Tuliokuwa tunashabikia Uvamizi wa Urusi, Ukraine. Tuendelee kuchochea Kuni? Yajayo yanasikitisha

Tuliokuwa tunashabikia Uvamizi wa Urusi, Ukraine. Tuendelee kuchochea Kuni? Yajayo yanasikitisha

Watanzania wengi kwa ukosefu wa Elimu bora na Ufahamu jumuifu walijikuta wanashabikia sana Vita ya Urusi na Ukraine. Wengi sana wakichukua pande kama wanavyoshabikia Simba na Yanga.

Na wengi walikuwa hawaelewi kwa nini NATO au USA haiingizi miguu yake. Kwa akili ile ile ya kishabiki wakimsifu either putin au rais wa ukraine.

Na wakaenda mbali kusema NATO wanaiogopa Urusi au pengine Urussi inaiogopa NATO. maneno mengi na ubishani vijiweni na kwenye mitandao usio na tija.

Leo mnaona Watawala wanatumia Vita hivi kuwaumiza wananchi zaidi. Kodi zinachomekewa humo ndani kwa ndani ukiuliza utaambiwa ni Vita ya Urusi Ukraine.

Athari za Vita hivyo zipo, lakini kuna wahuni ambao wameamua kwa makusudi to swim with the current. Tutegemee ufisaidi mkubwa sana kipindi hiki hasa kwa nchi zetu za kiafrika nyingi. Zila chache kuna marais wanapambana kupunguza makali ya maumivu kwa wananchi wao.

Na kwa zile ambazo zina bahati mbaya Marais wanatumia nafasi hiyo kuwa nyonya damu wananchi wao. Sasa kila kitu kimepanda. Hadi pipi zimepanda bei. Vita vya Urusi Ukraine.

Je, tuendelee kushabikia kama tunavyozishabikia Manchester na Liverpool au sasa tuanze kuangalia tuna viongozi wa namna gani?
Ushabikie usishabikie...wewe mswahili wa manzese utabadili nini kinachoendelea urusi?
 
Watanzania wengi kwa ukosefu wa Elimu bora na Ufahamu jumuifu walijikuta wanashabikia sana Vita ya Urusi na Ukraine. Wengi sana wakichukua pande kama wanavyoshabikia Simba na Yanga.

Na wengi walikuwa hawaelewi kwa nini NATO au USA haiingizi miguu yake. Kwa akili ile ile ya kishabiki wakimsifu either putin au rais wa ukraine.

Na wakaenda mbali kusema NATO wanaiogopa Urusi au pengine Urussi inaiogopa NATO. maneno mengi na ubishani vijiweni na kwenye mitandao usio na tija.

Leo mnaona Watawala wanatumia Vita hivi kuwaumiza wananchi zaidi. Kodi zinachomekewa humo ndani kwa ndani ukiuliza utaambiwa ni Vita ya Urusi Ukraine.

Athari za Vita hivyo zipo, lakini kuna wahuni ambao wameamua kwa makusudi to swim with the current. Tutegemee ufisaidi mkubwa sana kipindi hiki hasa kwa nchi zetu za kiafrika nyingi. Zila chache kuna marais wanapambana kupunguza makali ya maumivu kwa wananchi wao.

Na kwa zile ambazo zina bahati mbaya Marais wanatumia nafasi hiyo kuwa nyonya damu wananchi wao. Sasa kila kitu kimepanda. Hadi pipi zimepanda bei. Vita vya Urusi Ukraine.

Je, tuendelee kushabikia kama tunavyozishabikia Manchester na Liverpool au sasa tuanze kuangalia tuna viongozi wa namna gani?
Suala la kujiuliza...NI KWANINI WANASHABIKIA?!!

Je hawajui GHARAMA za vita kwa uchumi wa dunia....binafsi ninajua wanafahamu vyema tu......

#Siempre JMT🙏
 
Nyie si mmekataa kukemea uvamizi wa Ukraine alioufanya Putin kwa sababu Nyerere aliwafundisha kutofungamana na upande wowote? Basi msilalamike hizo athari za huo uvamizi zikiwagusa.
Mimi binafsi toka day one ya vita niko na Ukraine

Urusi alichofanya kwenye dunia ya sasa iliyostaabika sicho kabisa

URUSI Anatakiwa kikemewa na kupingwa na kila mstaarabu duniani
 
Watanzania wengi kwa ukosefu wa Elimu bora na Ufahamu jumuifu walijikuta wanashabikia sana Vita ya Urusi na Ukraine. Wengi sana wakichukua pande kama wanavyoshabikia Simba na Yanga.

Na wengi walikuwa hawaelewi kwa nini NATO au USA haiingizi miguu yake. Kwa akili ile ile ya kishabiki wakimsifu either putin au rais wa ukraine.

Na wakaenda mbali kusema NATO wanaiogopa Urusi au pengine Urussi inaiogopa NATO. maneno mengi na ubishani vijiweni na kwenye mitandao usio na tija.

Leo mnaona Watawala wanatumia Vita hivi kuwaumiza wananchi zaidi. Kodi zinachomekewa humo ndani kwa ndani ukiuliza utaambiwa ni Vita ya Urusi Ukraine.

Athari za Vita hivyo zipo, lakini kuna wahuni ambao wameamua kwa makusudi to swim with the current. Tutegemee ufisaidi mkubwa sana kipindi hiki hasa kwa nchi zetu za kiafrika nyingi. Zila chache kuna marais wanapambana kupunguza makali ya maumivu kwa wananchi wao.

Na kwa zile ambazo zina bahati mbaya Marais wanatumia nafasi hiyo kuwa nyonya damu wananchi wao. Sasa kila kitu kimepanda. Hadi pipi zimepanda bei. Vita vya Urusi Ukraine.

Je, tuendelee kushabikia kama tunavyozishabikia Manchester na Liverpool au sasa tuanze kuangalia tuna viongozi wa namna gani?
Tatizo ni CCM
 
Back
Top Bottom