mpaka 34,000 kwa kila gunia da nikazidi kuvurugwa nikasemaa niki kaa sana hapa mahindi yanaweza yakashuka zaidi nikapata hasara basi mimi nikashusha bei maradufu nikayauza 32,000 mengine nikawakopesha wanao uza lejaleja lakini walinilipa kila walipo maliza mzigo

dah nikaja piga mahesabu faida niliyo pata ni 40,000 na hela yenyewe ya faida nimeshaila kuangalia mkononi mtaji wangu umebaki kiasi gani najikuta nina 690,000 kati ya 750,000 kwahio nikawa nimepoteza muda na pesa yangu kama 60,000 imepungua wanaosema biashara ni mtaji hawakukosea kipindi hicho ningekua nina mtaji kama 3,500,000 hata kama kwa kila gunia ningekua napata faida ya 2,000 bado ningekua na faida nzuri tu

BIASHARA NI MTAJI

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
Mkuu kwanza nikupongeze kwa moyo wa uthubutu,inaonesha wazi una nia,shida ilikuwa pale ulipotegemea kikubwa,labda nikupe ushuhuda tu labda unaweza kukutia nguvu,kuna jamaa mmoja niko nae ofisini hapa,yeye aliamua kuanzisha baishara ya chipsi kwa kuwa aliona mafanikio ya mwenzie ambae kasimamia biashara yake mpaka akawa nikiwa kufungua vibanda zaidi ya 50,sasa kwa Mara ya kwanza akafungua sehemu yake ya kuuzia chipsi akianza na mtaji wa 1,000,000 kwa kuwa hakuwa na usimamizi mzuri biashara alifunga baada ya wiki mbili,akaja kufungua tena mwaka jana akaamua kutenga 3M kama mtaji akaanzisha upya,kweli ikaanza kwenda vizuri kwa sababu alikuwa anapata mda wa kwenda kutizama biashara yake na akawa anapambana kwelikweli shida ikaja kutokea tu pale alipohamishwa kituo kwa mda wa mwezi mmoja hapo ndio na biashara ikaharibika kabisa,akapata hasara ya pesa yote hiyo maana hata vitu vingine viliharibika ikabidi havitupe,mwaka huu mwezi wa nne akafungua tena sasa hiki kipindi akaweka 6M akijua kwamba akimuweka ndugu atasimamia vizuri na mambo yataenda,Yaani mauzo aliyokuwa analetewa hesabu ikawa inamlazimu awe anaongezea hela kwa ajili ya maemezi maana pesa iliyokuwa inakuja ikawa haitoshi hata kwa maemezi ya kesho yake,biashara imedumu kwa mwezi mmoja tu akafunga maana alikuja kupiga hesabu akajikuta amepata hasara kubwa mno,akaamua kufunga tena,Yaani alichoambulia ni vitu tu alivyo kula ameanzia biashara basi
 
Kiukweli biashara inataka uwepo mwenyewe kuisimamia. Yaani haina tofauti na malezi ya mtoto. Ikishakomaa na kukua una maamuzi ya kuiuza au kuipanua.
Binafsi nipo kwenye biashara ya Audio production na kwa kipindi cha miaka minne nimefanikiwa kupata ujuzi na uzoefu mkubwa sana aisee. Isingekuwa ubishi wangu hii biashara ningeshaifunga muda sana kwa sababu nilianza huku ninatafuta uzoefu kazini na nilikuwa na mtaji hafifu(kama 7m hivi) ambayo nilikopa kwa rafiki yangu japokuwa mpaka leo sijawahi kuirudisha. Ila kipindi ambacho unataka kukata tamaa hapo ndipo mafanikio yalipo kiukweli. Mpaka kufikia mwaka jana ndio nilikuja kupata suluhisho la kuifanya biashara ya muziki kuwa profitable na effective baada ya kuunda mfumo madhubuti wa kuintegrate huduma ya production studio na biashara ya muziki.
Itabidi niandae thread yake ili wengine wajifunze wasije kurudia makosa kwa maana hii biashara ni ngumu sana na watu wengi huja kichwa kichwa sana.
 
Mkuu kwanza nikupongeze kwa moyo wa uthubutu,inaonesha wazi una nia,shida ilikuwa pale ulipotegemea kikubwa,labda nikupe ushuhuda tu labda unaweza kukutia nguvu,kuna jamaa mmoja niko nae ofisini hapa,yeye aliamua kuanzisha baishara ya chipsi kwa kuwa aliona mafanikio ya mwenzie ambae kasimamia biashara yake mpaka akawa nikiwa kufungua vibanda zaidi ya 50,sasa kwa Mara ya kwanza akafungua sehemu yake ya kuuzia chipsi akianza na mtaji wa 1,000,000 kwa kuwa hakuwa na usimamizi mzuri biashara alifunga baada ya wiki mbili,akaja kufungua tena mwaka jana akaamua kutenga 3M kama mtaji akaanzisha upya,kweli ikaanza kwenda vizuri kwa sababu alikuwa anapata mda wa kwenda kutizama biashara yake na akawa anapambana kwelikweli shida ikaja kutokea tu pale alipohamishwa kituo kwa mda wa mwezi mmoja hapo ndio na biashara ikaharibika kabisa,akapata hasara ya pesa yote hiyo maana hata vitu vingine viliharibika ikabidi havitupe,mwaka huu mwezi wa nne akafungua tena sasa hiki kipindi akaweka 6M akijua kwamba akimuweka ndugu atasimamia vizuri na mambo yataenda,Yaani mauzo aliyokuwa analetewa hesabu ikawa inamlazimu awe anaongezea hela kwa ajili ya maemezi maana pesa iliyokuwa inakuja ikawa haitoshi hata kwa maemezi ya kesho yake,biashara imedumu kwa mwezi mmoja tu akafunga maana alikuja kupiga hesabu akajikuta amepata hasara kubwa mno,akaamua kufunga tena,Yaani alichoambulia ni vitu tu alivyo kula ameanzia biashara basi

Sasa hapo umemtia moyo au umemkatisha tamaa kabisa 😂
 
Nimempa ndani wa mtu ambae pamoja na kupoteza pesa nyingi ili bado hakati tamaa

Mtu ambayale hajakata tamaa ila anaendelea kupoteza pesa tu. Doesn't sound like encouraging to me.

In business, one has to know when to call it quits. Lazima ujue this is not working na uanze kuangalia upande mwingine. Kupoteza sana pesa haimaanishi ipo siku utakuja fanikiwa unaweza poteza milele zote. Uvumilivu una kiasi.
 
Yaani wewe hata sikuhurumii aisee. Afadhali tu yaani hali ilikuwa kama ilivyokuwa kha!

Halafu unavyosimulia masikini. Kama nakuona usiku umelala unawaza mbona watu hawafi? Hii Korona vipi? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hahahah..wewe jamaa huna akili.
 
Hqpo kwenye wasukuma kupiga pedeli nimecheka sana [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwamba baiskel inapanda milima kama inashuka ...unapigwa upepo km upo kwenye boda...daaah umenikumbusha mbali sana
 
Nilipojua kua sijui yangu ilikua katika biashara ya nafaka

Ilikua mwaka 2011 baada ya kufanya vibarua vya hapa na pale nikawa nimesave pesa kiasi cha tsh 750,000 nilikua na shauku sana ya kujiingiza katika biashara yoyote ya halali ili niachane na vibarua vya kutokua na uhakika wa kukipata kila siku

Sasa katika tafuta tafuta ushauri nikakutana na jamaa mmoja zamani alikua anafanya biashara ya nafaka lakini aliacha kwa kufilisika aliwekewa dawa za usingizi kwenye pombe na wahuni wakatoroka na pesa zake zote

basi jamaa hakuwa mchoyo akanipa muongozo wote wa jinsigani gani alikua anafata mahindi huko porini akanipa na mawasiliano ya rafiki yake mmoja ni mkazi wa hicho kijiji pale ambapo jamaa alipokua anafikia analala hapo kwa huyo jamaa

jamaa anafamilia mke na watoto wengi kiasi huyu mshikaji akaniambia kua kule wanahitaji mboga tu sababu ugali wanao basi nikaenda soko kuu pale mwanza nikanunua dagaa visado viwili nyanya na vitunguu

nikanunua na mifuko ile ya debe 6 na kamba na sindano ya kushonea magunia akaniambia pia nitafute debe la plastic na kisado nivichemshie maji ya moto alafu vikiisha pata moto nijaze mchanga huku naushindilia ili hilo debe na kisado vitanuke ili niweze kupata mahindi mengi kutoka kwa wanakijiji

alafu inahitajika niwe na chenji noti ndogo ndogo ili iwe rahisi maana kule nako chenji ni tabu nikaenda bank kuu pale mwanza karibu na keep left nikawaambia shida yangu wakachukua pesa zangu 750,000 wakaziweka katika mashine ya kuhakiki noti kama ni bandia

zote zilikua safi basi wakanipa chenji za vibunda vipyaaa vya 2,000 na 1,000 na 500 bila vikwazo vyovyote basi asubuhi nikaenda stendi ya mabasi nyegezi nikapanda vi HIACE vya kwenda MISUNGWI MISASI
nikashuka misasi kuna baiskeli za kwenda huko porini kijijini panaitwa NKUNGUHUMULU nauli ya baiskeli ni 500
ni kipande kirefu aisee wasukuma wanapiga pedeli baiskeli inapanda mlima kama inatelemka unapigwa na upepo tu kama umepanda bodaboda

nilifika pale kijijini jamaa mwenyeji akanipokea nikamuelezea basi akawajulisha wanakijiji kuwa kwake kuna mnunuzi wa mahindi basi wana kijiji wakaanza kuniletea mahindi mwenye kisado mwenye debe moja mwenye gunia sawa ilinichukua kama siku 3 kukamilisha gunia 21

nikawa nimebakiwa na akiba ya 80,000 nikasema hapa inatosha sasa nirudi maana mjini nimeeacha mahindi gunia wanauziwa 38,000 mpaka 40,000 kwa bei ya jumla na mimi nimemenunua kila gunia 27,000 mpaka 28,000 nikawa napiga hesabu za kwenda kukunja 200,000 kama faida

sasa kipengele kilikua usafiri kumbe kule porini fuso haiji kama hauna gunia 100 maana wale wenye fuso wanabeba kila gunia moja kwa bei ya 1,000 basi nilisota huko porini maji ya kunywa yenyewe wanachota kwenye bwawa ambalo wanako kunywa maji ng'ombe na punda wanyeji wenyewe wanayatwanga hawaoni tatizo mimi ndio siwezi yaani maji ukiyaangalia hunywi mpaka uangalie juu ndio unywe

nimekaa kama siku sita nika mpigia tena jamaa alie nielekeza, kaka vipi natokaje huku jamaa akawapigia wadau wenzake wa zamani kama wapo vijiji jirani ili anionganishe nao ili fuso lije lituchukue wadau wanasema bado mzigo wao hawaja maliza wako mjini bado

dah nimeka jamaa kampigia mdau mwingine na yeye akawa ana gunia 25 na yeye kakwama porini
basi kuna fuso moja inaitwa MAMBO YA CHINGA ilikua imeleta wamachinga vijijini sasa wanatafuta mzigo wa chap wapeleke mjini ili jioni wawarudie machinga wao hio ndio ikawa ponapona yangu ya kutoka porini

tukapakia mzigo tukafika sehemu kuna watu wa ushuru tukalipa ushuru kila gunia moja 1,000 jumla gunia moja likawa limesimamia 30,000 tumeenda mpaka sehemu moja inaitwa bugarika kuna masine ya kuuza mahindi nikapiga mzigo wangu pale kwa kua jamaa mwenyeji alikua ana kijiwe pale basi mzigo nikawa naulaza bure

tatizo likawa hapa katikati kipindi nilipokua polini kumbe kuna watu wenye mitaji mikubwa wamemwaga mahindi pale mwanza kila mtu ana mahindi basi na bei ikaanza ku drop ikashuka mpaka 34,000 kwa kila gunia da nikazidi kuvurugwa nikasemaa niki kaa sana hapa mahindi yanaweza yakashuka zaidi nikapata hasara basi mimi nikashusha bei maradufu nikayauza 32,000 mengine nikawakopesha wanao uza lejaleja lakini walinilipa kila walipo maliza mzigo

dah nikaja piga mahesabu faida niliyo pata ni 40,000 na hela yenyewe ya faida nimeshaila kuangalia mkononi mtaji wangu umebaki kiasi gani najikuta nina 690,000 kati ya 750,000 kwahio nikawa nimepoteza muda na pesa yangu kama 60,000 imepungua wanaosema biashara ni mtaji hawakukosea kipindi hicho ningekua nina mtaji kama 3,500,000 hata kama kwa kila gunia ningekua napata faida ya 2,000 bado ningekua na faida nzuri tu

BIASHARA NI MTAJI

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom